Tujadili hoja na sio jaziba na chuki, Mh. MSIGWA

Mimi nimekupa Maana yake
au Ukikosa Hoja ndo unakuwa hivyo...... Mi natoa hoja na Ushahidi

CHECK THIS OUT.... Kama umeweza kuweka Kiingereza hapo umesoma. Kwahiyo ulisoma hata HISTORY ambayo ilisema WE ALL CAME FROM THEM[Chimpanzee].... As a source of Knowing where we came from..

Mimi sijafundishwa hiyo topic mkuu nadhani pengine sijafikia hilo darasa na siamini kama nimetokana na sokwe! Tangu wanabaiologia wanataalamu wanafuatilia maisha ya viumbe hai wawepo hawajawahi kutujuza kuwa msitu fulani sokwe kadhaa wamebadilika na kugeuka binaadamu na kutengewa kijiji chao kuanza maisha.

Ila tunasikia kuwa vichaa waliopo hospital ya lutindi wilayani korogwe wamepona na kupewa makazi kijijini hapo!

Mkuu wewe una akili au una ubongo?

I give a sarcastic answer when you ask me a dumb question!
 
hizo nchi zote ulizotaja hakuna anaekula hadharani si dubai wala libya pakistani ndiyo kabisaa wacha kutudanganya,maduka yanafunguliwa ya vyakula sawa hatukatai,lakini ni kwa ajili ya maandalizi ya ftari,na watalii au wageni wasiokuwa waislamu wananunua na kwenda kujisevia kwao!!

NYIE SI MMEWAKATAZA HATA WASIFUNGUE MIGAHAWA NA SEHEMU ZA KULIA CHAKULA WATU. Asubuhi na Mchana... Je kwa yule anayefanya Kazi za Gereji na Kwenye Viwanda/wamachinga/ombaomba n.k wenyewe wanaenda kujisevia wapi? Hapo zanzibar
 
Ungejua maana ya dini usingesema yote hayo, pokea darsa dogo;

Maana ya dini ni mfumo wa maisha kwa hiyo huyo anaebudu "mizimu, mababu, jua, watu,wanyama" ndio mfumo wa maisha yake aliyojichagulia lakini siyo mfumo wa Maisha aliyochaguliwa na Mwenyeezi Mungu wala sio mfumo alichaguliwa na "mizimu, mababu, jua, watu, wanyama". Mfumo wa Maisha kwa Mwenyeezi Mungu ni mmoja tu nao ni Uislaam kwa maana ya kujisalimisha kwake tu.

Hivi wewe engineer, unaweza kutengeneza mashine bila user guide? user manual? technical guide? sasa imagine "a complicated being" kama binaadam aumbwe bila user manual? fikiri kabla hujajibu.

Asante kwa darsa ndugu yangu, na sisi tunasema kila ulimi utamkiri na kwa bwana Yesu kila goti litapigwa!

Sasa mimi sipendi kuchangia sana mambo ya imani kwavile ukienda deep utaquestion existance ya Mungu na kukufuru bure, vilevile sina haja ya kumbadili mtu wala kuudhi ya wengine.

Ninachojua ndicho hicho katika imani yangu,pia kusema angalia yalimpata Nyerere sijui kawawa (kufa kwa kuukashfu uislam ) mimi sikubali kwani Ayatolah kiongozi anayeheshimika mpaka kwangu alimsomea Fatwa binadamu asiyemuumba yeye bwana Rushdie aliyeandika aya za kishetani, nadhani umeona kafa yeye Khomein (Mungu amrehemu ) na Rushdie anazidi kutunga vitabu kukufuru

Naomba nihitimishe; Zomba ndugu yangu usharika wangu huku Mbezi tuna madarasa ya Nicodemu hii ni kipaimara na ubatizo kwa watu wazima, maybe it will interest you to know tumebatiza 22 wote kutoka imani nyingine, picha zao na maelezo kwenye Upendo newspaper.

Tuhubiriane injili kwa upendó bila kukwazana, bado hatujafika siku ya mwisho tukajua majaaliwa yetu mbele ya mwenyezi Mungu, tupendane sote tnapita tu.
Nina fahari ya urafiki wa karibu na walimu wazuri tu wa kiislam tena ni maalhaji, katu hatujawahi kubezana, na hapa pia wapo tunatambuana na kamwe hawatoi michango ya kuudhi wengine, ninaelewa there's a lot of pro CDM,pro CCM,na pro udini, hebu tujadiliane bila kejeli za kwi kwi kwi kweny masuala ya imani.
 
NYIE SI MMEWAKATAZA HATA WASIFUNGUE MIGAHAWA NA SEHEMU ZA KULIA CHAKULA WATU. Asubuhi na Mchana... Je kwa yule anayefanya Kazi za Gereji na Kwenye Viwanda wenyewe wanaenda kujisevia wapi?
kuwa muwelewa hata hizo nchi ulizotaja hakuna mgahawa wala hoteli zinazofunguliwa mchana!!!
yanayofunguliwa mchana ni:maduka ya vyakula(reja reja na jumla)super market na n.k.....
mpaka mc donald's na kina kintaky wanatii amri za kuzifunga mchana,kwa waliopo nchi za arabuni.
na z.n.z hawakukosea
 

Attachments

  • jk.jpg
    jk.jpg
    45.1 KB · Views: 36
PADR AMLAWITI MFANYAKAZI WA NDANI WA PAROKIA..‏

JESHI la polisi mkoani Kilimanjaro linamsaka Padri Stanslaus Sala wa parokia ya Mtakatifu Theresa Lego Muro,jimbo la Moshi katika kata ya Kilema Kusini kwa tuhuma ya kumlawiti mfanyakazi wa kiume wa parokia hiyo mwenye umri wa miaka 14 (Jina limehifadhiwa).

Akizungumza na waandishi wa habari ofisini kwake jana kamanda wa polisi mkoa wa Kilimanaro Lucas Ng’hobko aliithibitisha kupoea kwa taarifa hiyo na kwamba ameagiza padri huyo akamatwe.

“Nimepokea taarifa hiyo jana kutoka kwa wasaidizi wangu na tayari tunafanyia kazi ,anatafutwa kwanza huyu mtuhumiwa wakati upelelezi uiendelea ili kuthibitisha endapo ni kweli amefanya kitendo hicho na ikithibitika tutampelkea mahakamani”alisema Ng’hoboko.


Alisema taarifa za tukio hilo zilifikishwa kituoni Oktoba 31 mwaka huu kufungua jalada ambalo lilipewa namba MS/RB/14614/2010 na kupewa fomu namba 3 (PF 3) kwa ajili ya matibabu ya kijana huyo ambaye alitibiwa hospitali ya mkoa ya Mawenzi.


“Walifika kituoni kufungua jalada na kupatiwa PF 3 kwa ajili ya matibabu,lakini sisi bado hatujaiona inawezekana baada ya kupata matibabu wakaondoka nayo ,tumekwisha sikiliza upande mmoja lakini pia tunahitaji kusikia na upande wa pili”alisema Ng’hoboko.


Awali akizungumza na Tz daima jana mzazi wa kiume wa mtoto huyo,Amati Lyamuya aliyekuwa, ameambatana na wananchi zaidi ya 10 alisema tukio hilo lilitokea Oktoba 30 mwaka huu,majira ya saa 2 usiku.


Alisema taarifa za mtoto wake kufanyiwa kitendo hicho zilitolewa na mlinzi baada ya kijana huyo kuonekana kukereka na kitendo hicho kilichofanywa na kiongozi mkubwa kama huyo wa dini.

“Hatukuwa na taarifa yoyote juu ya taarifa ya vitendo vinavyofanywa na huyu Padri ,mlinzi wa parokia ambaye ni mmasai ndiye aliyenda kuwaeleza wazee wa kanisa ambao na wao walikuja kuwaeleza wanakijiji, tukaamua kuandamana”alisema Lyamuya.

Akisimulia tukio hilo ,kijana huyo alisema Padri huyo alimchukua baada ya kuhitimu darasa la saba kwa ajili ya kufanya kazi za kulisha mifugo kwenye Parokia hiyo huku akisubiri matokeo yake.

Alisema siku ya tukio,Padri alimuita mlinzi na kumwagiza akamuite kijana huyo kwenye chumba chake,ambapo baada ya kufika alieleza kuwa anastahili kupewa adhabu na kwamba ataenda kuadhibiwa eneo la mbali na parokia hiyo.

Bila kujua kosa lake kijana huyo alisema waliondoka na alimueleza kuwa wanakwenda eneo la Seminari ya Karumari lakini walipofika eneo la Kisanja ambako kuna msitu ,padri huyo alimtaka kijana huyo ashuke kwenye gari na kumfuata kwa upande wake ambapo alifunga mlango mmoja na kumuegemeza kwenye mlango wa
dereva.

“Baada ya kufika hapo msituni alisimamisha gari akaniambia nishuke na kwenda kwenye mlango wa upande wake ili anipe maelekezo kutoka kwa baba yangu,niliamini na kumfuata’alisema kijana huyo .

Nilipofika alinikandamiza kwenye mlango wa dereva na kunitoa kaptula na nguo ya ndani na kisha kuanza kunilawiti nilijaribi kujiokoa lakini sikufanikiwa ”aliongeza kijana huyo.

Alidai baada ya kumaliza alimwambia apande kwenye gari na kurudi parokiani ambako alienda moja kwa moja chumbani kwake huku akilia kwa uchungu kutokana na kitendo kile.

“Baaada ya kufika chumbani kwangu majira ya saa 5 na 6 Padri alirudi tena kugonga mlango lakini sikufungua’alisema kijana huyo.


Alidai kesho yake majira ya saa 2 asubuhi padri huyo alimfuata na kumpa mche mmoja wa sabuni na rozali na kumtaka asiseme popote jambo hilo huku akimuahidi zawadi nyingi zaidi.

Zaidi ya wananchi 10 wakiwa wameandamana na mtoto huyo walifika
kwenye kituo kikuu cha polisi mjini Moshi na kufungua jalada lenye
namba MS/RB/14614/2010 na kupewa fomu namba 3 (PF3) ya matibabu kwenye hospitali ya mkoa ya Mawenzi.

Kwa upande wake afisa Mtendaji wa kata,Adamu Mbuya,alisema aliletewa taarifa hizo wakati akiwa ofisini kwake na mwenyekiti wa kijiji,ambapo walimpeleka
hospitalini na kuonekana kuwa amelawitiwa na kujeruhiwa vibaya.

Alisema baada ya kuta taarifa kituo cha polisi walitakiwa kwenda kumkamata Padri huyo lakini zoezi hilo lilishindikana kutokana na polisi kuwa katika zoezi la uchaguzi ,ambapo polisi waliwaambia jalada la kesi hiyo limepelekwa kituo kidogo cha Himo.

Hata hivyo Mbuya alisema jana wakiwa na askari polisi wawili walienda kwenye parokia hiyo na mkuu wa kituo lakini hawakufanikiwa kumpata padri huyo.
 
kuwa muwelewa hata hizo nchi ulizotaja hakuna mgahawa wala hoteli zinazofunguliwa mchana!!!
yanayofunguliwa mchana ni:maduka ya vyakula(reja reja na jumla)super market na n.k.....
mpaka mc donald's na kina kintaky wanatii amri za kuzifunga mchana,kwa waliopo nchi za arabuni.
na z.n.z hawakukosea

TUJENGE HOJA TU MKUU...JE WAFANYAKAZI WA VIWANDANI/WAJENZI/migodini AMBAO SI WAISLAM KATIKA NCHI HIZO HAWALI NA KUNYWA WAKATI WA BREAKFAST NA LUNCH???
 
Askofu Mkuu wa KKKT, Alex Malasusa
Oktoba mwaka jana, Askofu Mkuu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Dk. Alex Malasusa, alisema kuwa hatavumilia kuona matendo maovu yanayotendeka nje ya nchi yakipewa nafasi ndani ya kanisa nchini.
Kauli ya Malasusa ilifuatia siku chache baada ya Kanisa la Kilutheri nchini Sweden, lenye waumini wengi duniani, kubariki ndoa za watu wa jinsia moja (mashoga na wasagaji).

Ingawa Askofu huyo wa kanisa hakulitaja kanisa la Sweden, alilenga kueleza msimamo wa kanisa hilo hapa nchini kwa kutounga mkono ndoa za aina hiyo.
Malasusa alitoa msimamo wake katika hafla ya ufunguzi wa Kanisa la Usharika wa Mbezi Beach jijini Dar es Salaam, ambapo mgeni rasmi alikuwa Waziri Mkuu wa zamani, Frederick Sumaye.
 
PADR AMLAWITI MFANYAKAZI WA NDANI WA PAROKIA..‏

JESHI la polisi mkoani Kilimanjaro linamsaka Padri Stanslaus Sala wa parokia ya Mtakatifu Theresa Lego Muro,jimbo la Moshi katika kata ya Kilema Kusini kwa tuhuma ya kumlawiti mfanyakazi wa kiume wa parokia hiyo mwenye umri wa miaka 14 (Jina limehifadhiwa).

Akizungumza na waandishi wa habari ofisini kwake jana kamanda wa polisi mkoa wa Kilimanaro Lucas Ng'hobko aliithibitisha kupoea kwa taarifa hiyo na kwamba ameagiza padri huyo akamatwe...


:focus: TUJADILI HOJA SI CHUKI NA JAZBA.

Kila Mtu Akileta Uovu wa Viongozi wao wa Dini hapatoshi hapa...... Na usidhani unamkomoa Mtu maana imani ipo ROHONI NA MOYONI mwa Mtu. Usidhani ndo MAFUNDISHO YA DINI HUSIKA
 
Kauli ya Malasusa ilifuatia siku chache baada ya Kanisa la Kilutheri nchini Sweden, lenye waumini wengi duniani, kubariki ndoa za watu wa jinsia moja (mashoga na wasagaji).
 

Attachments

  • GUYS.jpg
    GUYS.jpg
    47 KB · Views: 70
Kauli ya Malasusa ilifuatia siku chache baada ya Kanisa la Kilutheri nchini Sweden, lenye waumini wengi duniani, kubariki ndoa za watu wa jinsia moja (mashoga na wasagaji).

Hahahaha hahaha Ukishindwa hoja


:focus: TUJADILI HOJA SI CHUKI NA JAZBA.
 
:focus: TUJADILI HOJA SI CHUKI NA JAZBA.

Kila Mtu Akileta Uovu wa Viongozi wao wa Dini hapatoshi hapa...... Na usidhani unamkomoa Mtu maana imani ipo ROHONI NA MOYONI mwa Mtu. Usidhani ndo MAFUNDISHO YA DINI HUSIKA
kama unalielewa hilo jifunze na wewe kutochafua dini za wenzako!
tambua kuwa wanauwezo wa kufikiri na kuongoza wala dini si kikwazo kwao bali ni motisha kwao ya uongozi bora na uadilifu!!
 
Askofu Mkuu wa KKKT, Alex Malasusa
Oktoba mwaka jana, Askofu Mkuu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Dk. Alex Malasusa, alisema kuwa hatavumilia kuona matendo maovu yanayotendeka nje ya nchi yakipewa nafasi ndani ya kanisa nchini.
Kauli ya Malasusa ilifuatia siku chache baada ya Kanisa la Kilutheri nchini Sweden, lenye waumini wengi duniani, kubariki ndoa za watu wa jinsia moja (mashoga na wasagaji).

Ingawa Askofu huyo wa kanisa hakulitaja kanisa la Sweden, alilenga kueleza msimamo wa kanisa hilo hapa nchini kwa kutounga mkono ndoa za aina hiyo.
Malasusa alitoa msimamo wake katika hafla ya ufunguzi wa Kanisa la Usharika wa Mbezi Beach jijini Dar es Salaam, ambapo mgeni rasmi alikuwa Waziri Mkuu wa zamani, Frederick Sumaye.

RGforever

Je Askofu Mkuu wa KKKT, Alex Malasusa hakuvunja Katiba ya Sweden? wenyewe wameridhia kwenye katiba yao kwanini yeye ayasemee? Unajua kwanini aliyasema? kwakuwa KKKT wanautamaduni wao na utamaduni unaojulikana/uliokuwa ukijulikana ni kuwa hakuna ndoa ya jinsia moja na ndio maana Askofu Mkuu wa KKKT, Alex Malasusa akasimamia utamaduni ule!
 
:focus: TUJADILI HOJA SI CHUKI NA JAZBA.

Kila Mtu Akileta Uovu wa Viongozi wao wa Dini hapatoshi hapa...... Na usidhani unamkomoa Mtu maana imani ipo ROHONI NA MOYONI mwa Mtu. Usidhani ndo MAFUNDISHO YA DINI HUSIKA

Ndiyo maana kuna mmoja kasema kwamba hii dini ikimuingia mtu ni kama kirusi cha computer. Inaharibu program zote na kuvuruga hata zile ambazo ni basic. Taratibu naanza kuelewa alikuwa anamaanisha nini.
 
Kauli ya Malasusa ilifuatia siku chache baada ya Kanisa la Kilutheri nchini Sweden, lenye waumini wengi duniani, kubariki ndoa za watu wa jinsia moja (mashoga na wasagaji).
Ukikosa HOJA

YESU KRISTO. Si kila aniitaye bwana bwana atauona Ufalme wa Mbinguni

:focus: TUJADILI HOJA SI CHUKI NA JAZBA.
 
RGforever

Je Askofu Mkuu wa KKKT, Alex Malasusa hakuvunja Katiba ya Sweden? wenyewe wameridhia kwenye katiba yao kwanini yeye ayasemee? Unajua kwanini aliyasema? kwakuwa KKKT wanautamaduni wao na utamaduni unaojulikana/uliokuwa ukijulikana ni kuwa hakuna ndoa ya jinsia moja na ndio maana Askofu Mkuu wa KKKT, Alex Malasusa akasimamia utamaduni ule!

YESU KRISTO. Si kila aniitaye bwana bwana atauona Ufalme wa Mbinguni

:focus:
Je! wafanyakazi wa Viwandani ambao si waislam huko Dubai/Pakistan/Libya na Wenyewe hawali Asubuhi na Mchana??
 
Asante kwa darsa ndugu yangu, na sisi tunasema kila ulimi utamkiri na kwa bwana Yesu kila goti litapigwa!

Sasa mimi sipendi kuchangia sana mambo ya imani kwavile ukienda deep utaquestion existance ya Mungu na kukufuru bure, vilevile sina haja ya kumbadili mtu wala kuudhi ya wengine.

Ninachojua ndicho hicho katika imani yangu,pia kusema angalia yalimpata Nyerere sijui kawawa (kufa kwa kuukashfu uislam ) mimi sikubali kwani Ayatolah kiongozi anayeheshimika mpaka kwangu alimsomea Fatwa binadamu asiyemuumba yeye bwana Rushdie aliyeandika aya za kishetani, nadhani umeona kafa yeye Khomein (Mungu amrehemu ) na Rushdie anazidi kutunga vitabu kukufuru

Naomba nihitimishe; Zomba ndugu yangu usharika wangu huku Mbezi tuna madarasa ya Nicodemu hii ni kipaimara na ubatizo kwa watu wazima, maybe it will interest you to know tumebatiza 22 wote kutoka imani nyingine, picha zao na maelezo kwenye Upendo newspaper.

Tuhubiriane injili kwa upendó bila kukwazana, bado hatujafika siku ya mwisho tukajua majaaliwa yetu mbele ya mwenyezi Mungu, tupendane sote tnapita tu.
Nina fahari ya urafiki wa karibu na walimu wazuri tu wa kiislam tena ni maalhaji, katu hatujawahi kubezana, na hapa pia wapo tunatambuana na kamwe hawatoi michango ya kuudhi wengine, ninaelewa there's a lot of pro CDM,pro CCM,na pro udini, hebu tujadiliane bila kejeli za kwi kwi kwi kweny masuala ya imani.

Hakuna binaadam ambae hataionja mauti. Ulishamsikia wewe? Kafa "mungu" itakuwa Ayatollah?
 
kama unalielewa hilo jifunze na wewe kutochafua dini za wenzako!
tambua kuwa wanauwezo wa kufikiri na kuongoza wala dini si kikwazo kwao bali ni motisha kwao ya uongozi bora na uadilifu!!

We si ndo Umeleta Sub topic ya Kuchafua Ukristo hapo Juu???

Mi nimeleta TOPIC ya Tamko la Msigwa we Umeleta Subtopic ya Kuchafua Ukristo... Halafu unaniambia mimi si heshimu wakati Unayeniambia TAYARI hujaheshimu Dini yangu... Au hoja ndo zinajadiliwa hivyo?
 
Back
Top Bottom