GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,544
- 108,871
" Serikali ya awamu ya Tano kupitia Waziri wake wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mheshimiwa William Lukuvi imesema kwamba kuanzia sasa ( namaanisha leo hii na usiku huu ) hadi pale Yesu Kristo au Mtume Mohammed watakapokuja kutukomboa Wanadamu haitabomoa tena Nyumba za Wananchi waliojenga maeneo ya Makazi yasiyo rasmi badala yake itarasimisha Makazi holela ".
Chanzo taarifa: UVCCM Tanzania
Naomba Kukumbushwa hivi kuna matukio gani muhimu ambayo yatahitaji mno ' huruma ' ya Wananchi ( Watanzania ) Masikini hasa kwa mwaka huu wa 2019 na ule ujao wa 2020? Nitashukuru kama nitakumbushwa katika hili kwani Mimi nimeshasahau.
Nawasilisha.
Chanzo taarifa: UVCCM Tanzania
Naomba Kukumbushwa hivi kuna matukio gani muhimu ambayo yatahitaji mno ' huruma ' ya Wananchi ( Watanzania ) Masikini hasa kwa mwaka huu wa 2019 na ule ujao wa 2020? Nitashukuru kama nitakumbushwa katika hili kwani Mimi nimeshasahau.
Nawasilisha.