Uchaguzi 2020 Tujadili kwa manufaa ya Taifa: Uchaguzi 2020 twende na Nani na kwanini?

MAHORO

JF-Expert Member
Sep 3, 2013
7,585
2,568
Nimeona thread nyingi zikimponda huyu na kumsifia yule kuhusu uchaguzi wa uraisi 2020..

nikapata wazo , kwanini tusijadili bila ushabiki wa vyama vyetu , kwa maslahi ya taifa letu kwanza kwani tukikosea kuchagua tunaumia wote ,

Ni Nani anayefaa kutuongoza Tena kwa miaka mongine mitano mbele uchaguzi wa 2020 na kwanini ? Nitatoa majina yanayojitokeza kugombea uraisi kwa vyama kadhaa Ila na wewe urataja wa kwako kama humu hawamo

CCM
1. John magufuli
2. Bernad membe


CHADEMA

1. Tundu Lissu

ACT
1. Zitto
2. Maalim Seif

CUF
1. Lipumba


Mitazamo wangu:

Mimi nàona JPM bado tunamhitaji Sana kwa miaka mingine mingi ijayo, kwakuwa pamoja na kwamba irani ya chama inasisitiza viwanda lakin kajitahidi kuboresha barabara, umeme , Huduma za kijamii, kuwajali wafanyabiashara , ufisadi umeisha, amefufua ndege , anatengeneza reli ya kisasa, maisha mazuri yanakuja tuwe wavumilivu , nk

Je , wewe una mtazamo gani ??
 
irani* ilani

kwa kuwa mimi si mpiga ramli , basi , yeyote yule ambaye CCM itatuletea, mimi nitakuwa naye. lakin ingekuwa maamuzi yangu pekee yanafaa kumuweka Rais, basi ni SGR, bomba la mafuta ningechagua
 
Nimeona thread nyingi zikimponda huyu na kumsifia yule kuhusu uchaguzi wa uraisi 2020..

nikapata wazo , kwanini tusijadili bila ushabiki wa vyama vyetu , kwa maslahi ya taifa letu kwanza kwani tukikosea kuchagua tunaumia wote ,

Ni Nani anayefaa kutuongoza Tena kwa miaka mongine mitano mbele uchaguzi wa 2020 na kwanini ? Nitatoa majina yanayojitokeza kugombea uraisi kwa vyama kadhaa Ila na wewe urataja wa kwako kama humu hawamo

CCM
1. John magufuli
2. Bernad membe


CHADEMA

1. Tundu Lissu

ACT
1. Zitto
2. Maalim Seif

CUF
1. Lipumba


Mitazamo wangu:

Mimi nàona JPM bado tunamhitaji Sana kwa miaka mingine mingi ijayo, kwakuwa pamoja na kwamba irani ya chama inasisitiza viwanda lakin kajitahidi kuboresha barabara, umeme , Huduma za kijamii, kuwajali wafanyabiashara , ufisadi umeisha, amefufua ndege , anatengeneza reli ya kisasa, maisha mazuri yanakuja tuwe wavumilivu , nk

Je , wewe una mtazamo gani ??
ndugu usitulishe tango pori.

- barabara nyingi zilijengwa wakati wa JK.

- biashara kubwa zinafungwa.

- ufisadi ni mkubwa kuliko awamu nyingine zote zilizopita (check CAG reports na kitendo cha fisadi papa Rostam kuwa msemaji mkuu wa chama chetu na ikulu).

- SGR ni kichaa tu atakayeamini kuwa ni mradi wenye manufaa. hivi unajua TAZARA ni SGR pia lakini 90% ya mizigo & abiria ambako reli inapita vinatumia barabara?

mabadiliko October 2020 hayakwepeki ndugu!
 
Mtu yeyote atafaa asiwe Kufuli, Lipumba, Lowassa, hao wana matatizo ya akili. Lissu si choice mbaya
 
Back
Top Bottom