Tujiandae na Janga lingine!

Azadirachta

Senior Member
Oct 9, 2010
171
11
Tukiwa bado na majonzi ya ndugu zetu waliopoteza maisha huko Nungwi - Zanzibar kwa kuzama kwa meli. Kiasi kikubwa ukiwa ni uzembe wa serikali. Nimepita kwenye Mto Kilombero hali ni mbaya sana Kivuko kimechakaa na kinajaza kuliko kawaida. Sintoshangaa yale yaliyotokea April 2002 yakatokea tena na kuangamiza maisha ya watanzania wengi. Mto Kilombero ni kiunganishi cha wilaya ya Ulanga na Kilombero. Kuna wabunge zaidi ya wanne maeneo haya na mawaziri 2 sijui wanafanya vitu gani
1. Celina Kombani - Waziri wa Sheria na Katiba
2. Dr Hadji Mponda - Wazir wa Afya
3. Regia Mtema - Mbunge
4. Papa Mteketa - Mbunge

Jamani hatutaki mje kutupa ubani tunaomba daraja kabla hatujafa.

attachment.php



attachment.php



attachment.php


attachment.php
 

Attachments

  • DSC03610.JPG
    DSC03610.JPG
    248.3 KB · Views: 116
  • DSC03594.JPG
    DSC03594.JPG
    367.8 KB · Views: 110
  • DSC03611.JPG
    DSC03611.JPG
    255.3 KB · Views: 111
  • DSC03590.JPG
    DSC03590.JPG
    298.5 KB · Views: 113
wanasubiri waje waunde TUME ya kuchunguza chanzo cha ajali.
 
Tofauti na kivuko cha kigamboni yani nikiangalia picha hizo naona hata hayo maandishi yanaonekana nusu tu
 
Mmmmmmmmmmmmm niliwahi kuvuka hapa yaani panatisha, ila ukishavuka unajiliwaza na samaki wa kukaanga. Serikali Iangalia haya mambo maana vyombo hivi ni vya zamani sana! Nakumbuka ile barabara ya kwenda TARIME ukitokea MWANZA kulikuwa na kivuko baada ya kupita sehemu inaitwa makutano na walikuwa wanatumia panton lakini ipo kwenye kamba za steel. palikuwa panatisha sana/ Ila lilijengwa daraja pale na ukipita leo hutajua kama kuna mto pale. Uongozi wa wakati ule ulijali wananchi ila wa sasa umebweteka tu ngoja nikajiunge na wale wa DC kwenye maandamano
 
BILA SHAKA NILI LITAKUWA PIGO KWA WATANZANIA WENGI WENYE KUTOKUELEWAWA MAJIRA NA HATA KUSOMA NYAKATI YA MAMBO YANAYOKUJA YA HATARI,,,,,,,,,,,na bila shaka itatugharimu sana.
 
Wenzetu wanasema kinga ni bora kuliko tiba lakini kwa watanzania ni kinyume chake. Tunasubirh maafa ndipo tutoe rambirambi na msaada kwa wahanga. Wakati wa kampeni jk aliahidi vivuko kt mito na maziwa mengi lakini baada ya kuchaguliwa ahadi zote kazisahau, anatujia na ahadi mpya za DNA test kuwatambua marehemu. Itasaidia nini roho za ndugu zetu zimepotea? Na hao watoa rambirambi baada ya maafa kwa nini serikali isiwaombe watoe mchango ili kuboresha miundombinu na kuzuia maafa?.Hao mawaziri uliowataja hapo juu(celina kombani na haji mponda) hawana mchango wowote kt jamii.
 
<img src="http://www.the-tiki-hut.com/india/images/IndianTrainsCanHoldMorePeopleThanAnywher_121AE/IndianTrain2.jpg" border="0" alt="" /><br />
<br />
<a href="http://www.the-tiki-hut.com/india/images/IndianTrainsCanHoldMorePeopleThanAnywher_121AE/IndiaTrain.jpg" target="_blank"><img src="http://www.the-tiki-hut.com/india/images/IndianTrainsCanHoldMorePeopleThanAnywher_121AE/IndiaTrain_thumb.jpg" border="0" alt="" /><br />
<a href="http://www.the-tiki-hut.com/india/images/IndianTrainsCanHoldMorePeopleThanAnywher_121AE/overcrowdedtrainindia.jpg" target="_blank"><img src="http://www.the-tiki-hut.com/india/images/IndianTrainsCanHoldMorePeopleThanAnywher_121AE/overcrowdedtrainindia_thumb.jpg" border="0" alt="" /><br />
</a><a href="http://www.the-tiki-hut.com/india/images/IndianTrainsCanHoldMorePeopleThanAnywher_121AE/packed_train.jpg" target="_blank"><img src="http://www.the-tiki-hut.com/india/images/IndianTrainsCanHoldMorePeopleThanAnywher_121AE/packed_train_thumb.jpg" border="0" alt="" /><br />
</a><a href="http://www.the-tiki-hut.com/india/images/IndiaHasSomeQuestionableWiringStandards_A62C/IndiaWires7.jpg" target="_blank"><img src="http://www.the-tiki-hut.com/india/images/IndiaHasSomeQuestionableWiringStandards_A62C/IndiaWires7_thumb.jpg" border="0" alt="" /></a><br />
<br />
<br />
<img src="http://www.the-tiki-hut.com/india/images/IndianTrainsCanHoldMorePeopleThanAnywher_121AE/SouthIndianTrain.jpg" border="0" alt="" /><br />
<font color="#222222"><a href="http://www.the-tiki-hut.com/india/images/IndianTrainsCanHoldMorePeopleThanAnywher_121AE/IndiaTrain.jpg" target="_blank"><span style="font-family: arial black"><font size="4">N</font></span></a><span style="font-family: arial black"><font size="4">ILIDHANI UZEMBE UPO INDIA TU, KUMBE NCHI ZOTE ZINAZOENDELEA!!!</font></span></font><br />
<span style="font-family: arial black"><font size="4"><br />
<br />
</font></span></a>
achen kutuuzia chai, hyo picha ya kwanza bado haijanishawishi
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom