Tujifunze kupitia kwa wenzetu wa Libya ya Muammar Gaddafi

Idrisa1510

JF-Expert Member
Oct 2, 2018
252
350
KIFO CHA MUAMMARY COLONEL GADAFI NA MPANGO WAKE WA GOLD DINAR KATIKA HARAKATI ZA KULIKOMBOA BARA LA AFRICA .


Mapigano ya sirte

Muammary Gadaf alianza kuhama hama kutoka nyumba moja kwenda nyumba nyingine (apartment) yote hiyo ni katika kuhakikishaa anaokoa maiasha yake na mda wote majeshi ya NATO yakiwa yanamsakama kama mbwa kichaa kila jengo alilokuwa anasemekana kuwepo alishambuliwa vikali tena kwa mizinga mizito ,uku wale waliojiita waasi nao walikuwa wanamshambulia kwa upande wa aridhini ,Colinel Muammary Gaddaf kichwa kilimuwaka moto ikabidi aelekeze msafara wa magari zaidi ya 50 kuelekea mji alikozaliwa maana Tripoli ilikuwa imechakazwa mfano wa chekeche.

Wakati huo lakini hata pale alipojaribu kutorokea alikozaliwa magaribu mwa mji wa SIRTE bado alishambuliwa na majeshi ya NATO na vikosi vingine vya Ufaransa vilivyo ongozwa na Nicholas Sackozie na kukwamisha msafara ule na vikosi vyote vilivyokuwa vimeongozana naye vilisambaratika wachache watiifu walibaki na mzee Colonel Muammary Gaddaf kuhakikisha wanaokoa maisha yake .

Mzee Gaddafi aliona fika umauti umemfika hata wanajeshi aliokuwa nao waliona kifo kipo mbele yao walichokuwa wanakifanya ni kukamilisha ratiba na kuhakikisha wanakufa na mzee Colonel Muamary Gaddaf ,mashambulizi hayo yaliyolenga kumpoteza muammary Gadaf na familia yake yalijulikana kama THE BATLLE OF SIRTE ,Sijui Gadafi aliwakosea nini maana walikuwa wanamuwinda kama kiumbe hatari sana ambacho kingebaki salama basi duniaa ingehangamiaa alikuwa anashambuliwa vibaya mno.

Msafara wake wenye magari zaidi ya 50 ulisambaratishwa na vikosi vya Ufaransa na majeshi ya NATO ambao walikuwa angani na kulekea msafara huo kukwamba na watu kuamua kushuka na kujipanga kimakundi ili kuangalia namna gani wanaokoa maisha yao na ya mzee gaddafi lakini hakuna sehemu ya kujificha maana ni jangwani walikuwa wanashambulia kwa kasi ya ajabu mpaka kupelekea vikosi vilivyokuwa na Gaddafi wengi kufa papo hapo na kubaki watu wachache sanaa ambao nao walichapswa risasi na wale waliojiitaa waaasi na kupelekea Gadafi kukosq ulinzi kabisa maana kuna taarifa zinasema kwamba ilifikia hatua Gaddafi alibaki na walinzi wawili tu na si vinginevyo .

kutokana na watu waliokuwa karibu na Gadafi katika kipindi hicho kigumu na alijaribu kutoa kile alichokishuhudia basi alikuwa ni Moussa Ibrahim,baada ya mashambulizi kuwa makali na maji kuzidi unga Muammary Gaddaf aliamua kukimbia na kujificha kwenye Culvert(mabomba makubwa ya kupitishia maji machafu yanapatikana barabarani),Mzee huyu Mwamba wa Afrika aliyekuwa na mipango mikubwa juu ya Afrika anakufa kifo cha ajabu sana na cha kusikitisha .

Roho na nafsi zilikuwa zinaukimbia mwili basi baada ya kujificha kwenye kalvati la kupitishiaa maji machafu waasi walikuwa wamesha fika eneo husika na alikuwa amezungukwa na waasi waliokuwa wanaongozwa na rais wa serikali ya mpito wa wakati huo (NTC) kwa jina la MAHAMOUD JABRIL ,Muammary Gadafi alishikwa na vikosi hivyo vya duniaa huku video sikisambaa kama moto wa kifuu Dunia kwamba Muammary Gaddaf alikuwa tayari ametiwa nguvuni .

Muammary Gaddaf alikamatwa akiwa hai kabisaa isipokuwa tu waasi walianza kumtesa kwa kumpiga piga ovyo kama kibaka aliyeiba kuku mtaa wa jirani ,alipata mateso makali sana maana kila mtu alikuwa anajipigia anavyotaka hakukuwa na ustaarabu wala ubinadamu wowote ule ,mashirika ya haki za binadamu kama HUMAN RIGHT WATCH na umoja wa kimataifa (UN) ulitaka kuona Gaddafi akiwa hai na kufikishwa kwenye vyombo vya sheria na siyo kupigwa risasi hata Obama na Clinton alitaka kuona hivyo lakini piaa wanalaumiwa kwamba wao ndio waliruhusu yatokee hayo.

Umoja wa kimataifa pia ulitiliaa mkazo kwamba wasimpige risasi lakini mambo hayakuwa ivoo Gadaff akiwa ameteswa yuko hoi taabani hatamaniki kabisa aliwauliza waasi kwamba NIMEWAKOSEA NINI..??NI KITU GANI KIBAYA NIMEWAFANYIA hayo yalikuwa maneno yake lakini piaa aliwapigia magoti na kuwaomba msamaha kwamba NAOMBENI MNISAMEHE MSINPIGE RISASI hakuna aliyemsikiliza bali walipuuza na kumcheka yaani kama vile walikuwa wamekamata nyama porini tayari kwa msosi ,hakuna mwanzo usiokuwa na mwisho na kila jambo na wakati wake Muammary Colinel Gaddaf alichapwa risasi tumboni ,alichapwa risasi Kifuani na kichwani ,mwili wake ulikuwa haufai ulikuwa umejaa damu tupu ulikuwa unavuja damu kila mahali .

Maisha kuna mda hayana maana na kuna mda ya maana piaa ,binadamu upendo umepotea umebaki unyamaa visasi vinaendelea kulitafuna bara la Afrika bado Afrika inasafari ndefu ya kwenda na aibu sana mataifa mwngine ambayoo siya ya kiafrika kuja kutuulia kiongozi wa Afrka ni makosa makubwa ambayo Afrika imefanya kuruhusu kiongo Gaddafi kufa kama kuku na laana hii acha iendelee kututafuna daima ,umoja wa Afrika (AU) ilikuwepo na ilikuwa inaangaliaa tu ni aibu kubwa na hakuna mtu atabaki salama viongozi wasipojirekebisha,hata kama Gadaf alikuwa ana mabaya lakini bado hakustahiili kufanyiwa vile alivyofanyiwa na hakuna kiongozi wa Afrika aliyefungua mdomo kulaani kama siyo poul Kagame peke yake ukiachilia jacobu zuma na Robert Mugabe .

Colonel Muammary Gaddaf alipoteza maisha kwa style ya kepekee sana lilikuwa ni jambo la kushangaza na kusikitishaa mno,yaani Afrika ilibaki imepigwa na ganzi hakika tutakukumbuka daima Muamary Gadafi (Rest easy in peace Sir) punde tu baada taarifa kusambaa kwenye mashirika makubwa ya kibepari kama FOX NEWS,BBC,CNN ,DW na Al jezeera kwamba Gaddafi amepigwa risasi na waasi ambao Gaddafi aliwaita majeshi ya Duniaa viongozi wakubwa walionekana kufurahia tukio hilo na kuweka vifua mbele.

Bila aibu yoyote ile na rais aliyeitwa ni wa Serikali ya mpito (NTC) bwana Mohamoud Jabril alitangaza akiwa tripoli kwamba "Huu ndio wakati ambao tumekuwa tukiusubiri kwa mda mrefu sana 'kauli hii inaonyesha wazi kwamba kufa kwa Gaddafi kulikuwa kumepangwa na piaa punde kidogo walionekana waasi wameshika bastora ya dhahabu aliyokuwa nayo Muammary Gaddafi mkononi kabla umauti hauja mkuta na baada ya hapo mwili wa Comred colonel Gaddafi ukapelekwa katika mji wa Misrata ili kuwaonyesha watu kwamba kweli Gaddafi amekufa .

Muammary Gaddafi mfalme huyu wa Afrika alikufa kwa kupigwa risasi nyingi mwilini na mateso makali mwaka na tarehe 20/10/2011(Rest Easy in Peace Comred Gaddaf ) ,Muamary Gaddaf alikufa kwa ajili ya bara la Afrika ,Gadaf alitaka kuona Afrika inajikomboa katika mikono ya wazingu na alikuwa amezamilia kufanya mabadiliko makubwa ya kichumi katika bara hili la Afrikaa bila kujali ,mwaka 2009 akiwa kama mwenyekiti wa umoja wa mataifa huru ya Afrika AU alipanga mikakati kabambe ya kuhakikisha tunajinasua kutoka katika mikono ya majambazi wazungu ,kwenye suala la usalama alitaka tuwe na jeshi la Afrika litakalolinda mipaka yetuu,alitaka kuona tuna jesi moja la Afrika nzimaa ,alitaka kuona tuna hela yetu Afro-curency ambayo ingetumika Afrika nzima ili kuepukana na kutumia dolla ,alitaka kuanzisha Bank kuu ya Afrika ,alitaka kuunganisha Afrika nzima kwa barabara hakika Gaddafi alikuwa ni kiongozi aliyelipenda bara la Afrika .

Shutuma nyingi zinaenda kwa Be hillary Clinton akiwa kama waziri wa mambo ya nje wa Marekani maana yeye alihusika pakubwa na mauaji ya Muammary Gadaf akishirikiana na rais wa marekani wa 44 bwana Barack Obama bila kumsahau Rafiki yao Nicholas Sakozy wa ufaransa hawa ndio wazi wakubwa na walimuua Gaddafi kwa sababu ya uroho wao na tamaa juu ya malighafi za Afrikaa ,katika Moja ya Barua pepe za Hillary Clinton zaidi ya 3000 zilizovujishwa na kutolewa na FBI mwaka 2015 mwishoni zilionyesha wazi namna Gani mipango ya kumuondoa Gaddafi ilivyokuwa ikifanyika.

Gaddafi hakufa kwa bahati mbaya Kifo cha Gaddafi kilipangwa ,tunawauliza walibya je wamepata nini sasa baada ya kumuangusha Gaddafi ..?Walibya waliojiita waasi na kudai wamemchoka Gaddafi je wamekipata walichokuwa wanakitaka .?LIBYA IMEGEUKA KUWA LANGO LA WALANGUZI makosa makubwa yaliyofanyika na Walibya ni kumuua Gadafi leo hakuna kitu Libya ,wamebaki wanaangaliana usoni watu wanakufa ovyoo ,njaa huduma chafu Libya imegeuka kuwa soko la watumwa na kichaka cha Makundi ya kigaidi .

Ulikuwa ni wakati mgumu sana pengine ambao hakuwahi kuufikiria wala kuota katika maisha yake ,aliamini kwamba hakuna mtu hata mmoja ambaye angeweza kuivamiaa LIBYA, kumbe mawazo yake yalikuwa yamekosa mwanga ,kulingana na watu waliokuwa naye pamoja na wale waliojitolea kufa naye kama ABU KADIR YUNUS na kijana mmoja anayejulikana kwa jina la Dhao walidai Colonel muammary Gadafi hakuwahi kuwaza kukimbia nchi yake mda wote alikuwa akisisitiza atafia Libya.

Hata pale marafiki zake wa karibu kama wakina Jacobu Zuma walipojaribu kumshauri bado alikaza roho kama mwanaume aliyechoka kuishi kwamba alizaliwa Libya na atafia Libya hata ivo walikuwepo viongozia ambao walitambua fika kwamba Gaddaf hawawezi kumuacha salama mfano Robert Gabriel Mugabe naya alijaribu kumshawishi Gaddafi aende Zimbabwe lakini Mtaalamu Colonel Muamary Gaddaf aligoma kweli SIKU YA KUFA NYANI MITI YOTE HUTELEZA.

MPANGO MZITO WA GADDAFI JUU YA BARA LA AFRICA,Gadafi alikuwa kiingozi wa mfano hapa Afrika na katika hili hakuna ubishi maana Libya ya Gaddafi ni Tofauti na Libya ya sasa ambayo wamejaa walanguzi na majambazi na makundi ya kigaidi ,Libya ya Gaddafi ilikuwa mfano wa kuigwa Afrika na Dunia kwa ujumla ,Gadafi anapaswa kukumbukwa daima maana alifanya mambo makubwa uko Libya na Afrika ,Gaddafi alitaka kuona Afrika inasimama yenyewe kama Afrika pasipo kutegemea misaada kutoka nje ,kama ilivyo sasa mataifa mengi yanategemea msaa kutoka mataifa wahisani kwa asilimia 70%,Muamary Gaddafi hakuwa tu na mawazo bali pia alikuwa na pesa na kila aina ya mali ya kufanya yote yale aliyokuwa anayaamini ,kipindi Gadafi yupo madarakani Libya ndio lilikuwa taifa linaloongoza kwa uzalisaji wa Mafuta barani Afrika ukiachiilia mbali Ghana na Angola ,mafuta pekee yake yalitosha kujenga libya yenye mfano ukiachilia mbali shehena ya Dhahabu aliyokuwa nayo .

Hapa nakumbuka kauli moja ya Patrice Otieno Lumumba kwamba watu wenye mawazo mapana na wenye akili nyingi huwa hawadumu kabisa ,Heshima kwako Gaddafi na Mungu akufanyie wepesi uko uliko sijui walikuzika wapi angalau hata kizazi kijacho kingefahamu kwamba alikuwepo mfalme wa Afrika ,GOLD DINAR iliwachanganya wazungu ,mpango wako wa GOLD DINAR uliwafanya wazungu waje Afrika kibabe ili kuzuiaa mpango huo uliokuwa tishio kwa uchumi wa mataifa ya Ulaya,Gadaf pekee alitosha kabisa kufuta Umasikini Afrika maana mawazo yake yalikuwa yakinifu hakika na kweli Gold Dinar ndio lilokuwa suluhisho la uchumu wa Afrika na si vinginevyo.

Mataifa ya bara la ulaya hayawahi kuwapenda waafrika ,Dunua ilikuwa inasuburi kuona Gaddafi atafanya nini na waliamini kwamba Gadafi hata weza kuchukua hatua yoyote ile na walipoona kwamba Gaddafi anapiga hatua 50 mbele kweli wakatengeneza propaganda ili aonekane kiongozi wa Hovyo na katili mbele ya rai wake na Dunia nzima ikaaminishwa ivo ,mbinu walizotumia kumuondoa Gaddafi ndio mbinu hizo hizo zilizotumika kumuondoa Sadam Hussain lakini leo iko wap Iraq ya Sadam Hussain ..??wamemuondoa Muammary Gaddafi iko wapi Libya iliyokuwa inasifika Afrika kwa uchumi imara ,iko wapi Libya ilyokuwa ina iwezo wa kufadhili umoja wa nchi huru Afrika (AU).

GOLD DINAR,ili Afrika iondokane na ukilitimba na unyonyaji kutoka mataifa ya nje lazima Afrika ihakikishe inaungana na kuwa kitu komoja na maneno haya yalikuwa yakina Haile selas wa Ethiopia na Nkwame Nukuruma Nukuruma wa Ghana yalitamkwa mwaka 1963 uko Adidis Ababa Ethiopia siku umoja wa Afrika unazaliwa na Hata wakina David Dacko walilisitiza Afrika kuungana kuwa kitu kimoja lakini hawakufanya ivo miaka 50 baadae Afrika bado tunakufa njaa ,Afrika bado imegawanyika ,Afrika Bado tumekwama kwenye vita vya wenyewe kwa wenyewe.

Muammary Gaddafi akajitokeza na kuamua kusimamia hoja ya Afrka kuungana tena kwa vitendo na yeye akachukua jukumu la kuunganisha Afrika kwa kutumia pesa zake mwenyewe pasipo kumchangisha mtu yoyote ,Gaddafi alitaka Afrika itengeneze pesa yake yenyewe ambayo ingeindwa Gold Dinner ,pesa hii ingekuwa na uwezo wa kutumika Afrika nzima ,Gold Dinar ingekuwa ni pesa ambayo ingetengenezwa kwa kutumia Dhahabu na lengo la kutongeza note kwa kutumia dhabu ni kuhakikisha inakuwa n thamani kuliko pesa zingine zozote zile kutoka nje ,lengo la kutengeneza pesa ya namna hii ni kuhakikisha wanalinda maligafi za ndani na kukuza uchumi wa Afrika na siyo vinginevyo.

Gold Dinner ingetumika Afrika pekee na siyo nje ya Afrika ,Muamary Gaddafi alikuwa na mpango huo ili kulinda uchumi wa Afrika ,na wazungu walipotaka kuja Afrika kuchukua kitu chochote kile wangetakiwa kubadilisha hela zao na kutumia GOLD DINAR ,Wazungu wakifika Afrika walitakiwa kutumia Gold Dinar na siyo Dollar wala pounds au Euro,mpango huo wa Gaddafi wa kuanzisha Gold Dinar ulikuwa unazishusha thamani hela za mataifa ya magaribi na zingeonekana hazina thamani tena mbele ya Gold Dinar ya Afrika na hilo lilikuwa ni tishio kwa uchumi wa mataifa ya Ulaya na marekani hivyo kulikuwa hakuna njia zingine za kumzuia Gaddafi zaidi ya kumua na kumfutilia mbali katika uso dunia.

Saddamu Hussain aliwahi kuacha kuwauzia mafuta Marekani ila wateja wake wakubwa walikuwa waarabu wenzake lakini pia ikawa haitoshi Saddam Hussain alipiga marufuku Dolla ya mmarekani kutumika katika taifa lake na kwa kufanya ivo lilikuwa ni chukizo kwa marekani na walichoamua ni kumnyongelea mbali na kuivuruga vuraga Iraq mpaka leo Taifa halitamaniki kabisa umebaki tu ushahidi wamba kuna taifa linaitwa Iraq, kinachoonekana ukitaka kunyongwa au kufutwa katika ramani hii ya dunia basi gusa dolla ya mmarekani hakuna kitu marekani kama kutaka kuishusha thamani ya hela yao .

IKO WAPI SHEHENA YA DHAHABU YA LIBYA ,iko wapi shehena ya dhahabu na almasi za Libya ..?kabla hatujaangazia wapi dhahabu za Libya zilikopotelea basi ni vyemaa tukaangalia mataifa yanayoongoza kuwa na akiba nyingi ya dhahabu duniani, mataifa yenye akiba kubwa au nyingi ya Dhahabu duniani ni marekani ndio namba 1 kwa takwimu za mwaka 2016-2017 ikiwa na tani 8,133.5 uku uingereza ikiwa inashika nafasi ya 18 uku ikiwa na tani 310.3 na nafasi ya pili ikishikwa na ujerumani ikiwa na tani 3381 na bila kusahau china ikiwa nafasi ya 6 ikiwa na tani 1778.5 na nafasi ya 3 kwa kuwa na shehena nyingi ya dhahabu ni IMF ambao wana tani 2814.0 hayo ndio mashirika yanayomiliki shehena au hazina kubwa ya dhabu duniani natamani pia kutambua nchi yangu inashika nafasi ya ngapi tena ukizingatia tuna migodi inayotema tutakuwa mbali sana hakika .

Lakini taifa la Libya lilikuwa ni moja ya mataifa yenye shehena au hazina nyingi ya Dhahabu na almas duniani basi ilikuwa ni Libya ,Muammary Ghadafi alikuwa anajenga uchumi wake kwa kutumia mafuta pekee na vyanzo vingine vidogo kama viwanda na kilimo piaa uko tripol alikuwa bado hajaanza kutumia dhahabu yake maana lengo piaa la kuwa na dhahabu nyingi kiasi hicho ni pamoja na kujenga na kuimarisha uchumii wa Kiafrika alikuwa ni kiongozi wa aina yake hakika ,alikuwa ni kiongozi ambaye alibarikiwa akili na uwezo mpana wa kuona mbali alikumbuka mpaka kuweka akiba kwa ajili ya maisha ya Walibya na Afrika ,alijua vyema kuzichana na kuthamini malighafi alizojaliwa na Mungu mpaka akaweka shehena ya kutosha ya dhahabu kwa ajili ya maisha ya baadae ,leo ni mataifa mangapi ya Akiba ya Dhahabu barani Afrika ,ni mataifa mangapi yanatambua hmuhimu wa dhahahu kama kuwaziaa wazungu lakini Colonel Gaddafi alikuwa ana akiba ya kutosha ya dhahabu na almasi na wazungu hawakupenda kuona haya wakaamua kumua kwa kumchabanga risasi kama mbwa mwenye kichaa 2011 .

Katika mataifa ya kiarabu Libya ilikuwa inashika nafasi ya 4 katika mataifa yenye dhahabu nyingi duniani uku katika dunua nzima Libya ya Muammary Gaddafi ilikuwa nafasi ya 31 uku ikiwa na tani 116 record hizo ni za mwaka 2016 miaka mitano baadae baada ya kifo cha muammary Gaddafi lakini mpaka sasa dhahabu hiyo haijulikani ilipo ,Libya pekee Libya pekee mpaka kufikia mwaka 2011 ilikuwa ina dhahabu zisizopungua Tani 144 na almasi sawa idadi hizo ,dhahabu ambayo Gaddafi alikuwa nayo ilikuwa na thamani dolla za kimarekani billion 7 ni hela nyingi sana ukizipeleka katika hela za kibongo basi tunakuwa siyo masikini tenaa ,Gaddafi alikuwa kiongozi wa aina yake hakika ,Leo angekuwa hai Libya ingekuwa inashika namba moja Afrika kwa uchumi na maisha bora kwa wanainchi wake maana Libya ilikuwa inakuwa kwa kasi kiuchumi kama moto wa mabua na hicho ndicho kilichowafanya wazungu wamuondoe maana mataifa ya Magaribi hayapendi kuona Ngozi nyeusi inafika mbali .

Lakini Dhahabu hizo na almasi zilienda wapi..?taarifa zinadai kwamba hata mpango wa kuanzisha Gold Dinar alikuwa anategemea sana kupitia shena hiyo hiyo ya dhahabu aliyokuwa ameikusanya kwa miaka mingi ,dhahabu hizo na almasi zilichukuliwa kinyemela na mataifa ya ufaransa na marekani na zingine zilichukuliwa na makundi ya kigaidi kutoka mashariki ya kati ,kulikuwa na wavamiaji wengi Libya kumbe waliowengi walikuwa wanataka kupata chochote kutoka kwenye hilo ghala la dhahabu na kutokana na vita na mvurugani mkubwa hapo Libya dhahabu na almasi hazikuoneka wapi zimepotelea au wapi zimepitiaa , japokuwa taarifa zinalenga sana ufaransa na mataifa ya kiarabu kwambali ndio walibeba shehena hiyo ya dhahabu na almasi na kutokomea nayo mazima kipindi vita vimepamba moto Libya na shehena hiyo haipo mpaka sasa na Libya wamekwama hawezi kufanya lolote lile hawajui waanzie wapi wamaliziee wapii na lawama nyingi zinatupwa kwa BI HILLARY CLINTON na Rais wa ufaransa bwana Nicholas Sakozy maana hawa ndio wahusika wakubwa katika machafuko ya Libya na kifo cha Colonel Muammary Ghaddaf .



Sent using Jamii Forums mobile app
 
..Gaddafi alitakiwa aruhusi upinzani wa KIRAIA ushamiri na kukomaa nchi kwake.

..ukizuia wapinzani wa kiraia, basi kuna hatari ya kuibuka wapinzani wenye SILAHA.

..kuna kipindi MABADILIKO hayaepukiki. Sasa muda huo ukifika ni vizuri kuwepo na CIVILIAN OPPOSITION na mazingira ya KIKATIBA yatakayowezesha smooth transition of power.
 
..Gaddafi alitakiwa aruhusi upinzani wa KIRAIA ushamiri na kukomaa nchi kwake.

..ukizuia wapinzani wa kiraia, basi kuna hatari ya kuibuka wapinzani wenye SILAHA.

..kuna kipindi MABADILIKO hayaepukiki. Sasa muda huo ukifika ni vizuri kuwepo na CIVILIAN OPPOSITION na mazingira ya KIKATIBA yatakayowezesha smooth transition of power.
Naamin hujaielewa post hii

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Systematic Terror

At least once a decade, Colonel Gaddafi fomented shocking violence that both terrorized and intimidated Libyans.

In the late 1970s and early '80s, he eliminated even mild critics through public trials and executions. Kangaroo courts were staged on soccer fields or basketball courts, where each of the accused was interrogated, often urinating in fear as he begged for his life while the crowd howled for execution. The events were televised to make sure that no Libyan missed the point.

The bodies of one group of students hanged in downtown Tripoli's main square were left there to rot for a week, opposition figures said, and traffic was rerouted to force cars to pass by.

In the 1990s, faced with growing Islamist opposition, Colonel Gaddafi bombed towns in eastern Libya, and his henchmen were widely believed to have opened fire on prisoners in Tripoli's Abu Salim prison, killing about 1,200.

"Gaddafi's ability to have survived so long rests on his convenient position in not being committed to a single ideology and his use of violence in such a theatrical way," said Hisham Matar, the author of "In the Country of Men," a novel that depicts the devastation of normal life under Colonel Gaddafi. "He deliberately tried to create a campaign that would terrorize the population, that would traumatize them to such an extent that they would never think of expressing their thoughts politically or socially."
KIFO CHA MUAMMARY COLONEL GADAFI NA MPANGO WAKE WA GOLD DINAR KATIKA HARAKATI ZA KULIKOMBOA BARA LA AFRICA .


Mapigano ya sirte

Muammary Gadaf alianza kuhama hama kutoka nyumba moja kwenda nyumba nyingine (apartment) yote hiyo ni katika kuhakikishaa anaokoa maiasha yake na mda wote majeshi ya NATO yakiwa yanamsakama kama mbwa kichaa kila jengo alilokuwa anasemekana kuwepo alishambuliwa vikali tena kwa mizinga mizito ,uku wale waliojiita waasi nao walikuwa wanamshambulia kwa upande wa aridhini ,Colinel Muammary Gaddaf kichwa kilimuwaka moto ikabidi aelekeze msafara wa magari zaidi ya 50 kuelekea mji alikozaliwa maana Tripoli ilikuwa imechakazwa mfano wa chekeche.

Wakati huo lakini hata pale alipojaribu kutorokea alikozaliwa magaribu mwa mji wa SIRTE bado alishambuliwa na majeshi ya NATO na vikosi vingine vya Ufaransa vilivyo ongozwa na Nicholas Sackozie na kukwamisha msafara ule na vikosi vyote vilivyokuwa vimeongozana naye vilisambaratika wachache watiifu walibaki na mzee Colonel Muammary Gaddaf kuhakikisha wanaokoa maisha yake .

Mzee Gaddafi aliona fika umauti umemfika hata wanajeshi aliokuwa nao waliona kifo kipo mbele yao walichokuwa wanakifanya ni kukamilisha ratiba na kuhakikisha wanakufa na mzee Colonel Muamary Gaddaf ,mashambulizi hayo yaliyolenga kumpoteza muammary Gadaf na familia yake yalijulikana kama THE BATLLE OF SIRTE ,Sijui Gadafi aliwakosea nini maana walikuwa wanamuwinda kama kiumbe hatari sana ambacho kingebaki salama basi duniaa ingehangamiaa alikuwa anashambuliwa vibaya mno.

Msafara wake wenye magari zaidi ya 50 ulisambaratishwa na vikosi vya Ufaransa na majeshi ya NATO ambao walikuwa angani na kulekea msafara huo kukwamba na watu kuamua kushuka na kujipanga kimakundi ili kuangalia namna gani wanaokoa maisha yao na ya mzee gaddafi lakini hakuna sehemu ya kujificha maana ni jangwani walikuwa wanashambulia kwa kasi ya ajabu mpaka kupelekea vikosi vilivyokuwa na Gaddafi wengi kufa papo hapo na kubaki watu wachache sanaa ambao nao walichapswa risasi na wale waliojiitaa waaasi na kupelekea Gadafi kukosq ulinzi kabisa maana kuna taarifa zinasema kwamba ilifikia hatua Gaddafi alibaki na walinzi wawili tu na si vinginevyo .

kutokana na watu waliokuwa karibu na Gadafi katika kipindi hicho kigumu na alijaribu kutoa kile alichokishuhudia basi alikuwa ni Moussa Ibrahim,baada ya mashambulizi kuwa makali na maji kuzidi unga Muammary Gaddaf aliamua kukimbia na kujificha kwenye Culvert(mabomba makubwa ya kupitishia maji machafu yanapatikana barabarani),Mzee huyu Mwamba wa Afrika aliyekuwa na mipango mikubwa juu ya Afrika anakufa kifo cha ajabu sana na cha kusikitisha .

Roho na nafsi zilikuwa zinaukimbia mwili basi baada ya kujificha kwenye kalvati la kupitishiaa maji machafu waasi walikuwa wamesha fika eneo husika na alikuwa amezungukwa na waasi waliokuwa wanaongozwa na rais wa serikali ya mpito wa wakati huo (NTC) kwa jina la MAHAMOUD JABRIL ,Muammary Gadafi alishikwa na vikosi hivyo vya duniaa huku video sikisambaa kama moto wa kifuu Dunia kwamba Muammary Gaddaf alikuwa tayari ametiwa nguvuni .

Muammary Gaddaf alikamatwa akiwa hai kabisaa isipokuwa tu waasi walianza kumtesa kwa kumpiga piga ovyo kama kibaka aliyeiba kuku mtaa wa jirani ,alipata mateso makali sana maana kila mtu alikuwa anajipigia anavyotaka hakukuwa na ustaarabu wala ubinadamu wowote ule ,mashirika ya haki za binadamu kama HUMAN RIGHT WATCH na umoja wa kimataifa (UN) ulitaka kuona Gaddafi akiwa hai na kufikishwa kwenye vyombo vya sheria na siyo kupigwa risasi hata Obama na Clinton alitaka kuona hivyo lakini piaa wanalaumiwa kwamba wao ndio waliruhusu yatokee hayo.

Umoja wa kimataifa pia ulitiliaa mkazo kwamba wasimpige risasi lakini mambo hayakuwa ivoo Gadaff akiwa ameteswa yuko hoi taabani hatamaniki kabisa aliwauliza waasi kwamba NIMEWAKOSEA NINI..??NI KITU GANI KIBAYA NIMEWAFANYIA hayo yalikuwa maneno yake lakini piaa aliwapigia magoti na kuwaomba msamaha kwamba NAOMBENI MNISAMEHE MSINPIGE RISASI hakuna aliyemsikiliza bali walipuuza na kumcheka yaani kama vile walikuwa wamekamata nyama porini tayari kwa msosi ,hakuna mwanzo usiokuwa na mwisho na kila jambo na wakati wake Muammary Colinel Gaddaf alichapwa risasi tumboni ,alichapwa risasi Kifuani na kichwani ,mwili wake ulikuwa haufai ulikuwa umejaa damu tupu ulikuwa unavuja damu kila mahali .

Maisha kuna mda hayana maana na kuna mda ya maana piaa ,binadamu upendo umepotea umebaki unyamaa visasi vinaendelea kulitafuna bara la Afrika bado Afrika inasafari ndefu ya kwenda na aibu sana mataifa mwngine ambayoo siya ya kiafrika kuja kutuulia kiongozi wa Afrka ni makosa makubwa ambayo Afrika imefanya kuruhusu kiongo Gaddafi kufa kama kuku na laana hii acha iendelee kututafuna daima ,umoja wa Afrika (AU) ilikuwepo na ilikuwa inaangaliaa tu ni aibu kubwa na hakuna mtu atabaki salama viongozi wasipojirekebisha,hata kama Gadaf alikuwa ana mabaya lakini bado hakustahiili kufanyiwa vile alivyofanyiwa na hakuna kiongozi wa Afrika aliyefungua mdomo kulaani kama siyo poul Kagame peke yake ukiachilia jacobu zuma na Robert Mugabe .

Colonel Muammary Gaddaf alipoteza maisha kwa style ya kepekee sana lilikuwa ni jambo la kushangaza na kusikitishaa mno,yaani Afrika ilibaki imepigwa na ganzi hakika tutakukumbuka daima Muamary Gadafi (Rest easy in peace Sir) punde tu baada taarifa kusambaa kwenye mashirika makubwa ya kibepari kama FOX NEWS,BBC,CNN ,DW na Al jezeera kwamba Gaddafi amepigwa risasi na waasi ambao Gaddafi aliwaita majeshi ya Duniaa viongozi wakubwa walionekana kufurahia tukio hilo na kuweka vifua mbele.

Bila aibu yoyote ile na rais aliyeitwa ni wa Serikali ya mpito (NTC) bwana Mohamoud Jabril alitangaza akiwa tripoli kwamba "Huu ndio wakati ambao tumekuwa tukiusubiri kwa mda mrefu sana 'kauli hii inaonyesha wazi kwamba kufa kwa Gaddafi kulikuwa kumepangwa na piaa punde kidogo walionekana waasi wameshika bastora ya dhahabu aliyokuwa nayo Muammary Gaddafi mkononi kabla umauti hauja mkuta na baada ya hapo mwili wa Comred colonel Gaddafi ukapelekwa katika mji wa Misrata ili kuwaonyesha watu kwamba kweli Gaddafi amekufa .

Muammary Gaddafi mfalme huyu wa Afrika alikufa kwa kupigwa risasi nyingi mwilini na mateso makali mwaka na tarehe 20/10/2011(Rest Easy in Peace Comred Gaddaf ) ,Muamary Gaddaf alikufa kwa ajili ya bara la Afrika ,Gadaf alitaka kuona Afrika inajikomboa katika mikono ya wazingu na alikuwa amezamilia kufanya mabadiliko makubwa ya kichumi katika bara hili la Afrikaa bila kujali ,mwaka 2009 akiwa kama mwenyekiti wa umoja wa mataifa huru ya Afrika AU alipanga mikakati kabambe ya kuhakikisha tunajinasua kutoka katika mikono ya majambazi wazungu ,kwenye suala la usalama alitaka tuwe na jeshi la Afrika litakalolinda mipaka yetuu,alitaka kuona tuna jesi moja la Afrika nzimaa ,alitaka kuona tuna hela yetu Afro-curency ambayo ingetumika Afrika nzima ili kuepukana na kutumia dolla ,alitaka kuanzisha Bank kuu ya Afrika ,alitaka kuunganisha Afrika nzima kwa barabara hakika Gaddafi alikuwa ni kiongozi aliyelipenda bara la Afrika .

Shutuma nyingi zinaenda kwa Be hillary Clinton akiwa kama waziri wa mambo ya nje wa Marekani maana yeye alihusika pakubwa na mauaji ya Muammary Gadaf akishirikiana na rais wa marekani wa 44 bwana Barack Obama bila kumsahau Rafiki yao Nicholas Sakozy wa ufaransa hawa ndio wazi wakubwa na walimuua Gaddafi kwa sababu ya uroho wao na tamaa juu ya malighafi za Afrikaa ,katika Moja ya Barua pepe za Hillary Clinton zaidi ya 3000 zilizovujishwa na kutolewa na FBI mwaka 2015 mwishoni zilionyesha wazi namna Gani mipango ya kumuondoa Gaddafi ilivyokuwa ikifanyika.

Gaddafi hakufa kwa bahati mbaya Kifo cha Gaddafi kilipangwa ,tunawauliza walibya je wamepata nini sasa baada ya kumuangusha Gaddafi ..?Walibya waliojiita waasi na kudai wamemchoka Gaddafi je wamekipata walichokuwa wanakitaka .?LIBYA IMEGEUKA KUWA LANGO LA WALANGUZI makosa makubwa yaliyofanyika na Walibya ni kumuua Gadafi leo hakuna kitu Libya ,wamebaki wanaangaliana usoni watu wanakufa ovyoo ,njaa huduma chafu Libya imegeuka kuwa soko la watumwa na kichaka cha Makundi ya kigaidi .

Ulikuwa ni wakati mgumu sana pengine ambao hakuwahi kuufikiria wala kuota katika maisha yake ,aliamini kwamba hakuna mtu hata mmoja ambaye angeweza kuivamiaa LIBYA, kumbe mawazo yake yalikuwa yamekosa mwanga ,kulingana na watu waliokuwa naye pamoja na wale waliojitolea kufa naye kama ABU KADIR YUNUS na kijana mmoja anayejulikana kwa jina la Dhao walidai Colonel muammary Gadafi hakuwahi kuwaza kukimbia nchi yake mda wote alikuwa akisisitiza atafia Libya.

Hata pale marafiki zake wa karibu kama wakina Jacobu Zuma walipojaribu kumshauri bado alikaza roho kama mwanaume aliyechoka kuishi kwamba alizaliwa Libya na atafia Libya hata ivo walikuwepo viongozia ambao walitambua fika kwamba Gaddaf hawawezi kumuacha salama mfano Robert Gabriel Mugabe naya alijaribu kumshawishi Gaddafi aende Zimbabwe lakini Mtaalamu Colonel Muamary Gaddaf aligoma kweli SIKU YA KUFA NYANI MITI YOTE HUTELEZA.

MPANGO MZITO WA GADDAFI JUU YA BARA LA AFRICA,Gadafi alikuwa kiingozi wa mfano hapa Afrika na katika hili hakuna ubishi maana Libya ya Gaddafi ni Tofauti na Libya ya sasa ambayo wamejaa walanguzi na majambazi na makundi ya kigaidi ,Libya ya Gaddafi ilikuwa mfano wa kuigwa Afrika na Dunia kwa ujumla ,Gadafi anapaswa kukumbukwa daima maana alifanya mambo makubwa uko Libya na Afrika ,Gaddafi alitaka kuona Afrika inasimama yenyewe kama Afrika pasipo kutegemea misaada kutoka nje ,kama ilivyo sasa mataifa mengi yanategemea msaa kutoka mataifa wahisani kwa asilimia 70%,Muamary Gaddafi hakuwa tu na mawazo bali pia alikuwa na pesa na kila aina ya mali ya kufanya yote yale aliyokuwa anayaamini ,kipindi Gadafi yupo madarakani Libya ndio lilikuwa taifa linaloongoza kwa uzalisaji wa Mafuta barani Afrika ukiachiilia mbali Ghana na Angola ,mafuta pekee yake yalitosha kujenga libya yenye mfano ukiachilia mbali shehena ya Dhahabu aliyokuwa nayo .

Hapa nakumbuka kauli moja ya Patrice Otieno Lumumba kwamba watu wenye mawazo mapana na wenye akili nyingi huwa hawadumu kabisa ,Heshima kwako Gaddafi na Mungu akufanyie wepesi uko uliko sijui walikuzika wapi angalau hata kizazi kijacho kingefahamu kwamba alikuwepo mfalme wa Afrika ,GOLD DINAR iliwachanganya wazungu ,mpango wako wa GOLD DINAR uliwafanya wazungu waje Afrika kibabe ili kuzuiaa mpango huo uliokuwa tishio kwa uchumi wa mataifa ya Ulaya,Gadaf pekee alitosha kabisa kufuta Umasikini Afrika maana mawazo yake yalikuwa yakinifu hakika na kweli Gold Dinar ndio lilokuwa suluhisho la uchumu wa Afrika na si vinginevyo.

Mataifa ya bara la ulaya hayawahi kuwapenda waafrika ,Dunua ilikuwa inasuburi kuona Gaddafi atafanya nini na waliamini kwamba Gadafi hata weza kuchukua hatua yoyote ile na walipoona kwamba Gaddafi anapiga hatua 50 mbele kweli wakatengeneza propaganda ili aonekane kiongozi wa Hovyo na katili mbele ya rai wake na Dunia nzima ikaaminishwa ivo ,mbinu walizotumia kumuondoa Gaddafi ndio mbinu hizo hizo zilizotumika kumuondoa Sadam Hussain lakini leo iko wap Iraq ya Sadam Hussain ..??wamemuondoa Muammary Gaddafi iko wapi Libya iliyokuwa inasifika Afrika kwa uchumi imara ,iko wapi Libya ilyokuwa ina iwezo wa kufadhili umoja wa nchi huru Afrika (AU).

GOLD DINAR,ili Afrika iondokane na ukilitimba na unyonyaji kutoka mataifa ya nje lazima Afrika ihakikishe inaungana na kuwa kitu komoja na maneno haya yalikuwa yakina Haile selas wa Ethiopia na Nkwame Nukuruma Nukuruma wa Ghana yalitamkwa mwaka 1963 uko Adidis Ababa Ethiopia siku umoja wa Afrika unazaliwa na Hata wakina David Dacko walilisitiza Afrika kuungana kuwa kitu kimoja lakini hawakufanya ivo miaka 50 baadae Afrika bado tunakufa njaa ,Afrika bado imegawanyika ,Afrika Bado tumekwama kwenye vita vya wenyewe kwa wenyewe.

Muammary Gaddafi akajitokeza na kuamua kusimamia hoja ya Afrka kuungana tena kwa vitendo na yeye akachukua jukumu la kuunganisha Afrika kwa kutumia pesa zake mwenyewe pasipo kumchangisha mtu yoyote ,Gaddafi alitaka Afrika itengeneze pesa yake yenyewe ambayo ingeindwa Gold Dinner ,pesa hii ingekuwa na uwezo wa kutumika Afrika nzima ,Gold Dinar ingekuwa ni pesa ambayo ingetengenezwa kwa kutumia Dhahabu na lengo la kutongeza note kwa kutumia dhabu ni kuhakikisha inakuwa n thamani kuliko pesa zingine zozote zile kutoka nje ,lengo la kutengeneza pesa ya namna hii ni kuhakikisha wanalinda maligafi za ndani na kukuza uchumi wa Afrika na siyo vinginevyo.

Gold Dinner ingetumika Afrika pekee na siyo nje ya Afrika ,Muamary Gaddafi alikuwa na mpango huo ili kulinda uchumi wa Afrika ,na wazungu walipotaka kuja Afrika kuchukua kitu chochote kile wangetakiwa kubadilisha hela zao na kutumia GOLD DINAR ,Wazungu wakifika Afrika walitakiwa kutumia Gold Dinar na siyo Dollar wala pounds au Euro,mpango huo wa Gaddafi wa kuanzisha Gold Dinar ulikuwa unazishusha thamani hela za mataifa ya magaribi na zingeonekana hazina thamani tena mbele ya Gold Dinar ya Afrika na hilo lilikuwa ni tishio kwa uchumi wa mataifa ya Ulaya na marekani hivyo kulikuwa hakuna njia zingine za kumzuia Gaddafi zaidi ya kumua na kumfutilia mbali katika uso dunia.

Saddamu Hussain aliwahi kuacha kuwauzia mafuta Marekani ila wateja wake wakubwa walikuwa waarabu wenzake lakini pia ikawa haitoshi Saddam Hussain alipiga marufuku Dolla ya mmarekani kutumika katika taifa lake na kwa kufanya ivo lilikuwa ni chukizo kwa marekani na walichoamua ni kumnyongelea mbali na kuivuruga vuraga Iraq mpaka leo Taifa halitamaniki kabisa umebaki tu ushahidi wamba kuna taifa linaitwa Iraq, kinachoonekana ukitaka kunyongwa au kufutwa katika ramani hii ya dunia basi gusa dolla ya mmarekani hakuna kitu marekani kama kutaka kuishusha thamani ya hela yao .

IKO WAPI SHEHENA YA DHAHABU YA LIBYA ,iko wapi shehena ya dhahabu na almasi za Libya ..?kabla hatujaangazia wapi dhahabu za Libya zilikopotelea basi ni vyemaa tukaangalia mataifa yanayoongoza kuwa na akiba nyingi ya dhahabu duniani, mataifa yenye akiba kubwa au nyingi ya Dhahabu duniani ni marekani ndio namba 1 kwa takwimu za mwaka 2016-2017 ikiwa na tani 8,133.5 uku uingereza ikiwa inashika nafasi ya 18 uku ikiwa na tani 310.3 na nafasi ya pili ikishikwa na ujerumani ikiwa na tani 3381 na bila kusahau china ikiwa nafasi ya 6 ikiwa na tani 1778.5 na nafasi ya 3 kwa kuwa na shehena nyingi ya dhahabu ni IMF ambao wana tani 2814.0 hayo ndio mashirika yanayomiliki shehena au hazina kubwa ya dhabu duniani natamani pia kutambua nchi yangu inashika nafasi ya ngapi tena ukizingatia tuna migodi inayotema tutakuwa mbali sana hakika .

Lakini taifa la Libya lilikuwa ni moja ya mataifa yenye shehena au hazina nyingi ya Dhahabu na almas duniani basi ilikuwa ni Libya ,Muammary Ghadafi alikuwa anajenga uchumi wake kwa kutumia mafuta pekee na vyanzo vingine vidogo kama viwanda na kilimo piaa uko tripol alikuwa bado hajaanza kutumia dhahabu yake maana lengo piaa la kuwa na dhahabu nyingi kiasi hicho ni pamoja na kujenga na kuimarisha uchumii wa Kiafrika alikuwa ni kiongozi wa aina yake hakika ,alikuwa ni kiongozi ambaye alibarikiwa akili na uwezo mpana wa kuona mbali alikumbuka mpaka kuweka akiba kwa ajili ya maisha ya Walibya na Afrika ,alijua vyema kuzichana na kuthamini malighafi alizojaliwa na Mungu mpaka akaweka shehena ya kutosha ya dhahabu kwa ajili ya maisha ya baadae ,leo ni mataifa mangapi ya Akiba ya Dhahabu barani Afrika ,ni mataifa mangapi yanatambua hmuhimu wa dhahahu kama kuwaziaa wazungu lakini Colonel Gaddafi alikuwa ana akiba ya kutosha ya dhahabu na almasi na wazungu hawakupenda kuona haya wakaamua kumua kwa kumchabanga risasi kama mbwa mwenye kichaa 2011 .

Katika mataifa ya kiarabu Libya ilikuwa inashika nafasi ya 4 katika mataifa yenye dhahabu nyingi duniani uku katika dunua nzima Libya ya Muammary Gaddafi ilikuwa nafasi ya 31 uku ikiwa na tani 116 record hizo ni za mwaka 2016 miaka mitano baadae baada ya kifo cha muammary Gaddafi lakini mpaka sasa dhahabu hiyo haijulikani ilipo ,Libya pekee Libya pekee mpaka kufikia mwaka 2011 ilikuwa ina dhahabu zisizopungua Tani 144 na almasi sawa idadi hizo ,dhahabu ambayo Gaddafi alikuwa nayo ilikuwa na thamani dolla za kimarekani billion 7 ni hela nyingi sana ukizipeleka katika hela za kibongo basi tunakuwa siyo masikini tenaa ,Gaddafi alikuwa kiongozi wa aina yake hakika ,Leo angekuwa hai Libya ingekuwa inashika namba moja Afrika kwa uchumi na maisha bora kwa wanainchi wake maana Libya ilikuwa inakuwa kwa kasi kiuchumi kama moto wa mabua na hicho ndicho kilichowafanya wazungu wamuondoe maana mataifa ya Magaribi hayapendi kuona Ngozi nyeusi inafika mbali .

Lakini Dhahabu hizo na almasi zilienda wapi..?taarifa zinadai kwamba hata mpango wa kuanzisha Gold Dinar alikuwa anategemea sana kupitia shena hiyo hiyo ya dhahabu aliyokuwa ameikusanya kwa miaka mingi ,dhahabu hizo na almasi zilichukuliwa kinyemela na mataifa ya ufaransa na marekani na zingine zilichukuliwa na makundi ya kigaidi kutoka mashariki ya kati ,kulikuwa na wavamiaji wengi Libya kumbe waliowengi walikuwa wanataka kupata chochote kutoka kwenye hilo ghala la dhahabu na kutokana na vita na mvurugani mkubwa hapo Libya dhahabu na almasi hazikuoneka wapi zimepotelea au wapi zimepitiaa , japokuwa taarifa zinalenga sana ufaransa na mataifa ya kiarabu kwambali ndio walibeba shehena hiyo ya dhahabu na almasi na kutokomea nayo mazima kipindi vita vimepamba moto Libya na shehena hiyo haipo mpaka sasa na Libya wamekwama hawezi kufanya lolote lile hawajui waanzie wapi wamaliziee wapii na lawama nyingi zinatupwa kwa BI HILLARY CLINTON na Rais wa ufaransa bwana Nicholas Sakozy maana hawa ndio wahusika wakubwa katika machafuko ya Libya na kifo cha Colonel Muammary Ghaddaf .



Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jiwe akisoma bandiko kama hili kesho anaanza kuropoka nadhani ameshauriwa sijasikia akimtaja tena.. Mkuu Idrisa1510 nina Marafiki wengi Raia wa Libya, Wanamuongelea tofauti sana Muamar.. Ni sisi Watanzania ndiyo tunadhani wamekosea sana, Hawajawahi kujuta Mkuu..
 
Tunajifunza nini kutoka kwa Muamar Gadafi? Kwa maoni yangu tunaweza kujifunza yafuatayo:

Kwanza, maendeleo ya watu ndiyo yanapaswa kuwa msingi wa maendeleo yote.
Kuwa na watu wenye uwezo wa kuishi maisha yanayoendana na hadhi wanayotaka wao ndiyo njia pekee ya kuleta maendeleo ya kweli. Maendeleo ya binadamu yangepaswa kuwa (Kiuelewa-knowledge-wise, kiafya, kiroho, na kifedha). Maskini hajawahi kuwa na miji iliyopangiliwa vizuri. Maskini hawezi kuelewa maana ya ndege, teknolojia, nk. Bila kuupiga vita umaskini wa watu kwanza, kutafuta aina yoyote ya maendeleo ni sawa na kutwanga maji kwenye kinu.

Pili, uhuru wa watu ndio chanzo cha uwepo wa binadamu.
Hata Mungu asingemwachia uhuru binadamu (ukiwepo wa kutenda dhambi na kujirudi), huenda binadamu wasingekuwa wanaishi kwenye dunia hii tunayoiona leo. Historia ya binadamu inaonyesha kuwa binadamu wamekuwa wakatili na mauaji mengi yamefanyika pale ambapo baadhi ya binadamu walijichukulia mamlaka ya kuwa juu ya binadamu wengine. Kuna watu walijifanya kuwa ni wao tu wanaojua kufikiri na wengine waishi na kuchungwa kama mifugo. Fikra za aina hii zitaendelea kuitafuna siyo Afrika tu, bali dunia nzima mahali popote ambapo baadhi ya binadamu watajaribu kupora uhuru wa mawazo wa binadamu wengine wenye miili na akili zinazofanana au zilizowazidi hao watawala.

Tatu, Haki ni kichocheo cha amani.
Wazungu wamejifunza kwa upanga kuwa bila haki hakuwezi kuwa ana amani ya kudumu. Ni kawaida kusikia mtuhumiwa anachunguzwa na hata jeshi zima la FBI na majeshi mengine ili kuweza kuitafuta haki ya mtu. Ingewezekana kumweka ndani huyo mtuhummiwa au hata kumpoteza tu kwa kumpiga risasi na kupoteza ushahidi. Tofauti na tunavyowaza waafrika na baadhi ya mataifa mengine kuwa mtu msumbufu unaweza kumpoteza ili tuendelee kuwa na amani.
Waisraeli walijaribu kumpoteza Yesu na manabii wengine waliokuwa wanawaghasighasi kwa kuaambia waache maovu na wamwabudu Mungu kwa kufuata tamaduni zao. Tofauti na walichotarajia kuwa wangekuwa na amani kwa kuondokana na hao manabii, yaliwaangukia majanga ambayo hawatayasahau milele.
Hivyo, ni vyema sana kwa watawala popote walipo kuelewa na kuukubali ukweli kuwa hakuna roho ya binadamu yoyote itakayodhulumiwa halafu isidaiwe kutoka kwa yule aliyefanya hiyo dhuluma. Yesu mwenyewe aliwataarifu wafuasi wakekuwa hata idadi ya nywele zao zinajulikana. Hivyo hakuna sababu yoyote ya kumhofia binadamu linapokuja swala la ukweli.

Kwa kuhitimisha, tusiishie kulialia tu kuwa Ghadafi alikuwa hivi mara vile bila kuitazama misingi aliyokuwa anaitumia kutawala. Huenda kilichomwangusha Ghadafi ilikuwa ni misingi aliyoiasisi yeye mwenyewe kuliko hata hao NATO. Hakuna jambo duniani lisilokuwa na msingi wake.
 
KIFO CHA MUAMMARY COLONEL GADAFI NA MPANGO WAKE WA GOLD DINAR KATIKA HARAKATI ZA KULIKOMBOA BARA LA AFRICA .


Mapigano ya sirte

Muammary Gadaf alianza kuhama hama kutoka nyumba moja kwenda nyumba nyingine (apartment) yote hiyo ni katika kuhakikishaa anaokoa maiasha yake na mda wote majeshi ya NATO yakiwa yanamsakama kama mbwa kichaa kila jengo alilokuwa anasemekana kuwepo alishambuliwa vikali tena kwa mizinga mizito ,uku wale waliojiita waasi nao walikuwa wanamshambulia kwa upande wa aridhini ,Colinel Muammary Gaddaf kichwa kilimuwaka moto ikabidi aelekeze msafara wa magari zaidi ya 50 kuelekea mji alikozaliwa maana Tripoli ilikuwa imechakazwa mfano wa chekeche.

Wakati huo lakini hata pale alipojaribu kutorokea alikozaliwa magaribu mwa mji wa SIRTE bado alishambuliwa na majeshi ya NATO na vikosi vingine vya Ufaransa vilivyo ongozwa na Nicholas Sackozie na kukwamisha msafara ule na vikosi vyote vilivyokuwa vimeongozana naye vilisambaratika wachache watiifu walibaki na mzee Colonel Muammary Gaddaf kuhakikisha wanaokoa maisha yake .

Mzee Gaddafi aliona fika umauti umemfika hata wanajeshi aliokuwa nao waliona kifo kipo mbele yao walichokuwa wanakifanya ni kukamilisha ratiba na kuhakikisha wanakufa na mzee Colonel Muamary Gaddaf ,mashambulizi hayo yaliyolenga kumpoteza muammary Gadaf na familia yake yalijulikana kama THE BATLLE OF SIRTE ,Sijui Gadafi aliwakosea nini maana walikuwa wanamuwinda kama kiumbe hatari sana ambacho kingebaki salama basi duniaa ingehangamiaa alikuwa anashambuliwa vibaya mno.

Msafara wake wenye magari zaidi ya 50 ulisambaratishwa na vikosi vya Ufaransa na majeshi ya NATO ambao walikuwa angani na kulekea msafara huo kukwamba na watu kuamua kushuka na kujipanga kimakundi ili kuangalia namna gani wanaokoa maisha yao na ya mzee gaddafi lakini hakuna sehemu ya kujificha maana ni jangwani walikuwa wanashambulia kwa kasi ya ajabu mpaka kupelekea vikosi vilivyokuwa na Gaddafi wengi kufa papo hapo na kubaki watu wachache sanaa ambao nao walichapswa risasi na wale waliojiitaa waaasi na kupelekea Gadafi kukosq ulinzi kabisa maana kuna taarifa zinasema kwamba ilifikia hatua Gaddafi alibaki na walinzi wawili tu na si vinginevyo .

kutokana na watu waliokuwa karibu na Gadafi katika kipindi hicho kigumu na alijaribu kutoa kile alichokishuhudia basi alikuwa ni Moussa Ibrahim,baada ya mashambulizi kuwa makali na maji kuzidi unga Muammary Gaddaf aliamua kukimbia na kujificha kwenye Culvert(mabomba makubwa ya kupitishia maji machafu yanapatikana barabarani),Mzee huyu Mwamba wa Afrika aliyekuwa na mipango mikubwa juu ya Afrika anakufa kifo cha ajabu sana na cha kusikitisha .

Roho na nafsi zilikuwa zinaukimbia mwili basi baada ya kujificha kwenye kalvati la kupitishiaa maji machafu waasi walikuwa wamesha fika eneo husika na alikuwa amezungukwa na waasi waliokuwa wanaongozwa na rais wa serikali ya mpito wa wakati huo (NTC) kwa jina la MAHAMOUD JABRIL ,Muammary Gadafi alishikwa na vikosi hivyo vya duniaa huku video sikisambaa kama moto wa kifuu Dunia kwamba Muammary Gaddaf alikuwa tayari ametiwa nguvuni .

Muammary Gaddaf alikamatwa akiwa hai kabisaa isipokuwa tu waasi walianza kumtesa kwa kumpiga piga ovyo kama kibaka aliyeiba kuku mtaa wa jirani ,alipata mateso makali sana maana kila mtu alikuwa anajipigia anavyotaka hakukuwa na ustaarabu wala ubinadamu wowote ule ,mashirika ya haki za binadamu kama HUMAN RIGHT WATCH na umoja wa kimataifa (UN) ulitaka kuona Gaddafi akiwa hai na kufikishwa kwenye vyombo vya sheria na siyo kupigwa risasi hata Obama na Clinton alitaka kuona hivyo lakini piaa wanalaumiwa kwamba wao ndio waliruhusu yatokee hayo.

Umoja wa kimataifa pia ulitiliaa mkazo kwamba wasimpige risasi lakini mambo hayakuwa ivoo Gadaff akiwa ameteswa yuko hoi taabani hatamaniki kabisa aliwauliza waasi kwamba NIMEWAKOSEA NINI..??NI KITU GANI KIBAYA NIMEWAFANYIA hayo yalikuwa maneno yake lakini piaa aliwapigia magoti na kuwaomba msamaha kwamba NAOMBENI MNISAMEHE MSINPIGE RISASI hakuna aliyemsikiliza bali walipuuza na kumcheka yaani kama vile walikuwa wamekamata nyama porini tayari kwa msosi ,hakuna mwanzo usiokuwa na mwisho na kila jambo na wakati wake Muammary Colinel Gaddaf alichapwa risasi tumboni ,alichapwa risasi Kifuani na kichwani ,mwili wake ulikuwa haufai ulikuwa umejaa damu tupu ulikuwa unavuja damu kila mahali .

Maisha kuna mda hayana maana na kuna mda ya maana piaa ,binadamu upendo umepotea umebaki unyamaa visasi vinaendelea kulitafuna bara la Afrika bado Afrika inasafari ndefu ya kwenda na aibu sana mataifa mwngine ambayoo siya ya kiafrika kuja kutuulia kiongozi wa Afrka ni makosa makubwa ambayo Afrika imefanya kuruhusu kiongo Gaddafi kufa kama kuku na laana hii acha iendelee kututafuna daima ,umoja wa Afrika (AU) ilikuwepo na ilikuwa inaangaliaa tu ni aibu kubwa na hakuna mtu atabaki salama viongozi wasipojirekebisha,hata kama Gadaf alikuwa ana mabaya lakini bado hakustahiili kufanyiwa vile alivyofanyiwa na hakuna kiongozi wa Afrika aliyefungua mdomo kulaani kama siyo poul Kagame peke yake ukiachilia jacobu zuma na Robert Mugabe .

Colonel Muammary Gaddaf alipoteza maisha kwa style ya kepekee sana lilikuwa ni jambo la kushangaza na kusikitishaa mno,yaani Afrika ilibaki imepigwa na ganzi hakika tutakukumbuka daima Muamary Gadafi (Rest easy in peace Sir) punde tu baada taarifa kusambaa kwenye mashirika makubwa ya kibepari kama FOX NEWS,BBC,CNN ,DW na Al jezeera kwamba Gaddafi amepigwa risasi na waasi ambao Gaddafi aliwaita majeshi ya Duniaa viongozi wakubwa walionekana kufurahia tukio hilo na kuweka vifua mbele.

Bila aibu yoyote ile na rais aliyeitwa ni wa Serikali ya mpito (NTC) bwana Mohamoud Jabril alitangaza akiwa tripoli kwamba "Huu ndio wakati ambao tumekuwa tukiusubiri kwa mda mrefu sana 'kauli hii inaonyesha wazi kwamba kufa kwa Gaddafi kulikuwa kumepangwa na piaa punde kidogo walionekana waasi wameshika bastora ya dhahabu aliyokuwa nayo Muammary Gaddafi mkononi kabla umauti hauja mkuta na baada ya hapo mwili wa Comred colonel Gaddafi ukapelekwa katika mji wa Misrata ili kuwaonyesha watu kwamba kweli Gaddafi amekufa .

Muammary Gaddafi mfalme huyu wa Afrika alikufa kwa kupigwa risasi nyingi mwilini na mateso makali mwaka na tarehe 20/10/2011(Rest Easy in Peace Comred Gaddaf ) ,Muamary Gaddaf alikufa kwa ajili ya bara la Afrika ,Gadaf alitaka kuona Afrika inajikomboa katika mikono ya wazingu na alikuwa amezamilia kufanya mabadiliko makubwa ya kichumi katika bara hili la Afrikaa bila kujali ,mwaka 2009 akiwa kama mwenyekiti wa umoja wa mataifa huru ya Afrika AU alipanga mikakati kabambe ya kuhakikisha tunajinasua kutoka katika mikono ya majambazi wazungu ,kwenye suala la usalama alitaka tuwe na jeshi la Afrika litakalolinda mipaka yetuu,alitaka kuona tuna jesi moja la Afrika nzimaa ,alitaka kuona tuna hela yetu Afro-curency ambayo ingetumika Afrika nzima ili kuepukana na kutumia dolla ,alitaka kuanzisha Bank kuu ya Afrika ,alitaka kuunganisha Afrika nzima kwa barabara hakika Gaddafi alikuwa ni kiongozi aliyelipenda bara la Afrika .

Shutuma nyingi zinaenda kwa Be hillary Clinton akiwa kama waziri wa mambo ya nje wa Marekani maana yeye alihusika pakubwa na mauaji ya Muammary Gadaf akishirikiana na rais wa marekani wa 44 bwana Barack Obama bila kumsahau Rafiki yao Nicholas Sakozy wa ufaransa hawa ndio wazi wakubwa na walimuua Gaddafi kwa sababu ya uroho wao na tamaa juu ya malighafi za Afrikaa ,katika Moja ya Barua pepe za Hillary Clinton zaidi ya 3000 zilizovujishwa na kutolewa na FBI mwaka 2015 mwishoni zilionyesha wazi namna Gani mipango ya kumuondoa Gaddafi ilivyokuwa ikifanyika.

Gaddafi hakufa kwa bahati mbaya Kifo cha Gaddafi kilipangwa ,tunawauliza walibya je wamepata nini sasa baada ya kumuangusha Gaddafi ..?Walibya waliojiita waasi na kudai wamemchoka Gaddafi je wamekipata walichokuwa wanakitaka .?LIBYA IMEGEUKA KUWA LANGO LA WALANGUZI makosa makubwa yaliyofanyika na Walibya ni kumuua Gadafi leo hakuna kitu Libya ,wamebaki wanaangaliana usoni watu wanakufa ovyoo ,njaa huduma chafu Libya imegeuka kuwa soko la watumwa na kichaka cha Makundi ya kigaidi .

Ulikuwa ni wakati mgumu sana pengine ambao hakuwahi kuufikiria wala kuota katika maisha yake ,aliamini kwamba hakuna mtu hata mmoja ambaye angeweza kuivamiaa LIBYA, kumbe mawazo yake yalikuwa yamekosa mwanga ,kulingana na watu waliokuwa naye pamoja na wale waliojitolea kufa naye kama ABU KADIR YUNUS na kijana mmoja anayejulikana kwa jina la Dhao walidai Colonel muammary Gadafi hakuwahi kuwaza kukimbia nchi yake mda wote alikuwa akisisitiza atafia Libya.

Hata pale marafiki zake wa karibu kama wakina Jacobu Zuma walipojaribu kumshauri bado alikaza roho kama mwanaume aliyechoka kuishi kwamba alizaliwa Libya na atafia Libya hata ivo walikuwepo viongozia ambao walitambua fika kwamba Gaddaf hawawezi kumuacha salama mfano Robert Gabriel Mugabe naya alijaribu kumshawishi Gaddafi aende Zimbabwe lakini Mtaalamu Colonel Muamary Gaddaf aligoma kweli SIKU YA KUFA NYANI MITI YOTE HUTELEZA.

MPANGO MZITO WA GADDAFI JUU YA BARA LA AFRICA,Gadafi alikuwa kiingozi wa mfano hapa Afrika na katika hili hakuna ubishi maana Libya ya Gaddafi ni Tofauti na Libya ya sasa ambayo wamejaa walanguzi na majambazi na makundi ya kigaidi ,Libya ya Gaddafi ilikuwa mfano wa kuigwa Afrika na Dunia kwa ujumla ,Gadafi anapaswa kukumbukwa daima maana alifanya mambo makubwa uko Libya na Afrika ,Gaddafi alitaka kuona Afrika inasimama yenyewe kama Afrika pasipo kutegemea misaada kutoka nje ,kama ilivyo sasa mataifa mengi yanategemea msaa kutoka mataifa wahisani kwa asilimia 70%,Muamary Gaddafi hakuwa tu na mawazo bali pia alikuwa na pesa na kila aina ya mali ya kufanya yote yale aliyokuwa anayaamini ,kipindi Gadafi yupo madarakani Libya ndio lilikuwa taifa linaloongoza kwa uzalisaji wa Mafuta barani Afrika ukiachiilia mbali Ghana na Angola ,mafuta pekee yake yalitosha kujenga libya yenye mfano ukiachilia mbali shehena ya Dhahabu aliyokuwa nayo .

Hapa nakumbuka kauli moja ya Patrice Otieno Lumumba kwamba watu wenye mawazo mapana na wenye akili nyingi huwa hawadumu kabisa ,Heshima kwako Gaddafi na Mungu akufanyie wepesi uko uliko sijui walikuzika wapi angalau hata kizazi kijacho kingefahamu kwamba alikuwepo mfalme wa Afrika ,GOLD DINAR iliwachanganya wazungu ,mpango wako wa GOLD DINAR uliwafanya wazungu waje Afrika kibabe ili kuzuiaa mpango huo uliokuwa tishio kwa uchumi wa mataifa ya Ulaya,Gadaf pekee alitosha kabisa kufuta Umasikini Afrika maana mawazo yake yalikuwa yakinifu hakika na kweli Gold Dinar ndio lilokuwa suluhisho la uchumu wa Afrika na si vinginevyo.

Mataifa ya bara la ulaya hayawahi kuwapenda waafrika ,Dunua ilikuwa inasuburi kuona Gaddafi atafanya nini na waliamini kwamba Gadafi hata weza kuchukua hatua yoyote ile na walipoona kwamba Gaddafi anapiga hatua 50 mbele kweli wakatengeneza propaganda ili aonekane kiongozi wa Hovyo na katili mbele ya rai wake na Dunia nzima ikaaminishwa ivo ,mbinu walizotumia kumuondoa Gaddafi ndio mbinu hizo hizo zilizotumika kumuondoa Sadam Hussain lakini leo iko wap Iraq ya Sadam Hussain ..??wamemuondoa Muammary Gaddafi iko wapi Libya iliyokuwa inasifika Afrika kwa uchumi imara ,iko wapi Libya ilyokuwa ina iwezo wa kufadhili umoja wa nchi huru Afrika (AU).

GOLD DINAR,ili Afrika iondokane na ukilitimba na unyonyaji kutoka mataifa ya nje lazima Afrika ihakikishe inaungana na kuwa kitu komoja na maneno haya yalikuwa yakina Haile selas wa Ethiopia na Nkwame Nukuruma Nukuruma wa Ghana yalitamkwa mwaka 1963 uko Adidis Ababa Ethiopia siku umoja wa Afrika unazaliwa na Hata wakina David Dacko walilisitiza Afrika kuungana kuwa kitu kimoja lakini hawakufanya ivo miaka 50 baadae Afrika bado tunakufa njaa ,Afrika bado imegawanyika ,Afrika Bado tumekwama kwenye vita vya wenyewe kwa wenyewe.

Muammary Gaddafi akajitokeza na kuamua kusimamia hoja ya Afrka kuungana tena kwa vitendo na yeye akachukua jukumu la kuunganisha Afrika kwa kutumia pesa zake mwenyewe pasipo kumchangisha mtu yoyote ,Gaddafi alitaka Afrika itengeneze pesa yake yenyewe ambayo ingeindwa Gold Dinner ,pesa hii ingekuwa na uwezo wa kutumika Afrika nzima ,Gold Dinar ingekuwa ni pesa ambayo ingetengenezwa kwa kutumia Dhahabu na lengo la kutongeza note kwa kutumia dhabu ni kuhakikisha inakuwa n thamani kuliko pesa zingine zozote zile kutoka nje ,lengo la kutengeneza pesa ya namna hii ni kuhakikisha wanalinda maligafi za ndani na kukuza uchumi wa Afrika na siyo vinginevyo.

Gold Dinner ingetumika Afrika pekee na siyo nje ya Afrika ,Muamary Gaddafi alikuwa na mpango huo ili kulinda uchumi wa Afrika ,na wazungu walipotaka kuja Afrika kuchukua kitu chochote kile wangetakiwa kubadilisha hela zao na kutumia GOLD DINAR ,Wazungu wakifika Afrika walitakiwa kutumia Gold Dinar na siyo Dollar wala pounds au Euro,mpango huo wa Gaddafi wa kuanzisha Gold Dinar ulikuwa unazishusha thamani hela za mataifa ya magaribi na zingeonekana hazina thamani tena mbele ya Gold Dinar ya Afrika na hilo lilikuwa ni tishio kwa uchumi wa mataifa ya Ulaya na marekani hivyo kulikuwa hakuna njia zingine za kumzuia Gaddafi zaidi ya kumua na kumfutilia mbali katika uso dunia.

Saddamu Hussain aliwahi kuacha kuwauzia mafuta Marekani ila wateja wake wakubwa walikuwa waarabu wenzake lakini pia ikawa haitoshi Saddam Hussain alipiga marufuku Dolla ya mmarekani kutumika katika taifa lake na kwa kufanya ivo lilikuwa ni chukizo kwa marekani na walichoamua ni kumnyongelea mbali na kuivuruga vuraga Iraq mpaka leo Taifa halitamaniki kabisa umebaki tu ushahidi wamba kuna taifa linaitwa Iraq, kinachoonekana ukitaka kunyongwa au kufutwa katika ramani hii ya dunia basi gusa dolla ya mmarekani hakuna kitu marekani kama kutaka kuishusha thamani ya hela yao .

IKO WAPI SHEHENA YA DHAHABU YA LIBYA ,iko wapi shehena ya dhahabu na almasi za Libya ..?kabla hatujaangazia wapi dhahabu za Libya zilikopotelea basi ni vyemaa tukaangalia mataifa yanayoongoza kuwa na akiba nyingi ya dhahabu duniani, mataifa yenye akiba kubwa au nyingi ya Dhahabu duniani ni marekani ndio namba 1 kwa takwimu za mwaka 2016-2017 ikiwa na tani 8,133.5 uku uingereza ikiwa inashika nafasi ya 18 uku ikiwa na tani 310.3 na nafasi ya pili ikishikwa na ujerumani ikiwa na tani 3381 na bila kusahau china ikiwa nafasi ya 6 ikiwa na tani 1778.5 na nafasi ya 3 kwa kuwa na shehena nyingi ya dhahabu ni IMF ambao wana tani 2814.0 hayo ndio mashirika yanayomiliki shehena au hazina kubwa ya dhabu duniani natamani pia kutambua nchi yangu inashika nafasi ya ngapi tena ukizingatia tuna migodi inayotema tutakuwa mbali sana hakika .

Lakini taifa la Libya lilikuwa ni moja ya mataifa yenye shehena au hazina nyingi ya Dhahabu na almas duniani basi ilikuwa ni Libya ,Muammary Ghadafi alikuwa anajenga uchumi wake kwa kutumia mafuta pekee na vyanzo vingine vidogo kama viwanda na kilimo piaa uko tripol alikuwa bado hajaanza kutumia dhahabu yake maana lengo piaa la kuwa na dhahabu nyingi kiasi hicho ni pamoja na kujenga na kuimarisha uchumii wa Kiafrika alikuwa ni kiongozi wa aina yake hakika ,alikuwa ni kiongozi ambaye alibarikiwa akili na uwezo mpana wa kuona mbali alikumbuka mpaka kuweka akiba kwa ajili ya maisha ya Walibya na Afrika ,alijua vyema kuzichana na kuthamini malighafi alizojaliwa na Mungu mpaka akaweka shehena ya kutosha ya dhahabu kwa ajili ya maisha ya baadae ,leo ni mataifa mangapi ya Akiba ya Dhahabu barani Afrika ,ni mataifa mangapi yanatambua hmuhimu wa dhahahu kama kuwaziaa wazungu lakini Colonel Gaddafi alikuwa ana akiba ya kutosha ya dhahabu na almasi na wazungu hawakupenda kuona haya wakaamua kumua kwa kumchabanga risasi kama mbwa mwenye kichaa 2011 .

Katika mataifa ya kiarabu Libya ilikuwa inashika nafasi ya 4 katika mataifa yenye dhahabu nyingi duniani uku katika dunua nzima Libya ya Muammary Gaddafi ilikuwa nafasi ya 31 uku ikiwa na tani 116 record hizo ni za mwaka 2016 miaka mitano baadae baada ya kifo cha muammary Gaddafi lakini mpaka sasa dhahabu hiyo haijulikani ilipo ,Libya pekee Libya pekee mpaka kufikia mwaka 2011 ilikuwa ina dhahabu zisizopungua Tani 144 na almasi sawa idadi hizo ,dhahabu ambayo Gaddafi alikuwa nayo ilikuwa na thamani dolla za kimarekani billion 7 ni hela nyingi sana ukizipeleka katika hela za kibongo basi tunakuwa siyo masikini tenaa ,Gaddafi alikuwa kiongozi wa aina yake hakika ,Leo angekuwa hai Libya ingekuwa inashika namba moja Afrika kwa uchumi na maisha bora kwa wanainchi wake maana Libya ilikuwa inakuwa kwa kasi kiuchumi kama moto wa mabua na hicho ndicho kilichowafanya wazungu wamuondoe maana mataifa ya Magaribi hayapendi kuona Ngozi nyeusi inafika mbali .

Lakini Dhahabu hizo na almasi zilienda wapi..?taarifa zinadai kwamba hata mpango wa kuanzisha Gold Dinar alikuwa anategemea sana kupitia shena hiyo hiyo ya dhahabu aliyokuwa ameikusanya kwa miaka mingi ,dhahabu hizo na almasi zilichukuliwa kinyemela na mataifa ya ufaransa na marekani na zingine zilichukuliwa na makundi ya kigaidi kutoka mashariki ya kati ,kulikuwa na wavamiaji wengi Libya kumbe waliowengi walikuwa wanataka kupata chochote kutoka kwenye hilo ghala la dhahabu na kutokana na vita na mvurugani mkubwa hapo Libya dhahabu na almasi hazikuoneka wapi zimepotelea au wapi zimepitiaa , japokuwa taarifa zinalenga sana ufaransa na mataifa ya kiarabu kwambali ndio walibeba shehena hiyo ya dhahabu na almasi na kutokomea nayo mazima kipindi vita vimepamba moto Libya na shehena hiyo haipo mpaka sasa na Libya wamekwama hawezi kufanya lolote lile hawajui waanzie wapi wamaliziee wapii na lawama nyingi zinatupwa kwa BI HILLARY CLINTON na Rais wa ufaransa bwana Nicholas Sakozy maana hawa ndio wahusika wakubwa katika machafuko ya Libya na kifo cha Colonel Muammary Ghaddaf .



Sent using Jamii Forums mobile app

Walibya walichokifanya nakifananisha na hulka ya mwanamke malaya. Unaeza ukawa unamtunza kwa hali na mali ila akitokea jamaa mwengine akamrubuni kirahisi ataanza kukufanyia vimbwanga na kusahau kama wewe ndio unamuweka mjini.

Mwisho wake anapigwa pumbu kisha akitoswa ndio akili zinamrudia kwamba alishanyea kambi! Anajirudisha na kisura cha huruma na kuomba omba misamaha.
 
Uko sahihi,

It has become clear that Gaddafi has left behind a long, damaging legacy caused by his deliberate decimation of any forms of state institutions.

Gaddafi's legacy also included having no formal constitution or an independent judiciary system as well as the prohibition of political parties, civil society organisations and free press throughout his 42-year rule.
-Aljazeera

Tunajifunza nini kutoka kwa Muamar Gadafi? Kwa maoni yangu tunaweza kujifunza yafuatayo:

Kwanza, maendeleo ya watu ndiyo yanapaswa kuwa msingi wa maendeleo yote.
Kuwa na watu wenye uwezo wa kuishi maisha yanayoendana na hadhi wanayotaka wao ndiyo njia pekee ya kuleta maendeleo ya kweli. Maendeleo ya binadamu yangepaswa kuwa (Kiuelewa-knowledge-wise, kiafya, kiroho, na kifedha). Maskini hajawahi kuwa na miji iliyopangiliwa vizuri. Maskini hawezi kuelewa maana ya ndege, teknolojia, nk. Bila kuupiga vita umaskini wa watu kwanza, kutafuta aina yoyote ya maendeleo ni sawa na kutwanga maji kwenye kinu.

Pili, uhuru wa watu ndio chanzo cha uwepo wa binadamu.
Hata Mungu asingemwachia uhuru binadamu (ukiwepo wa kutenda dhambi na kujirudi), huenda binadamu wasingekuwa wanaishi kwenye dunia hii tunayoiona leo. Historia ya binadamu inaonyesha kuwa binadamu wamekuwa wakatili na mauaji mengi yamefanyika pale ambapo baadhi ya binadamu walijichukulia mamlaka ya kuwa juu ya binadamu wengine. Kuna watu walijifanya kuwa ni wao tu wanaojua kufikiri na wengine waishi na kuchungwa kama mifugo. Fikra za aina hii zitaendelea kuitafuna siyo Afrika tu, bali dunia nzima mahali popote ambapo baadhi ya binadamu watajaribu kupora uhuru wa mawazo wa binadamu wengine wenye miili na akili zinazofanana au zilizowazidi hao watawala.

Tatu, Haki ni kichocheo cha amani.
Wazungu wamejifunza kwa upanga kuwa bila haki hakuwezi kuwa ana amani ya kudumu. Ni kawaida kusikia mtuhumiwa anachunguzwa na hata jeshi zima la FBI na majeshi mengine ili kuweza kuitafuta haki ya mtu. Ingewezekana kumweka ndani huyo mtuhummiwa au hata kumpoteza tu kwa kumpiga risasi na kupoteza ushahidi. Tofauti na tunavyowaza waafrika na baadhi ya mataifa mengine kuwa mtu msumbufu unaweza kumpoteza ili tuendelee kuwa na amani.
Waisraeli walijaribu kumpoteza Yesu na manabii wengine waliokuwa wanawaghasighasi kwa kuaambia waache maovu na wamwabudu Mungu kwa kufuata tamaduni zao. Tofauti na walichotarajia kuwa wangekuwa na amani kwa kuondokana na hao manabii, yaliwaangukia majanga ambayo hawatayasahau milele.
Hivyo, ni vyema sana kwa watawala popote walipo kuelewa na kuukubali ukweli kuwa hakuna roho ya binadamu yoyote itakayodhulumiwa halafu isidaiwe kutoka kwa yule aliyefanya hiyo dhuluma. Yesu mwenyewe aliwataarifu wafuasi wakekuwa hata idadi ya nywele zao zinajulikana. Hivyo hakuna sababu yoyote ya kumhofia binadamu linapokuja swala la ukweli.

Kwa kuhitimisha, tusiishie kulialia tu kuwa Ghadafi alikuwa hivi mara vile bila kuitazama misingi aliyokuwa anaitumia kutawala. Huenda kilichomwangusha Ghadafi ilikuwa ni misingi aliyoiasisi yeye mwenyewe kuliko hata hao NATO. Hakuna jambo duniani lisilokuwa na msingi wake.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jiwe akisoma bandiko kama hili kesho anaanza kuropoka nadhani ameshauriwa sijasikia akimtaja tena.. Mkuu Idrisa1510 nina Marafiki wengi Raia wa Libya, Wanamuongelea tofauti sana Muamar.. Ni sisi Watanzania ndiyo tunadhani wamekosea sana, Hawajawahi kujuta Mkuu..
Ebu weka mfano,wanamzungumzia vipi huyo Jamaa??
 
Jiwe akisoma bandiko kama hili kesho anaanza kuropoka nadhani ameshauriwa sijasikia akimtaja tena.. Mkuu Idrisa1510 nina Marafiki wengi Raia wa Libya, Wanamuongelea tofauti sana Muamar.. Ni sisi Watanzania ndiyo tunadhani wamekosea sana, Hawajawahi kujuta Mkuu..
Andika kwa kirefu kidogo,pengine hatujui yaliyopo,tunajua yaliyokuwepo
 
Tunajifunza nini kutoka kwa Muamar Gadafi? Kwa maoni yangu tunaweza kujifunza yafuatayo:

Kwanza, maendeleo ya watu ndiyo yanapaswa kuwa msingi wa maendeleo yote.
Kuwa na watu wenye uwezo wa kuishi maisha yanayoendana na hadhi wanayotaka wao ndiyo njia pekee ya kuleta maendeleo ya kweli. Maendeleo ya binadamu yangepaswa kuwa (Kiuelewa-knowledge-wise, kiafya, kiroho, na kifedha). Maskini hajawahi kuwa na miji iliyopangiliwa vizuri. Maskini hawezi kuelewa maana ya ndege, teknolojia, nk. Bila kuupiga vita umaskini wa watu kwanza, kutafuta aina yoyote ya maendeleo ni sawa na kutwanga maji kwenye kinu.

Pili, uhuru wa watu ndio chanzo cha uwepo wa binadamu.
Hata Mungu asingemwachia uhuru binadamu (ukiwepo wa kutenda dhambi na kujirudi), huenda binadamu wasingekuwa wanaishi kwenye dunia hii tunayoiona leo. Historia ya binadamu inaonyesha kuwa binadamu wamekuwa wakatili na mauaji mengi yamefanyika pale ambapo baadhi ya binadamu walijichukulia mamlaka ya kuwa juu ya binadamu wengine. Kuna watu walijifanya kuwa ni wao tu wanaojua kufikiri na wengine waishi na kuchungwa kama mifugo. Fikra za aina hii zitaendelea kuitafuna siyo Afrika tu, bali dunia nzima mahali popote ambapo baadhi ya binadamu watajaribu kupora uhuru wa mawazo wa binadamu wengine wenye miili na akili zinazofanana au zilizowazidi hao watawala.

Tatu, Haki ni kichocheo cha amani.
Wazungu wamejifunza kwa upanga kuwa bila haki hakuwezi kuwa ana amani ya kudumu. Ni kawaida kusikia mtuhumiwa anachunguzwa na hata jeshi zima la FBI na majeshi mengine ili kuweza kuitafuta haki ya mtu. Ingewezekana kumweka ndani huyo mtuhummiwa au hata kumpoteza tu kwa kumpiga risasi na kupoteza ushahidi. Tofauti na tunavyowaza waafrika na baadhi ya mataifa mengine kuwa mtu msumbufu unaweza kumpoteza ili tuendelee kuwa na amani.
Waisraeli walijaribu kumpoteza Yesu na manabii wengine waliokuwa wanawaghasighasi kwa kuaambia waache maovu na wamwabudu Mungu kwa kufuata tamaduni zao. Tofauti na walichotarajia kuwa wangekuwa na amani kwa kuondokana na hao manabii, yaliwaangukia majanga ambayo hawatayasahau milele.
Hivyo, ni vyema sana kwa watawala popote walipo kuelewa na kuukubali ukweli kuwa hakuna roho ya binadamu yoyote itakayodhulumiwa halafu isidaiwe kutoka kwa yule aliyefanya hiyo dhuluma. Yesu mwenyewe aliwataarifu wafuasi wakekuwa hata idadi ya nywele zao zinajulikana. Hivyo hakuna sababu yoyote ya kumhofia binadamu linapokuja swala la ukweli.

Kwa kuhitimisha, tusiishie kulialia tu kuwa Ghadafi alikuwa hivi mara vile bila kuitazama misingi aliyokuwa anaitumia kutawala. Huenda kilichomwangusha Ghadafi ilikuwa ni misingi aliyoiasisi yeye mwenyewe kuliko hata hao NATO. Hakuna jambo duniani lisilokuwa na msingi wake.
unataka kuniambia sasa libya ni shwari,wamefanikiwa kwa kile walichokihitaji?

Au wamejimaliza kwa mikono yao,na ndivyo ilivyo,hata sisi tunataka hali ya namna hiyo,fahamu wachache wenye nguvu watakimbia ,wengi tutabaki humuhumu siraha mabegani tukiwindana kama panya na paka.
Mzungu hajawawahi kua mwema kwa mwafrika hata siku moja,hayupo,

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom