meningitis
JF-Expert Member
- Nov 17, 2010
- 8,349
- 4,674
ni dhahiri chadema ya sasa imekua na kujizolea washabiki pande zote za Tanzania na kwa kiasi kikubwa ccm inaendelea kupoteza ushawishi kwa vijana,wakulima na wafanyakazi.
Kwa maoni yangu mwaka 2015 chadema itapata ushindi baada ya awamu ya pili ya uchaguzi.hii inamaanisha uchaguzi utatoa matokeo ya kufungana kati ya mgombea wa chadema na ccm.
Kwa maoni yangu mwaka 2015 chadema itapata ushindi baada ya awamu ya pili ya uchaguzi.hii inamaanisha uchaguzi utatoa matokeo ya kufungana kati ya mgombea wa chadema na ccm.