Tujadili kuhusu hili la kupungua thamani ya pesa

wazanaki

JF-Expert Member
Mar 20, 2020
1,092
804
Wakuu leo tuongelee kuhusu thamani ya pesa a.k.a currency value.

Tunajua kwamba Mataifa makubwa ambayo ndio yanatawala dunia na kua na silaha kali kuliko Mataifa mengine ndo yana pesa zenye thamani. Mataifa kama Marekani, Europe, China e.t.c. yanaweza kuamua chochote juu ya thamani ya pesa na ndiyo yana endesha na kuratibu uchumi wa dunia.

Swali langu ni kwamba, kwa mfano ikatokea Tanzania tukafanya kazi kwa bidii na tukapambana usiku na mchana kufikiria na kuwekeza nguvu kazi, halafu tuchukulie Taifa kama Marekani wakawa wazembe ila bado wakawa na silaha kali na teknolojia; je tunaweza fika point tukawa super power au ni dream isiyowezekana?

I mean hata tupambane usiku na mchana na kusaga meno, World system haiwezi kutupa chance ya kua superior na kua na thamani kubwa ya pesa?

Nauliza tu wakuu, sina ufahamu kwenye masuala ya currency. Najua kuna principle nyingi za kiuchumi ambazo zimetafsiriwa na hayo mataifa makubwa ambayo ndio tunayasikiliza, kwa sababu yenyewe ndio yana power na akili nyingi kuliko sisi.

Swali la pili, eti kwani dream ya nchi za Afrika ni kufikia malengo gani au hazinaga dream? Na je dream za mataifa ya ulaya ni kufikia malengo gani?

Swali jingine, kwanini Wamarekani na Ulaya wenye akili kuliko Waafrika wasitufundishe jinsi ya kua super power na sisi? Hata sisi tunatamani kuwa super power ila hatuna skills.

Naombeni mnisaidie wakuu mwenye majibu.
 
Uhuru wa mawazo, kila mmoja ana uhuru wa kusema anachofikiria kuwa ni sahihi.

Thamani ya pesa sio sababu ya inchi kuwa super power.
Uwezo wa pesa kufanya manunuzi ni faida kubwa kwa mwenye pesa husika.
Mipango na utekelezaji wa mipango kwa kwa ufanisi ni sababu ya inchi kuendelea.

Mambo ni mengi mno, kuwa super power sio rahisi.
 
Uhuru wa mawazo, kila mmoja ana uhuru wa kusema anachofikiria kuwa ni sahihi.

Thamani ya pesa sio sababu ya inchi kuwa super power.
Uwezo wa pesa kufanya manunuzi ni faida kubwa kwa mwenye pesa husika.
Mipango na utekelezaji wa mipango kwa kwa ufanisi ni sababu ya inchi kuendelea.

Mambo ni mengi mno, kuwa super power sio rahisi.
Ok mkuu, nilikua sielewi umenielewesha
 
Silaha kali hata Iran, North Korea, China na Russia wanazo lkn bado ni watoto kwa Marekani ndiyo maana wanawekewa vikwazo na Marekani.
Mnafanya kazi kwa bidii usiku na mchana. Ni kazi gani hizo? Usije ukawaza kubeba zege au kulima shamba kwa jembe la mkono usiku na mchana halafu utegemee utakuja kuipita Marekani.
Swali langu ni kwamba, kwa mfano ikatokea Tanzania tukafanya kazi kwa bidii na tukapambana usiku na mchana kufikiria na kuwekeza nguvu kazi, halafu tuchukulie Taifa kama Marekani wakawa wazembe ila bado wakawa na silaha kali na teknolojia; je tunaweza fika point tukawa super power au ni dream isiyowezekana?
 
Hoja yako haiwez kupata majibu murua hapa kwenye uzi.

Kwa kukushauri tu, tafuta vitabu usome kuhusu asian tigers, halafu usome kuhusu industrial revolution in Europe. Then soma American economic history.

Ukishasoma hivo vitu ndo utajua u super power unatokana na nini haswa. Hata mambo ya currency yamo humo humo
 
Ni possible kabisa kwa sababu geographical character ya Tz inaruhusu , resource zipo tatizo linakuja hatuna technological base nzuri kuweza kuzalisha bidhaa za kutosha na zenye ushindani ktk soko la kimataifa

NOTE: Thamani ya pesa sio indicator kwamba nchi ni tajir brother ni monetary policy za centre bank za nchi together with markert force ili kuregulate maswala ya import na export
 
Ni possible kabisa kwa sababu geographical character ya Tz inaruhusu , resource zipo tatizo linakuja hatuna technological base nzuri kuweza kuzalisha bidhaa za kutosha na zenye ushindani ktk soko la kimataifa

NOTE: Thamani ya pesa sio indicator kwamba nchi ni tajir brother ni monetary policy za centre bank za nchi together with markert force ili kuregulate maswala ya import na export
Mbona mi naona kama haiwezekani. Wale jamaa wametuzidi sana. Labda cha msingi ni kuwasomesha watoto wetu ulaya ili wapate elimu bora
 
Hoja yako haiwez kupata majibu murua hapa kwenye uzi.

Kwa kukushauri tu, tafuta vitabu usome kuhusu asian tigers, halafu usome kuhusu industrial revolution in Europe. Then soma American economic history.

Ukishasoma hivo vitu ndo utajua u super power unatokana na nini haswa. Hata mambo ya currency yamo humo humo
Au tusomeshe watoto wetu ulaya wapate elimu bora. Pia watu waafrika wengi bado kwenye hizi dini za asili ambazo haziwasaidii. Kwa nn tusiwekeze kwenye ukristu. Roman catholic ni dini nzuri sana.

Jesus is real. Tumuombe atatusaidia africa. Tusali sana na kukuza makanisa ya kikristu. Matatizo yetu yatakwisha
 
Mbona mi naona kama haiwezekani. Wale jamaa wametuzidi sana. Labda cha msingi ni kuwasomesha watoto wetu ulaya ili wapate elimu bora
Nchi Kama Uganda haiwezi kuwa super power hata iwe vip koz haijitegemei koz haijapakana na bahari watetegemea nchi zingine ili kuwezesha baadhi ya mambo yafanikiwe tayar hapo wanakuwa kwenye tie hio ndio tunasema geographically a certain country is in position to be a superpower
 
Au tusomeshe watoto wetu ulaya wapate elimu bora. Pia watu waafrika wengi bado kwenye hizi dini za asili ambazo haziwasaidii. Kwa nn tusiwekeze kwenye ukristu. Roman catholic ni dini nzuri sana.

Jesus is real. Tumuombe atatusaidia africa. Tusali sana na kukuza makanisa ya kikristu. Matatizo yetu yatakwisha
Ili ku attain development so lazima ku imitate Kila kitu kutoka Uerope or America unaweza uka disgn au kuboresha kitu chako unachoona ni duni
 
Mi naona lazima tuwaige bana. Tumewaiga barabara, government system, industries, cars, electricity.........etc. why tusiwaige. Kwa hiyo njia pekee ni kutafuta elimu yao zaidi. Wao ndio wana akili nyingi.
Ili ku attain development so lazima ku imitate Kila kitu kutoka Uerope or America unaweza uka disgn au kuboresha kitu chako unachoona ni duni
 
Mi naona lazima tuwaige bana. Tumewaiga barabara, government system, industries, cars, electricity.........etc. why tusiwaige. Kwa hiyo njia pekee ni kutafuta elimu yao zaidi. Wao ndio wana akili nyingi.
Maendeleo ni uwezo wa kumudu maisha yenu bila kutegemea wengine kama walivyokua babu zetu kabla ya ukolon...yaani mlo,malazi,afya nk...siyo kuwa supa pawa na si lazima upite walimopita wazungu,unaangalia mazingira yako unatatua accordingly,tatizo waliosoma hawana fikra huru,walisoma kupata vyeti wakakae maofisini
 
Mi naona lazima tuwaige bana. Tumewaiga barabara, government system, industries, cars, electricity.........etc. why tusiwaige. Kwa hiyo njia pekee ni kutafuta elimu yao zaidi. Wao ndio wana akili nyingi.
Hiyo ya kwenda tu kusoma elimu yao bado haitasaidia ila inahitaji akili tu ya kuzaliwa pamoja na utashi.
Kwa sababu ukiangalia hawa viongozi wetu wa nchi mbona wengi tu wamesoma nje ya nchi na wanafanya utopolo tu na muda mwingine wanazidiwa hoja na darasa la 7 akina msukuma.
 
Ila jina lako mkuu..Na an tombe....hahahha 🤣 😹 😹 🙊 😆
Hoja yako haiwez kupata majibu murua hapa kwenye uzi.

Kwa kukushauri tu, tafuta vitabu usome kuhusu asian tigers, halafu usome kuhusu industrial revolution in Europe. Then soma American economic history.

Ukishasoma hivo vitu ndo utajua u super power unatokana na nini haswa. Hata mambo ya currency yamo humo humo
 
Unawa zungumzia wale Roman catholic, walio tuachia Bibilia na kutuibia mali zetu?
(Kama dhahabu & almas.)
Au tusomeshe watoto wetu ulaya wapate elimu bora. Pia watu waafrika wengi bado kwenye hizi dini za asili ambazo haziwasaidii. Kwa nn tusiwekeze kwenye ukristu. Roman catholic ni dini nzuri sana.

Jesus is real. Tumuombe atatusaidia africa. Tusali sana na kukuza makanisa ya kikristu. Matatizo yetu yatakwisha
Kiufupi nchi za Africa haziwezi kuzifikia (achilia mbali kuzipita)nchi za Europe, sababu yale maendeleo tunayo yaona leo kwao yalianza kuandaliwa zaidi ya miaka 500 huko.

Jiulize, urusi anapeleka setilaiti angani, wewe ndio kwanza uko utumwani (unatawaliwa)

Jiulize, dini wamekuletea wao (bila wazungu kuja Africa wewe usinge mjua Yesu) Elimu ulio nayo wao ndio wamekupa, kumbuka wao ndio wamekugundua, nakadhalika na kadhalika.

Hii maana yake, kipindi nchi za Africa zina kuwa wao (Europe) ndio wanazidi kwenda mbele, hivyo tusitegemee kuwapata.

Chakufanya, kipaumbele chetu kiwe kuzikuza nchi zetu kwa haraka (maana nchi nyingi za Africa uchumi wake/ maendeleo yake ni ya mwendo wa kinyonga ) ili raia wake tusiendelee kulia nyau, maswala sijui kuwaza kuwapata wazungu tuachane nayo.
 
Back
Top Bottom