muhomakilo jr
JF-Expert Member
- Jul 28, 2013
- 13,183
- 9,390
Ana kishuzi kimtindo😀😀Spiderman anatikisa tako bongo nyoso
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ana kishuzi kimtindo😀😀Spiderman anatikisa tako bongo nyoso
Huwa anafanya nini maana sisi tulioko huku Kakonko ndio tunamsikia leo.Watoto wataharibika kwakuwa wataiga mambo anayofanya, na ni kwasababu wanampenda spider man.
Ni hatare sana kwa watoto wetu huyu jamaa
utaruhusu watoto wako watikise matako barabarani kisa wanajitafutia kipato, kuwa serious kijanahatari kwa watoto kuliko mondi?nyimbo za nyuchi kila kukicha.
Penina na mwijaku na ma picha ya nyuchi ndo mnapenda?
Watoto mmewaharibu wenyew wala msimpe lawama spider ,anayetafuta riziki kwa jasho lake.watoto wenu wakiiga kutafuta riziki kuna hatari?
Hao watoto kama wana akili kama zako hizi usitegemee kuhalibika kwa spider iyo ni inhelitage
Ila yule spider man wa ulaya hawamuigi sio!??Watoto wataharibika kwakuwa wataiga mambo anayofanya, na ni kwasababu wanampenda spider man.
Ni hatare sana kwa watoto wetu huyu jamaa
Mkuu hata wa Ulaya hafai.Ila yule spider man wa ulaya hawamuigi sio!??
Wabongo pungezeni husdaa!!! Choyoo!! Chuki na Unaa.
Wema huyuhuyu muuza nyapu naye anatoa maoni alafu yanasikilizwa?Wema katoa sababu anawaharibu watoto inaonesha ww unayo interest na huyo spider
Uzuri wa haya maisha: umaarufu wa watu ni kama misimu, huja na kuondoka, isipokuwa wachache sana: walioacha athari kubwa mno zisizosahaulikaUzuri wa Tz hapo siku sio nyingi jamaa atakuwa maarufu kweli kweli.
Hivi wewe umeiona video yake moja tu ama??Hebu acheni speculations za kindezi aiseeee... Kukata kiuno maana yake ni ushoga?? Umeshawahi kwenda miziki ya kikongo ya akina Nyoshi Elsa dat, Christian Bella na wengine? Uno linapigwa haswa... Wasanii wengi tuu wakata mauno na maisha yanaendelea. Sasa nyie tayari mbakimbilia ushoga wakati mashoga origino wamejaa kibao huko kitaa. Huyo dogo kafanya ubunifu wake ili maisha yaende na juzi nimekuta habari zake BBC na DW yaani tayari dogo yuko kimataifa wakati wewe unambwilambwila hapa JF ... Unaweza kukuta chaap kaitwa huko unyamwezini Hollywood who knows?? Kiufupi maisha Bongo yamekaba kama mechi ya juzi ya Simba na Yanga, sasa mtu akipata idea ya kumuingizia buku 5 mpaka 10 kwa siku mwache kabisa as long as havunji sheria za nchi na maadili yetu baasi... Kama kuna sehemu ya kumrekebisha na kumpa ushauri apewe ila mwacheni aendelee aisee.
Hao wote uliowataja wanaviashiria vya ushoga,ukivaa nguo chafu unakuwa mchafu hata kama wewe unatabia za kuwa msafi. Mwanaume kukata viuono hadharani ni ushoga.Kwanini mna mnasibisha na Ushoga? Alisema yeye ni shoga au kisa anakata viuno ndio kishakua shoga?
Joti vipi na yeye Shoga??? Wale dancers wa band nao Mashoga??