Sky Eclat
JF-Expert Member
- Oct 17, 2012
- 57,595
- 215,272
Mlima Kilimanjaro ni moja ya vivutio vikubwa vya watalii ambao wengi wanaamini kuwa uko Kenya.
Tunaweza kuutangaza mlima kwa njia mbalimbali ikiwemo;
Kuchapisha majalada yanayoelezea historia yake, kulipuka kwa volcano, faida za udongo wa volcano kwa wananchi wanaouzunguka mlima.
Khanga na vitenge vinavyoinyesha mlima uko Tanzania na kushona nguo za vitenge hivyo kuwalenga watalii.
Vitambaa vya mapazia ikiwezekana mapazia ya hoteli.
Kalamu, notebooks, key holders, t-shirts nk.