ladyfurahia
JF-Expert Member
- May 10, 2011
- 14,699
- 9,461
Habari wadau wangu wa ukweeeeeeeeeeeeeeeeeeee
Leo nimeleta kwenu MADA ambayo inahusu kujadiliana hivyo unachangia kile ukionacho wewe na sio kuponda wengine kuhusu Swali hili: JE ELIMU INA UMUHIMU GANI KWENYE MAHUSIANO YA NDOA, WENZI, MARAFIKI NA WACHUMBA?
Elimu inaweza kuleta maendeleo ya penzi lenu au inaweza kufarakanisha? Je ukiwa na mtu asiye na elimu hasa ya darasani ataweza kukabiliana na changamoto za maisha ya mahusiano yenu kimantiki au kimakinikia? au atakuwa ana perekeshwa tu na yule mwenye elimu ya kidarasa?
Je kwa yule mwenye elimu atawezaje kumsaidia mwenzi wake asiye na elimu au itakuwa ni parakanyiko baina yao? Je elimu itawafanya waendane Kimawazo/ au kimaendeleo?
Haya wadau mabestito karibuni kutoa maoni yenu hapa .
Wasalaam
Ladyf
Leo nimeleta kwenu MADA ambayo inahusu kujadiliana hivyo unachangia kile ukionacho wewe na sio kuponda wengine kuhusu Swali hili: JE ELIMU INA UMUHIMU GANI KWENYE MAHUSIANO YA NDOA, WENZI, MARAFIKI NA WACHUMBA?
Elimu inaweza kuleta maendeleo ya penzi lenu au inaweza kufarakanisha? Je ukiwa na mtu asiye na elimu hasa ya darasani ataweza kukabiliana na changamoto za maisha ya mahusiano yenu kimantiki au kimakinikia? au atakuwa ana perekeshwa tu na yule mwenye elimu ya kidarasa?
Je kwa yule mwenye elimu atawezaje kumsaidia mwenzi wake asiye na elimu au itakuwa ni parakanyiko baina yao? Je elimu itawafanya waendane Kimawazo/ au kimaendeleo?
Haya wadau mabestito karibuni kutoa maoni yenu hapa .
Wasalaam
Ladyf