Kanuniya68
Senior Member
- May 26, 2013
- 157
- 44
Wakati akifanya majumuisho ya hoja ya kamati,mh.lembeli amesema 'ukiona mtu anatetewa kwa nguvu wakati ni mkosaji basi utafakari sana,kuna jambo limejificha hapo'..ametoa kauli hyo kuhoji waliokua wakimtetea waziri d.mathayo! Je, alimlenga Zito?