Rebeca 83
JF-Expert Member
- Jun 4, 2016
- 14,840
- 31,583
Hello JF,
Msinicheke ila leo nimewaza kwa nini sisi wana JF tusijaribu hii nadharia inayosemwa kila siku watu wajiajiri kupitia kilimo?
Najua JF tulishawahi kuwa na kitu kama hiki ila ilikua kwa baadhi ya watu, sijui ilipata changamoto gani?
Graduates ni wengi sana.
Arable land ni kubwa tu Tanzania.
Ni jinsi tu ya ku combine the two.
Mimi ningependa kuona JF ikiongozwa na Maxence tununue mashamba,au tuiombe serikali watupe mashamba tuwa ajiri wahitimu.
Kilimo kitaajiri graduates kuanzia, sourcing, transportation, kulima, advertising, kote huku ni ajira tofauti tofauti.
At least tukishindwa kuwasaidia wahitimu wetu kupitia kilimo then tuna evidence kuwa kilimo hakina tija katika nchi yetu, tuangalie mengine, na wale motivation speakers waangalie mengine ya kusema, lol.
Niliona mahali zamani kidogo, sijui sasa hivi hali ikoje, ila in average graduates wa Tanzania (wale wasio na connection) wanaangia kwenye ajira rasmi ten (10) years after graduation. Miaka kumi ni mingi sana, mzigo kwa serikali na jamii.
Msinicheke ila leo nimewaza kwa nini sisi wana JF tusijaribu hii nadharia inayosemwa kila siku watu wajiajiri kupitia kilimo?
Najua JF tulishawahi kuwa na kitu kama hiki ila ilikua kwa baadhi ya watu, sijui ilipata changamoto gani?
Graduates ni wengi sana.
Arable land ni kubwa tu Tanzania.
Ni jinsi tu ya ku combine the two.
Mimi ningependa kuona JF ikiongozwa na Maxence tununue mashamba,au tuiombe serikali watupe mashamba tuwa ajiri wahitimu.
Kilimo kitaajiri graduates kuanzia, sourcing, transportation, kulima, advertising, kote huku ni ajira tofauti tofauti.
At least tukishindwa kuwasaidia wahitimu wetu kupitia kilimo then tuna evidence kuwa kilimo hakina tija katika nchi yetu, tuangalie mengine, na wale motivation speakers waangalie mengine ya kusema, lol.
Niliona mahali zamani kidogo, sijui sasa hivi hali ikoje, ila in average graduates wa Tanzania (wale wasio na connection) wanaangia kwenye ajira rasmi ten (10) years after graduation. Miaka kumi ni mingi sana, mzigo kwa serikali na jamii.