Yupo bize anakusanya sumu za nyoka kwa ajili ya matibabu@Mshana Jr.
Waambie mkuu, wameacha mada wamehamia kwenye mtego wa vitoweoHapa tumetoka nje ya mada,tufanye nini kuzuia nyoka mnaleta mitego ya vitoweo
Nashukuru mkuuPanda Michai chai mingi kuzunguka shamba au nyumba yako..
Mchaichai na Mbu hawaendani au jamii ya wadudu walukao.
Nyoka pia hawaptani na Zao hili...
Nilipata kusikia kuna mti unaitwa mnyokanyoka, ukiupanda nyoka hawasogei.
Binafsi sijawahi kuujaribu wala kuuona kwa yakini.
Mafutataa na moshi wa plastic materialsWakuu habari,
Naomba tupeane uzoefu wa njia za asili za kuzuia nyoka wasiingie shambani kwako au nyumbani kwako, nafahamu kuna baadhi ya wanyama wanakula nyoka lakini hawawezi kuzuia nyoka kuingia shambani au nyumbani, nafahamu pia kuna dawa za kitaalamu ambazo ukinyunyiza nyumbani au shambani kwako zinapunguza kwa kiasi kikubwa nyoka kwenye shamba lako lakini dawa hizo zina madhara na ni gharama kubwa sana, ninaposema njia za asili ninamaanisha kupanda mimea fulani, kwa mfano ukipanda pilipili kuzunguuka shamba tembo hawasogei kwenye shamba lako, asanteni
Huo moto lazima uache na mihuri 😆😅😅😆Mafutataa na moshi wa plastic materials
Mkuu umewahi kuona inavyofanya kazi kwa sababu nataka kuifuata nikachukue kwa wingi kwa ajili ya shamba languIpo kuna sehemu inaitwa Igando au Iyayi Sijui ni wilaya gani ile ila ukiwa waelekea Mbeya kutokea Makambako ni kama Km 40 hivi au ukiwa watokea Igawa kuelekea Makambako ni kama Km 20 nadhani.
Mkuu hiyo ni gharama na ni hatari sana kwa usalama na afyaMwaga mafuta ya taa kuzunguka nyumba, milango ya getini n.k
Panya unatumia njia niliyoitaja kwenye posti namba mbiliNyoka ni rafiki wa mkulima
Bila nyoka na wanyama wanaomla Panya Kilimo kingejaa vilio
Mkuu njia za asili zisizo na gharama wala madharaMkuu, dawa ni kumwaga oil kuzunguka shamba, au kuweka maeneo machache shambani, meta 50 hata chatu hakatishi
Hiyo njia itahitaji approval ya Mshana Jr 😃😂😃😂Kuna dawa ya mti shamba mim naifaham, ukikichukua kijiti chake ukakichomeka ardhini kikiwa juu chini au chini juu apo ata nyoka mkubwa awe umbali wa mita 200 hawez kusogelea eneo hilo. Nyoka atakikimbia icho kijiti kuanzia umbal wa mita 200 labda. Kwahiyo bas kama ukikichomeka nyumbani/shambani kwako utakua umemfukuza nyoka umbali wa mita 200
Huo moto lazima uache na mihuri
Elimu ya kwanza nikiwa ndo naamkaLabda nitoe mfano mwingine, ukitaka kuzuia kanga au kwale shambani mwako, chukua gongo kali au konyagi changanya na pumba weka kwenye shambani mwako halafu subiri, wakila tu yaani unawakamata kama kumbikumbi na kuwaweka kwenye magunia na kwenda kuwabanika kwa ajili ya kitoweo na kugawa kwa ndugu, jamaa na marafiki
NB; wakuu hii sio mada tafadhali tujadili mada hiyo hapo juu