Did Salman Rushdie die or Ayatolah Khomein ?
Acha udini, endeleza funga yako kistaarabu ndio maana nilikuomba ukae mbali na JF ili usijinajisi kipindi hiki
Kuna wanaoabudu mizimu, mababu, jua, watu,wanyama ....dunia yao chaguo lao!!
Hii ndio taabu ya kuwa na mapadri, wachungaji na makatekista kwenye chama. Akili zao ni kupambana na uislamu.
Ungejua maana ya dini usingesema yote hayo, pokea darsa dogo;
Maana ya dini ni mfumo wa maisha kwa hiyo huyo anaebudu "mizimu, mababu, jua, watu,wanyama" ndio mfumo wa maisha yake aliyojichagulia lakini siyo mfumo wa Maisha aliyochaguliwa na Mwenyeezi Mungu wala sio mfumo alichaguliwa na "mizimu, mababu, jua, watu, wanyama". Mfumo wa Maisha kwa Mwenyeezi Mungu ni mmoja tu nao ni Uislaam kwa maana ya kujisalimisha kwake tu.
Hivi wewe engineer, unaweza kutengeneza mashine bila user guide? user manual? technical guide? sasa imagine "a complicated being" kama binaadam aumbwe bila user manual? fikiri kabla hujajibu.
Zomba said:Mfumo wa Maisha kwa Mwenyeezi Mungu ni mmoja tu nao ni Uislaam kwa maana ya kujisalimisha kwake tu.
al-qaida,boko,al-shabab.....................hawa ni vibaraka wa marekani na kawatengeneza mwenyewe kwa maslahi yake ya kimataifa,fuatilia ukweli ulipo uelimike ukitegemea c.n.n na b.bc na fox news utaishia kuwa mtumwa wa wazungu mpaka kufa kwako!!!!!NYIE NDO MMEFUNGWA NA DINI HAMWEZI HATA KUFIKIRIA MAMBO MENGINE. Hebu Prove unayoyasema
Al-qaeda,Uamsho,Alshababu,Al-boko hawa ndo wanajua mfumo wa uislam. Huo ndo Mfumo Mzima wa Maisha ya Uislam
Maana WANATIMIZA AYA HIZI
Qurani 5:35 Suratul Al -Maidah
(Meza)
Enyi mlioamini mcheni
mwenyezi Mungu na tafuteni
njia ya kumfikilia (kufikilia
pepo yake). Na piganeni kwa ajili ya Dini yake ili mpate
kufaulu.
Qurani 47:4 Suratul
Muhammad na Qurani 9:123
Suratul At - Tawba.
Muhammad mwenyewe
alisema hivi katika kitabu cha hadithi zinazoaminiwa na
waislamu wote:- Sahih Al-Bukhari Vol. 4 Hadith
na 196, Ukurasa wa 124:
Imesimuliwa na Abu- Huraira:
Mtume wa Allah akasema,
Nimeamrishwa kupigana na
watu hadi watakaposema hakuna apasaye kuabudiwa
ila Allah; Na yule
atakayesema kwamba
hakuna apasaye kuabudiwa
ila Allah, maisha yake na mali
yake yataokolewa nami
KWELI YAMETIMIA
ni jambo lisilo na was wasi wowote kuwa waislamu katika visiwa vya z.n.z ni 99% na ndio wazawa wa visiwa hivyo na wapagani waliobakia wamepandikizwa kutoka bara yani 1% kwa maana hiyo ni hatua muhimu ya kufunga hoteli zote na kila dada kuficha kifua na difu yake ya nyuma huu si wakati wa biashara ya ngono,ngojeni mwezi uishe tunaweza kuingia mkataba mpya!
ni nchi inayoheshimu matabaka yote na dini zote,na ni juu ya wananchi kuheshimu mwezi huu hata kama si waislamu!
(lazma kieleweke)
ile picha iliyoenezwa kwenye mitandao ni askofu wako alikuwa kavaa kanzu tu,na kale kamchezo alikuwa anacheza na yule binti kama michezo mingine ya kupandishana mzuka,ila mpiga picha aliyekuwa karibu alipata wazo jengine la kuchafuana!MUNGU wenu ndo anawaruhusu hivyo. Miezi 11 ya Maovu mwezi mmoja wa wema na kuwachapa watu bakora
ushoga ni kawaida ya maaskofu kuwa mashoga uliwahi wapi kuskia shekhe shoga ama anahimiza ushoga!!!MUNGU wenu ndo anawaruhusu hivyo. Miezi 11 ya Maovu mwezi mmoja wa wema na kuwachapa watu bakora
MMRUHUSU NA YULE KIJANA WENU ALIYETAKA USHOGA UINGIE NCHINI KUPITIA IDHAA YA KISWAHILI BBC
Wadini utawajua Tu. Zomba,Ni nani Asiyekujua humu Ndani na UDINI wako na Siasa cha CHUKI.
al-qaida,boko,al-shabab.....................hawa ni vibaraka wa marekani na kawatengeneza mwenyewe kwa maslahi yake ya kimataifa,fuatilia ukweli ulipo uelimike ukitegemea c.n.n na b.bc na fox news utaishia kuwa mtumwa wa wazungu mpaka kufa kwako!!!!!
wewe na wenye mawazo kama yako!!!
tatizo hii lugha ya kiswahili si ya kwako ulijifunza tu darasani!!Hahahahahahaha. Kweli kubali kufungwa Akili na kitu kingine ila siyo DINI..Kwahiyo na UAMSHO na ALJAZRA ni Vya Marekani??
HIVI NYIE
¤Juzi juzi mlisema Zanzibar inamfumo Kristo Leo Mnasema inaendeshwa kiislam
¤Mlisema Pinda anaoongazwa na Maaskofu. Leo Amewatetea Mnamuona Wenu
¤Mlisema Wanawakatalia Mahakama ya kadhi leo Mmepewa Mnasema ni ya Kikristo
MFANYIWE NINI MLIDHIKE NYIE KILA KITU MNALALAMIKA
Watanzania tunashindwa kuendelea kwasababu hatuna tamaduni za kudumu (wa moja kwa moja) wenzetu kule Zanzibar wana utamaduni wao ambao umedumu miaka nenda miaka rudi.
Zanzibar kwa hata wasio waislamu wanabehave tofauti na watu wanaotoka huku bara. Zanzibar imekuwa na wakristo japo kidogo kwa idadi tangu enzi za sultani lakini utamaduni wao umekuwa ni kuto kula kwa kuonekana kwenye mfungo wa mwezi wa ramdhani. Kama Mhe Msigwa haamini haya awaulize kina Charles Hillary, Familia ya Hayati Brig Mwakanjuki, Kizuguto na Joseph Mihagwa ambae ni mweledi wa maswala ya zanzibar na historia yake kwa ujumla.
Miaka mitatu au minne nyuma nilitembelea Zanzibar nikashuhudia aliekuwa mshiriki wa mashindano ya BBA kwa tiketi ya Tanzania akibusiana kwa kunyonyana ndimi na mwanamke wa kizungu hadharani. Kijana mmoja wa kizanzibari akamwambia yule ndugu yetu mbara " bro hayo mambo kafanyieni huko huko kwenu bara tutakutia mikwaju sasa hivi" na akamwambia yule mwanamke wa kizungu kwa lugha yake jamaa na mwanamke wake wakasepa.
Yule kijana aliwaambia yale kwa kuwa ule si utamaduni wa kizanzibari! na huo anaoutetea mhe ni utamaduni mgeni kwa wazanzibari ambao hata wakristo wazawa (sio wahamiaji) watapingana na mtoa hoja.