Kinana akiwa mwanza alisema wabunge wa ccm wanapitisha miswada na sheria zisizo na tija. Hii maana yake ni kwamba wabunge wa ccm ni mbumbumbu,wajinga, na wapumbavu wasio jua wanachokifanya. Naama nyingine ni kwamba serikali iliopo madarakani pamoja na wabunge wake hawapaswi kuwepo /kuongoza hii nchi. Maana nyingine ni kwamba wabunge wa ccm wameuza nchi kwa umbumbumbu wao kwenye mambo muhimu ya nchi.
Kauli ya kinana inadhihirishwa na msuguano unaoendelea bungeni sasa hivi kuhusu miswada ya gesi na mafuta. Wabunge wa ccm wanadhihilisha upumbavu/umbumbumbu huu kwa kulazimisha kupitisha miswaada hii ambayo wabunge wa upinzani wamesema marekani ndio wanaoishinikiza serikali kupeleka miswada hii bungeni kwa dharura ili marekani ijue maslahi yake kwenye gesi na mafuta.
Jana lisu alisikika akisema 'mwambieni obama mambo yameshindikana'
hivi kumbe kinana anajua chama cha ccm kina watu ambao ni punguani wasioweza pambanua mambo ila anashindwa kuwambia liv
Kauli ya kinana inadhihirishwa na msuguano unaoendelea bungeni sasa hivi kuhusu miswada ya gesi na mafuta. Wabunge wa ccm wanadhihilisha upumbavu/umbumbumbu huu kwa kulazimisha kupitisha miswaada hii ambayo wabunge wa upinzani wamesema marekani ndio wanaoishinikiza serikali kupeleka miswada hii bungeni kwa dharura ili marekani ijue maslahi yake kwenye gesi na mafuta.
Jana lisu alisikika akisema 'mwambieni obama mambo yameshindikana'
hivi kumbe kinana anajua chama cha ccm kina watu ambao ni punguani wasioweza pambanua mambo ila anashindwa kuwambia liv