Tujadili kushuka kwa kasi kasi ya Ujenzi wa Miradi ya Maendeleo nchini

Beatrice Kamugisha

JF-Expert Member
May 18, 2019
762
6,980
Stand ya Mbezi nasikia haikukamilika Kama ilivyoelekezwa wakati wa kampeni

Ujenzi wa shule na vituo vya afya unasuasua

Ujenzi huko Dodoma speed si ya kuridhisha

Reli ya kisasa nako nasikia speed si kubwa Kama awali

Je, watendaji na wasimimizi mnasubiri hadi Rais atembelee hii miradi ndio mjue kwamba mambo hayaendi ipasavyo? Kuna nini mbona utekelezaji wa bajeti iliyopitishwa mwezi Julai unasuasua?
 
Stand ya mbezi nasikia haikukamilika Kama ilivyoelekezwa wakati wa kampeni

Ujenzi wa shule na vituo vya afya una suasua

Ujenzi huko Dodoma speed si yakuridhisha

Reli ya kisasa nako nasikia speed si kubwa Kama awali

Je, watendaji na wasimamuzi mnasubiri hadi Rais atembelee hii miradi ndo mjue kwama mambo ayaend ipasavyo? Kuna nn mbona utekelezaji wa bajeti iliyopitishwa mwezi Julai unasuasua?
Mipango si matumizi tambua unapanga then vinatokea vipaumbele vingine, bora yeye kathubutu hata kujaribu nyie je mna mradi gani hata mnaofikiria?
 
Stand ya mbezi nasikia haikukamilika Kama ilivyoelekezwa wakati wa kampeni

Ujenzi wa shule na vituo vya afya una suasua

Ujenzi huko Dodoma speed si yakuridhisha

Reli ya kisasa nako nasikia speed si kubwa Kama awali

Je, watendaji na wasimamuzi mnasubiri hadi Rais atembelee hii miradi ndo mjue kwama mambo ayaend ipasavyo? Kuna nn mbona utekelezaji wa bajeti iliyopitishwa mwezi Julai unasuasua?
Kuna maeneo kadhaa anajuwa alikurupuka na ameharibu kama ifuatavyo:
1. Kuhamia Dodoma
2. STIGLERS GORGE
3. SGR kuanza kwenda Rwanda badala ya Uganda
4. Kiwanja cha ndege Chato
5. Kivuko cha Busisi Lake Victoria
6. Kununua ma-Dreamliner bila mpangilio

Haya ma miradi hata akija msaidizi wake wa Karibu kama Kassim Majaliwa au Palamagamba Kabudi atapindua ndani ya siku100 za kwanza. Siyo lazima CDM kwa kuwa haihitaji kuwa na PhD kujua kwamba yalifanywa kwa ajili ya sifa na hayana upembuzi yakinifu
 
Stand ya mbezi nasikia haikukamilika Kama ilivyoelekezwa wakati wa kampeni

Ujenzi wa shule na vituo vya afya una suasua

Ujenzi huko Dodoma speed si yakuridhisha

Reli ya kisasa nako nasikia speed si kubwa Kama awali

Je, watendaji na wasimamuzi mnasubiri hadi Rais atembelee hii miradi ndo mjue kwama mambo ayaend ipasavyo? Kuna nn mbona utekelezaji wa bajeti iliyopitishwa mwezi Julai unasuasua?
Nasikitika kusema kwamba huyu jiwe atamaliza miaka kumi bila kumkamilisha project yoyote, labda zile alizoacha JK
 
Uchumi wa jiwe, uchumi dorooo wamebaki kupora billions kwenye bank accounts za Watanzania na makampuni Nchini baada ya kuwabambikia kesi fake. Mtu maisha yake yote ni FAILURE na MBABAISHAJI tu pia anajiita mwendawazimu bado 2015 wakafanya makosa makubwa sana ya kumkabidhi Nchi. 2020 wakakaa kimya na kumuacha aibe na hata kuua ili kupora uchaguzi Nchi nzima. Huu ni mwanzo tu gharika la kutisha kiuchumi LINANYEMELEA taratibu.
Stand ya mbezi nasikia haikukamilika Kama ilivyoelekezwa wakati wa kampeni

Ujenzi wa shule na vituo vya afya una suasua

Ujenzi huko Dodoma speed si yakuridhisha

Reli ya kisasa nako nasikia speed si kubwa Kama awali

Je, watendaji na wasimamuzi mnasubiri hadi Rais atembelee hii miradi ndo mjue kwama mambo ayaend ipasavyo? Kuna nn mbona utekelezaji wa bajeti iliyopitishwa mwezi Julai unasuasua?
 
Back
Top Bottom