Habari za asubuhi wanajamvi,
Nimeleta uzi hapa naamini nitapata msaada wa kimawazo. Kwa kawaida katika makuzi ya watoto malezi yanatofautiana na hivyo kuleta tabia tofautitofauti baina ya familia moja na nyingine au jamii moja na nyingine.
Hoja yangu ni kuhusu kuongeza IQ, Creativity and Innovation kwa watoto. Je, kuna njia gani/ hatua gani anazotakiwa kuzichukuwa mzazi au mlezi ili aweze kufanya apate mtoto wenye IQ kubwa, creativity, Innovations kwa kiwango cha juu maana nimejaribu kupitia kitabu kilichoandikwa na Edward De Bono kinaitwa Think Before It's Too Late.
Anazungumzia kuwa Creativity, Innovations and Designing Thinking zinaweza tengenezwa na kumfanya mtu awe bora kwenye Field yake ningependa wataalamu wa malezi/ Child psychology wanipe Hints au njia anazoweza tumia mzazi/mlezi kuongeza IQ ya mtoto, mathalani mtoto awe chini ya miaka 10 awe anauwezo wa kufikiri, kujenga hoja sawa na mtu mwenye 20s.
Ahsante.
Nimeleta uzi hapa naamini nitapata msaada wa kimawazo. Kwa kawaida katika makuzi ya watoto malezi yanatofautiana na hivyo kuleta tabia tofautitofauti baina ya familia moja na nyingine au jamii moja na nyingine.
Hoja yangu ni kuhusu kuongeza IQ, Creativity and Innovation kwa watoto. Je, kuna njia gani/ hatua gani anazotakiwa kuzichukuwa mzazi au mlezi ili aweze kufanya apate mtoto wenye IQ kubwa, creativity, Innovations kwa kiwango cha juu maana nimejaribu kupitia kitabu kilichoandikwa na Edward De Bono kinaitwa Think Before It's Too Late.
Anazungumzia kuwa Creativity, Innovations and Designing Thinking zinaweza tengenezwa na kumfanya mtu awe bora kwenye Field yake ningependa wataalamu wa malezi/ Child psychology wanipe Hints au njia anazoweza tumia mzazi/mlezi kuongeza IQ ya mtoto, mathalani mtoto awe chini ya miaka 10 awe anauwezo wa kufikiri, kujenga hoja sawa na mtu mwenye 20s.
Ahsante.