Tujifunze: Brazil waligoma "LOCKDOWN" kwa sasa COVID-19 imewashinda wamechimba makaburi 13,000 wazika kila siku, Tanzania hatujachelewa tusifike huko

Return Of Undertaker

JF-Expert Member
Jun 12, 2012
4,572
26,868
Ripoti zinasema kuwa sekta ya afya taifa la #Brazil imeshindwa kukabiliana na uzito wa janga la Corona.

^Serikali inachimba makaburi 13,000 kwa maandalizi ya watu watakaokufa.

Itakumbukwa kuwa, Bolsonaro, Rais wa taifa hilo alitupilia mbali hatari ya #COVID19.
Itakumbukwa kuwa, Jair Bolsonaro, Rais wa taifa hilo la Amerika Kusini alitupilia mbali hatari ya #COVID19 kwa kusema ni mafua tu na yangeisha. Vilevile,alitoka katika mitaa ya Rio De Janeiro kuandamana pamoja na wananchi wanaopinga amri ya kuwataka kutotoka majumbani.
🎥@SkyNews

🎥@SkyNews Serengeti Post on Twitter
 
1588440184610.png

1588440215871.png

1588440303661.png
 
Bora wao wanachimba mchana kweupe, TZ ni usiku na mafichoni.
Yaani sijui kwa nn kila kitu hapa kwetu ni gizani na mafichoni tu.
1. Kuhesabu kura gizani
2. Korona mafichoni
3. Kuzika gizani
4. Bunge gizani

Usitarajie lolote Mkuu. Refer "NEVER". Nakusihi usiipuuze WIKI YA NYUNGU


Sent using Jamii Forums mobile app
A dark country in the dark continent
 
Muajiriwa anawezaje kujiweka "Lock down" bila ya Muajiri wake kuwa kwenye "Lock down"?
Kwa hiyo anapodai lockdown hajui kama ni mwajiriwa, hebu waulizeni shule binafsi ambao hawalipwi mishahara kwa sababu shule zimefungwa! Chadema hamuthink critically mnaleta mob psychology tu hapa. Kama unataka kazi na mshahara nenda kazini kama hamtaki jilockdown wenyewe.
 
Brazil mda mref tuu walikua wanachezea koki kuhusu covid 19 raisi wao aliungana na raia waliokua wanagoma lock down kuandamana, raisi alimtimua waziri wake Kwa kua walitofautian kimtazamo kuhusu covid, Raisi alisema kama kufa tutakufa wote
Haya Sasa wako wapi
 
Ripoti zinasema kuwa sekta ya afya taifa la #Brazil imeshindwa kukabiliana na uzito wa janga la Corona.

^Serikali inachimba makaburi 13,000 kwa maandalizi ya watu watakaokufa.

Itakumbukwa kuwa, Bolsonaro, Rais wa taifa hilo alitupilia mbali hatari ya #COVID19.
🎥@SkyNews Serengeti Post on Twitter
Yaani Brazil washindwe kuzika watu wachache hivyo wakati wa nchi kubwa hivyo? Si watazika hata kwenye msitu wa Amazon??
 
Brazil mda mref tuu walikua wanachezea koki kuhusu covid 19 raisi wao aliungana na raia waliokua wanagoma lock down kuandamana raisi alimtimua waziri wake Kwa kua walitofautian kimtazamo kuhusu covid
Raisi alisema kama kufa tutakufa wote
Haya Sasa wako wapi
Kwani sasa wamekufa wote?
 
Watu ni wajinga kweli, mnatetea kazi na uchumi, hivi mkifa wote kwa korona Nani atafanya kazi?
Kwa hiyo anapodai lockdown hajui kama ni mwajiriwa, hebu waulizeni shule binafsi ambao hawalipwi mishahara kwa sababu shule zimefungwa! Chadema hamuthink critically mnaleta mob psychology tu hapa. Kama unataka kazi na mshahara nenda kazini kama hamtaki jilockdown wenyewe.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi ni mtumishi wa umma, nitajiwekaje lockdown labda bila mwajiri kuridhia? Bila shaka wewe ni mpiga debe hujui sheria za utumishi wa umma!

Sent using Jamii Forums mobile app
Ndo nyinyi mnataka kuwaponza walioajiliwa sekta binafsi ambao lazima kazi zifanyike ndo walipwe, we kwa vile hujui kodi inapatikanaje inayokulipa mshahara umezania lockdown tu hivi unajua maana yake we mjuvi wa sheria za utumishi wa uma! You are too selfish. Sawa sisi wengine wapiga debe tuacheni kabisa tupambanie mkate wetu.
 
Brazil mda mref tuu walikua wanachezea koki kuhusu covid 19 raisi wao aliungana na raia waliokua wanagoma lock down kuandamana, raisi alimtimua waziri wake Kwa kua walitofautian kimtazamo kuhusu covid, Raisi alisema kama kufa tutakufa wote
Haya Sasa wako wapi
mi roho inaniuma kuna watoto wazuri kule wanateketea na corona africast wale
 
Ripoti zinasema kuwa sekta ya afya taifa la #Brazil imeshindwa kukabiliana na uzito wa janga la Corona.

^Serikali inachimba makaburi 13,000 kwa maandalizi ya watu watakaokufa.

Itakumbukwa kuwa, Bolsonaro, Rais wa taifa hilo alitupilia mbali hatari ya #COVID19.
🎥@SkyNews Serengeti Post on Twitter
There is more to it than that. Brazil kwenye makazi ya watu maskini, haiwezekani kuondoa misongamano, hata wangeweka lockdown. Ma hao ndio wanakufa kwa idadi ya kutisha.
Umaskini ni tatizo kubwa kuliko Corona. Unless the world address it, there is no way the so called lockdown would work. Haiwezekani watu wachache wamiliki utajiri wa watu wengine wote duniani halafu tukabaki salama. Tuanze kufikiria kuacha ubinafsi ili maamuzi kama haya yaweze kufanya kazi
 
Back
Top Bottom