Keynez
JF-Expert Member
- Feb 12, 2007
- 2,397
- 3,884
Kwa taarifa nilizopata ni kwamba ndani ya siku saba toka CAG amemkabidhi ripoti yake Rais wa JMT, ripoti hiyo inabidi iwasilishwe bungeni.
Sasa kuna mtifuano unaoendelea na kila mtu anasema lake. Labda Rais atamsimamisha CAG na kuunda tume ya kumchunguza. Labda hili au lile. Jambo moja lisilo na mjadala na ambalo NI LAZIMA lifanyike ni kwamba Rais iwe mvua au jua inabidi aiwasilishe Bungeni ile Ripoti. Tuna ndege za kutosha za kuipeleka hata asubuhi siku hiyo hiyo ya saba.
Hilo haliishii hapo, inapowasilishwa Bungeni, officially inatakiwa kuwa a public document accessible kwa wabunge wote na wananchi wa kawaida.
Ushauri wangu ndugu wananchi wenzangu....tusiongee sanaaa maana mambo ni mengi na muda ni mchache. Sisi tuanze countdown tuisubiri hiyo ripoti. Wakiamua kutoijadili tutaichambua wenyewe kama karanga. Tuchore mstari, ndani ya siku saba, tunataka ripoti ya CAG itolewe kwa Umma.
Sasa kuna mtifuano unaoendelea na kila mtu anasema lake. Labda Rais atamsimamisha CAG na kuunda tume ya kumchunguza. Labda hili au lile. Jambo moja lisilo na mjadala na ambalo NI LAZIMA lifanyike ni kwamba Rais iwe mvua au jua inabidi aiwasilishe Bungeni ile Ripoti. Tuna ndege za kutosha za kuipeleka hata asubuhi siku hiyo hiyo ya saba.
Hilo haliishii hapo, inapowasilishwa Bungeni, officially inatakiwa kuwa a public document accessible kwa wabunge wote na wananchi wa kawaida.
Ushauri wangu ndugu wananchi wenzangu....tusiongee sanaaa maana mambo ni mengi na muda ni mchache. Sisi tuanze countdown tuisubiri hiyo ripoti. Wakiamua kutoijadili tutaichambua wenyewe kama karanga. Tuchore mstari, ndani ya siku saba, tunataka ripoti ya CAG itolewe kwa Umma.