samilakadunda
JF-Expert Member
- Oct 13, 2011
- 1,780
- 354
Nakereheka sana namajadiliano ya wanasiasa, waandishi wa habari wanaharakati na serikari ya jamhuri ya muungano wa Tanzaniani,jinsi wanavyo lijadili suala hili la huyu nduguyetu,aliye itumikia serikali hii na kutoa mchango mkubwa,naami alikuwa na malengo na na mtazamo mkubwa juu ya familiaa yake na hasa watoto wake wanne aliowaacha hapa duniani wasijue nn hatma ya maisha yao kwani nguzo muhimu ya mafanikio yao imekatwa pasipo hata kuwaachia hata neno moja.naomba kama tunavyojadili juu ya kifo chake pia tujadili jinsi ya kuwasaidia hawa watoto walioachwa baharini na nahodha kutoweka pasipo waaga.kwa maelezo haya wote niliowataja hapojuu kilamoja kwa nafasi yake atafakari naaone kamayeye angekuwa ndio daudi ! Naumia sana naomba kuishia hapa.