Tujifunze kabla hujawa kwenye ndoa usimuweke mpenzi wako openly ipo siku utajuta

Uandishi wako haina usawa kabisa ,yaani kwaharaka nimeielewa headline yako vizuri tu lakin katikati umeharibu kabisa.

Let's lead on a point......

Miaka 16..17 kuingage katika mapenzi hapo tunasema mnajifunza mapenzi yakitoto,. Kwahyo niajabu Sana kuona kwamba wewe ulitegemea true love kutoka kwa mtu ambaye hajui meaning of love.

Ingawaje ningumu kumpata mtu mwenye upendo wa dhat zama hizi ,lakin stori yako inathibitisha kwamba mapenzi yenu yalikuwa affected na utoto wenu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wanawake tusiwaamini sana hawa wanaume na iwe fundisho ata kwako wewe unayesoma hii story! Nilikuwa na mahusiano na rafiki wa mpenzi wangu ambaye niliamua tu kumuacha bila sababu lakini enzi izo umri wetu ulikuwa mdogo sana age ilikuw kweny 16 hadi 17 tulipendana sana wakajua ndugu zake wakajua ndugu zangu.

Rafiki ake alipata uchungu sana kuona nipo na rafiki ake siku ziliendelea ila huyu mpenzi wangu nikikosea akikasirika anakupiga kibao tena sehemu za uso na uwa anakutembezea kimoja tu anatulia hasira zake zinakuwa zimeisha tuliaminiana sana lakini mara nyingi baada ya mda flan nagundua ana mwanamke pembeni nikija kugundua anaachananae kabida haendelei nae mimi na yeye tulikuw tunaishi mbali mbali.

Ilifika mda huko alikokuw anakaa alikuwa na mwanamk mwingin kwasababu wote walikuw wanakaa mkoa mmoja basi uyo mwanamke alikuwa anaenda alivyojisikia lakini akirudi kwangu mzigo anapata kama kawaida na ni kila siku baada ya kugundua ana mwanamke mwingine alinishuhudia ameshaachananae na amemtambulisha kuwa ana mwanamke ambaye ni mimi na ashawahi niambia kuwa uyo mwanamke ana mtoto lakini mda mwingine anasema ananidanganya tu hana mtoto na hapa mwezi huu tumeachana lakini kuna mwanamke ananisumbua ananitumia sms za ovyo na mda mwingine anatumia sim ya uyo x wangu.

Kunichafua na uyo x wangu kaniambia nifute picha zake zote kila mahari na kuna kipindi nilishika sim yake kutafuta no za wanawake ambao anawapigia sana alivyogundua akaniambia niache iyo tabia nisije nikamwalibia coz yeye mi ajanioa nilivyomwambia mbon ujatulia akaniambia nitatulia nitakapooa.mimi alikuwa hanipi cm yake niishike lakini uyu aliyenae saizi kampa had password.lakin mimi ndo niliyetambulika kwa ndugu zake.tujifunze kabla ujawa kwenye ndoa usimweke mpenzi wako openly ipo siku utajuta.

Sent using Jamii Forums mobile app
Umekuona we gari la mkaa,
Ameweka auto sasa, ngoja limtupe kwanza

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wanawake tusiwaamini sana hawa wanaume na iwe fundisho ata kwako wewe unayesoma hii story! Nilikuwa na mahusiano na rafiki wa mpenzi wangu ambaye niliamua tu kumuacha bila sababu lakini enzi izo umri wetu ulikuwa mdogo sana age ilikuw kweny 16 hadi 17 tulipendana sana wakajua ndugu zake wakajua ndugu zangu.

Rafiki ake alipata uchungu sana kuona nipo na rafiki ake siku ziliendelea ila huyu mpenzi wangu nikikosea akikasirika anakupiga kibao tena sehemu za uso na uwa anakutembezea kimoja tu anatulia hasira zake zinakuwa zimeisha tuliaminiana sana lakini mara nyingi baada ya mda flan nagundua ana mwanamke pembeni nikija kugundua anaachananae kabida haendelei nae mimi na yeye tulikuw tunaishi mbali mbali.

Ilifika mda huko alikokuw anakaa alikuwa na mwanamk mwingin kwasababu wote walikuw wanakaa mkoa mmoja basi uyo mwanamke alikuwa anaenda alivyojisikia lakini akirudi kwangu mzigo anapata kama kawaida na ni kila siku baada ya kugundua ana mwanamke mwingine alinishuhudia ameshaachananae na amemtambulisha kuwa ana mwanamke ambaye ni mimi na ashawahi niambia kuwa uyo mwanamke ana mtoto lakini mda mwingine anasema ananidanganya tu hana mtoto na hapa mwezi huu tumeachana lakini kuna mwanamke ananisumbua ananitumia sms za ovyo na mda mwingine anatumia sim ya uyo x wangu.

Kunichafua na uyo x wangu kaniambia nifute picha zake zote kila mahari na kuna kipindi nilishika sim yake kutafuta no za wanawake ambao anawapigia sana alivyogundua akaniambia niache iyo tabia nisije nikamwalibia coz yeye mi ajanioa nilivyomwambia mbon ujatulia akaniambia nitatulia nitakapooa.mimi alikuwa hanipi cm yake niishike lakini uyu aliyenae saizi kampa had password.lakin mimi ndo niliyetambulika kwa ndugu zake.tujifunze kabla ujawa kwenye ndoa usimweke mpenzi wako openly ipo siku utajuta.

Sent using Jamii Forums mobile app

Mleta mada sijasoma story lkn nlivyoona id yako imebidi nifungue uzi wako kukuuliza hili swali.

KWA NINI UNAJIITA "PREGABALIN"??

Naomba kujua tu coz bila hii dawa labda nisingekua kali linux leo hii
 
Kwanini unaruhusu kuingia kwenye mahusiano ikiwa hujakomaa kiakili?

Shule si zipo
 
Back
Top Bottom