Tujadili tamko la Waziri wa Elimu kuhusu masuala ya udahili

Richard chilongani

JF-Expert Member
Jul 11, 2015
324
112
Nimeona kama mdau nifungue ukurasa ili kupata maoni ya wana zuoni na wadau wengine ktk Elimu.

Hoja yangu ni hii hivi karibuni waziri alifuta udahili wote wa diploma ya elimu msingi na pia sambamba na hilo sasa kuanzia mwakani mtu yeyote hata dahiliwa kujiunga chuo kikuu kufanya degre kama atakuwa kaishia form four hata kama atakuwa kaanzia certificate, foundation ukomo Wake utakuwa diploma tu.

Kamwe mtu wa form four hata kama akifanya Diploma hato ingia chuo kikuu hadi amefanya Mitihani ya form Six.

Je, hili limekaaje wadau? Tujadili kama wasomi.
 
Leo nilikuwa nasikiliza amka na BBC kumbe hata Rais mstaafu ametoa ushauri kuwepo na mjadala wa wadau mbali mbali ktk maswala mazima ya Elimu na mabdiliko. Nadhani yupo sahihi
 
Huenda wa wamekusudia kuwahamisha watu kwenda kwenye mamb mengine kinyume na kusoma.
Haiweisekan kila siku waje na jipya tena lenye kuumiza wanyonge
Mwakaa huu weng wamekosa vigezo vya kwenda chui kikuu waka amaue waende diploma, leo unawaambia hawataenda kusoma degree hata kama watapata hyo gpa ya 3.0
Inakuaje hawa jamaa!!!
 
Kwahiyo zile ndoto za kuvaa joho kama alivyotaka ziwe zinaanzia degree baadhi ya watu ndiyo zishawapitia kushoto...
 
hapo atakae umia ni mtoto wa maskini, mtoto wa kishua ataenda abroad kusoma, naipenda sana tz ha ha ha ha
Hapana, gharama za a'level ni ndogo mno kuliko diploma chuoni, ni vema cc wenye uwezo mdg kiuchumi 2kaze buti ili 2qualify kwenda a'level kisha degree. Hii ita2fanya 2we serious na elimu kuliko kulegealegea halafu 2narnda diploma. Safi sana mh. Ndalichako
 
Elimu yetu kila mtu anayekuwa waziri wa elimu anaichezea anavyotaka. Hivi waziri huyu hajui kuna equivalent qualification??? Hivi mtu anayesoma certificate + diploma utamnyimaje nafasi ya kwenda kusoma degree?? Waziri wangu hapa kwa mawazo yangu umechemka sana.
Alielewekwa vibaYa ndugu,,, wala Hajasema kitu hicho,,, pale alitolea mfano wa m2 ambaYe alifer form six alafu anataka kufanya Foundation course badala ya ku resete mtihani,,,, ko hicho kitu amekipiga marufuku ko Foundation course imefutwa,,, ther for m2 aliye fika mpaka form six halafu akafeli Either arudie mtihani ili apate quarification ya kuingia Chuo kikuu AU Atumie cheti chake cha form four kwenda diploma ili baadae ajiunge na shahada Ya kwanza atakapo Graduate Diploma Yake, Lkn pia kuna watu ambao Hawakupata nafasi Ya kwenda kidato cha tano ko hawa wamepitia certificate , baada Ya hapo watajiunga na diploma EventuallY wa ki graduate diploma Yao nao watakuwa na sifa Ya kujoin shahada Ya kwanza,,,, lkn ikumbukwe kwamba minimal GPA requirement ni 3.0 nw TBT ilikuwa 2.7 ikaongezwa mpaka 3.5,, lkn siku chache walipunguza tena mpaka hyo GPA ya 3.0 bila kutoa reson behind,,,,
Kwhyo ndugu Yangu ile kauri ilitafsiriwa vbaya kilicho pigwa marufuku ni FOUNDATION COURSE,
 
Wameamuwa kuwaconfuse Watanzania ili kuwagawa msiwe na ajenda moja ya kitaifa kuhusu ugumu wa maisha, hii inaitwa spinning and divert the topic.

Huyu Mama Ndalichako asiwasumbuwe muachieni waislamu watamalizana naye wala asiwasumbuwe akili.

Mjadala wa Kitaifa uwe ni ukali wa maisha na yale maisha bora tuliyoahidiwa yako wapi?

Jiandaeni kusomesha watoto wenu Kenya na Uganda maana Tanzania limeshaingia beef la watawala na watawaliwa.
 
Katafute kauli ya mheshimiwa waziri wa elimu ndo ujue wewe unaongea tofauti na yeye.
Alielewekwa vibaYa ndugu,,, wala Hajasema kitu hicho,,, pale alitolea mfano wa m2 ambaYe alifer form six alafu anataka kufanya Foundation course badala ya ku resete mtihani,,,, ko hicho kitu amekipiga marufuku ko Foundation course imefutwa,,, ther for m2 aliye fika mpaka form six halafu akafeli Either arudie mtihani ili apate quarification ya kuingia Chuo kikuu AU Atumie cheti chake cha form four kwenda diploma ili baadae ajiunge na shahada Ya kwanza atakapo Graduate Diploma Yake, Lkn pia kuna watu ambao Hawakupata nafasi Ya kwenda kidato cha tano ko hawa wamepitia certificate , baada Ya hapo watajiunga na diploma EventuallY wa ki graduate diploma Yao nao watakuwa na sifa Ya kujoin shahada Ya kwanza,,,, lkn ikumbukwe kwamba minimal GPA requirement ni 3.0 nw TBT ilikuwa 2.7 ikaongezwa mpaka 3.5,, lkn siku chache walipunguza tena mpaka hyo GPA ya 3.0 bila kutoa reson behind,,,,
Kwhyo ndugu Yangu ile kauri ilitafsiriwa vbaya kilicho pigwa marufuku ni FOUNDATION COURSE,
 
3 Reactions
Reply
Back
Top Bottom