Tujadiliane: Kama kwa miaka 4 tumekopa zaidi ya tril 29 na kukusanya mapato yasiyopungua tril 72. CCM imefanyia nini kikubwa?

Return Of Undertaker

JF-Expert Member
Jun 12, 2012
4,572
26,868
Najaribu kuwaza bila kupata majibu sahihi katika kishindo cha awamu hii ya tano.

Kama kwa miaka 4 serikali ya mahufuli imeshakopa zaidi ya trilioni 29 ikiwa ule mkopo wa reli wa tril 3 haupo wala wa WB wa zaidi ya tril 1 haujaingia kwenye rekodi.

Mbali na hapo serikali hii imejinasibu kuwa ndio imevunja rekodi ya kukusanya mapato kwa miaka 4 ishakusanya zaidi ya trilioni 72.

Swali na hoja inakuja mapesa yote haya yamefanya kazi gani?

Kami miradi mikubwa inayopigiwa chapuo mfano

1. Reli trilioni 4 ni wazi hazijatumika mpaka sasa ndio unatafutwa mkopo toka benki kufadhiri mradi huo.

2. Stieglers gorge, mradi bado mbichi sana hata 10% ya mradi haujafika.

3. Ndege zilizonunuliwa ni shs tril 1.5

4. Tangu 2016 hakuna ajira mpya wala nyongeza ya mishahara zaidi ya watumishi hewa 12,000 waliokoa zaidi ya bil ,700

Swali hizi pesa zimeenda wapi?
 
Hizo trilioni 72 zimekusanywa wapi?Tanzania hii ambayo daily watu wanafunga biashara hizo data za jikoni mkuu
Najaribu kuwaza bila kupata majibu sahihi katika kishindo cha awamu hii ya tano.

Kama kwa miaka 4 serikali ya mahufuli imeshakopa zaidi ya trilioni 29 ikiwa ule mkopo wa reli wa tril 3 haupo wala wa WB wa zaidi ya tril 1 haujaingia kwenye rekodi.

Mbali na hapo serikali hii imejinasibu kuwa ndio imevunja rekodi ya kukusanya mapato kwa miaka 4 ishakusanya zaidi ya trilioni 72.

Swali na hoja inakuja mapesa yote haya yamefanya kazi gani?

Kami miradi mikubwa inayopigiwa chapuo mfano

1. Reli trilioni 4 ni wazi hazijatumika mpaka sasa ndio unatafutwa mkopo toka benki kufadhiri mradi huo.

2. Stieglers gorge, mradi bado mbichi sana hata 10% ya mradi haujafika.

3. Ndege zilizonunuliwa ni shs tril 1.5

4. Tangu 2016 hakuna ajira mpya wala nyongeza ya mishahara zaidi ya watumishi hewa 12,000 waliokoa zaidi ya bil ,700

Swali hizi pesa zimeenda wapi?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nyumbu mpooo
IMG-20200215-WA0003.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wewe ukome, mimi nipo Morogoro, SGR gani imefika hapa, zaidi ya vifusi vya reli tu.
Mnadanganywa imefika Morogoro wakati bado sana, yaani haijaingia bado popote mkoani. Ni vifusi tu vya njia ya teli.
Na hiyo SGR ndo kwanza iko morogoro hapo, je ikifika mwanza deni litakuwa sh ngapi?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
nyie mtakuwa mapopoma hivi huoni yote yanayofanyika? kwanza wafanyakazi wanapata mishahara kwa wakati, madawa miradi mikubwa inatekelezwa mambo mengi ya maana yaani nyie mtakuwa mmeloga tu hakuna lingine
Hebu tuambie ww ni pengine utajua lini ajira mpya zitatoka na lini watumishi wa umma wataongezwa mishahara na lini watu wa mtwara watalipwa pesa zao za korosho hata ununue ndege miatano kama humjali mwananchi wako na ukajua kipatochake kwa siku huku nikujidanganya wahenga wasema bora utu kuliko kitu kwahiyo ndege siyo bora kuliko ubinaadamu kwanza

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hilo deni limekopwa na "SERIKALI YA CCM" bila kutushauri sisi raia (Wawakilishi wetu bungeni).

Binafsi, ningependa hilo deni lilipwe na CCM wenyewe pindi wakitoka madarakani, na sio serikali itakayokuja.
 
Hili ni tatizo kubwa mno tulilonalo kwa upinzani,

Wanaongozwa na hisia Zaidi katika kujenga hoja zao.

Mleta mada unaandika kishabiki mpaka unapotosha.

Hatujakopa Zaidi ya triliioni 29 kwa miaka mine, bali deni la taifa limefikia kiwango hicho.
 
nyie mtakuwa mapopoma hivi huoni yote yanayofanyika? kwanza wafanyakazi wanapata mishahara kwa wakati, madawa miradi mikubwa inatekelezwa mambo mengi ya maana yaani nyie mtakuwa mmeloga tu hakuna lingine

Lini wafanyakazi walikuwa hawalipwi mishahara kwa wakati? Hata Mkwere alikuwa analipa mishahara kwa wakati na posho juu.
Leo hii Hospitali ya Mt. Meru Arusha hakuna kipimo chochote (si X-ray wala T-scan) kinachofanya kazi. Dawa wagonjwa wananunua wenyewe kwenye maduka binafsi, NHIF inashindwa kulipa suppliers, ni nini unachokiona wewe? Miradi mkubwa upi uliokamilika? SGR mnasingizia mvua kuwa ndio inasababisha isikamilike wakati pale Kamata mvua hakuna na hakuna ujenzi unaoendelea.
 
Hili ni tatizo kwa kweli, mkopo mkubwa wa kiasi iko na pesa zetu walizozikusanya kwa kiasi icho, mi nahs ndo izo zinatumika kujengea mabara bara. Nilisikia kwamba Kikwete ndiyo ameongoza kukopa, kumbe ata hii awamu pia ni majanga?. Loooh!!! Nchi inapoelekea wananchi watatalamka... Hali ya uchumi ni ngumu sana, anatubana wananchi kwa maendeleo ya bara bara tu au?
 
Mtu kauliza swali,kama unajua jibu litoe ili kumwelewesha au kum prove wrong,kama na wewe hujui gharama halisi ya hiyo miradi na matumizi ya hizo trilion 101 tulia usubiri wanaojua watuambie,otherwise shut your fuckup
Hili ni tatizo kubwa mno tulilonalo kwa upinzani,

Wanaongozwa na hisia Zaidi katika kujenga hoja zao.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mtu kauliza swali,kama unajua jibu litoe ili kumwelewesha au kum prove wrong,kama na wewe hujui gharama halisi ya hiyo miradi na matumizi ya hizo trilion 101 tulia usubiri wanaojua watuambie,otherwise shut your fuckup

Sent using Jamii Forums mobile app
Hehe tuliza munkari jombaa,

Hakuna aliyekopa Zaidi ya trilioni 29, hayo ni mahesabu ya ayatollah. misukule yake hamuwezi elewa lolote Zaidi ya alilosema ayatollah wenu.
 
Back
Top Bottom