toughlendon_1
JF-Expert Member
- Feb 7, 2018
- 5,836
- 10,249
Anzeni kusoma makala mbali mbali za mbinu za kukabiliana na msongo wa mawazo.
Anzeni kusoma makala mbali mbali za mbinu za kukabiliana na msongo wa mawazo.
Hizo programming language unawezaje kutengeneza hela mtaani?Kwanza tukubaliane kabisa lifestyle ya chuo bi yatifauti sana na maisha halisi ya mtaani, Maisha ya chuo yana maigizo mengi sana. Watu wanaishi kwa fashion na kukatchup na latest technologies ilihali uwezo ni mdogo, wanabeti sana na hawana kipato, kama huu mchezo wa kubeti umefanya madogo wengi wasimalize chuo, na amini usiamini wanachuo na majobles ndio wanaojaza mabet shop ya mjini hapa, Anyways twende kwene mada.
Ajira ni tatizo la dunia. Wanafunzi wengi huwa wana expectations kubwa sana kwa njia rahis na hapo ndio huwa tatizo linapoanzia wakishindwa kufikia malengo kwa time limit walijiwekea, wanapata msongo wa mawazo sababu vyuo vyetu vingi sio job oriented wao ukishapata gpa ya 4.8 we ndio wewe na ushamaliza kila kitu.
Kitu cha ajabu kabisa hapa bongo ni rahis kwa mtu aliesoma VETA umeme(sijui inaitwaje hii kozi) kupata kazi kuliko mwenye bachelor ya ELECTRICAL ENGINEERING pale UD. Ni rahis mtu alosoma PC maintanance VETA kupata kazi kuliko Mtu alosoma bachelor of computer science UD au vyuo vingine ? If you ask me why ? sijui hata sababu, wenye bachelor majobless wenye certificate wanafanya kazi aisee kazi ipo.
Sasa basi ndugu zetu sababu mwisho wa picha ni hela ONDOA ILE PRIDE YA MIMI NI BACHELOR HOLDER FANYA KAZI YEYOTE ITAKAYOKUPA KIPATO MAISHA KWA GROUND NI MAGUMU SANA. Jiandaeni kisaikolojia kwa disappointment za kutosha ila hakuna kukata tamaa as long as upo hai unatakiwa uendelee kupambana. Elimu haijawah kumtupa mtu siku moja itakutendea haki ya kitu ulichokuwa unakitaka wakati huo ushaadapt mazingira unalijua game vizuri unaweza pambana vizuri sasa.
Kwa mnaosoma technical studies jitahidini kuwa kujua ivyo vitu mmesoma, me ntatolea mfano wa IT/CS wakuu kamaten hivi kisawa sawa yan usijue kijuu juu jua kweli kweli. Kamata kimoja unachoona unaweza kijue kweli kweli
1.LINUX
2.PROGRAMMING LANGUAGES
Java( inakuwaga mandatory)
Python
Java script
C++
C#
PHP
3. NETWORKING
4. WEB DESIGNING, ujue html, css, php
Huu ni mfano tu basi kwanini ujue haya sababu interview nyingi sikuiz wanataka wampe mtu anaeweza kazi akiingia kazini kazi ianze effectively na sababu nyingine ni mbinu tu yakuwapunguza watu ni wengi isije ikawa wanaojua wanaachwa wanaenda wasiojua...
NB: vitu vingi vyakufanya practical tutorial zipo you tube na ni free.
Kitu kingine cha msingi KAZI YA MTU HAIKUFANYI TAJIRI, ukiweza kujiajiri ndio rahis kuwa TAJIRI, so kama unaweza kuinvest na ukawa creative THERE YOU ARE.... Ishini humo wadogo zetu mtaaani sio main cafetaria wala hall seven sijui hall one wala kwame nkuruma wala utawala wanaume mtaumia sana msipokaa sawa wanawake mtatumika sana mpaka unakuja kukaa sawa ushatumika sana na mabrotheman wa benk