Mkuu, ongeza nyama.St mathews ni shule inayomilikiwa na mbabaishaji aliyewahi kuwa jambazi. Shule hii imewahi kufutiwa mitihani yake ya taifa mwaka 2006.
Mwenye shule ambaye ni mwenyeji wa bukoba aliwahi kuwa mkuu wa kituo cha polisi buguruni akawa anakodisha silaha kwa majambazi.akatimuliwa kazi ghafla akawa milionea.na sasa ni mlezi wa ccm wilaya ya mkuranga na mweka hazina.