Escobar
JF-Expert Member
- Sep 16, 2011
- 574
- 440
[h=2]Member of Parliament CV[/h][h=2]
Member of Parliament CV
[/h]
[h=2]Member of Parliament CV[/h]
Elimu za aina hii nashauri ziishie kwenye uongozi ngazi ya serikali ya mtaa! Ni wakati muafaka wa kuipa thamani elimu yetu na hata kuwavutia watoto wetu waipende kusoma kwa jitihada zote kuliko kusubiri by chances. Kama kunacondition kwenye kiti cha urais kuwa ukitaka ugombee urais unatakiwa angalau uwe na degree moja na umri flan, basi na ubunge tuanzie japo na elimu ya diploma, udiwani iwe certificate na uenyekiti wa serikali ya mtaa uanzie japo na elimu ya kidato cha nne, darasa la saba wanaweza kuwa wajumbe. We have to be serious na tuache kuamini kuwa uongozi ni kipaji. Kwa elimu hizi za form two au elimu ya darasa la saba kiongozi wa aina hii atakuwa na ubunifu au upeo kiasi gani? Je kunauwezekano mtu wa aina hii akapewa ushauri wa kitaalamu na akauelewa vizuri au unategemea kiongozi huyu ndiyo amkabiri na kumdhibiti mtu kama Prof. Mkulo enzi zake? Wakati wa uhuru ilikuwa sawa kuwa na viongozi wanaojua kuandika majina na sahihi zao tu lakini kwa sasa is not necessary. Tuipe thamani elimu yetu na wasomi wetu wenye sifa kwa maendeleo ya nchi. Nitapenda sana kama wadau mtajadiri hoja na si chama wala mtu binafsi.
GENERAL | ||
---|---|---|
Salutation | Honourable | Member picture |
First Name: | Stephen | |
Middle Name: | Hilary | |
Last Name: | Ngonyani | |
Member Type: | Constituency Member | |
Constituent: | Korogwe Vijijini | |
Political Party: | CCM | |
Office Location: | P.O. Box 60, Korogwe, Tanga | |
Office Phone: | +255 784 459090/+255 712 006666 | |
Ext.: | ||
Office Fax: | ||
Office E-mail: | sngonyani@parliament.go.tz | |
Member Status: | Current Member | |
Date of Birth | 25 May 1956 |
EDUCATION | ||||
---|---|---|---|---|
School Name/Location | Course/Degree/Award | Start Date | End Date | Level |
Kwamndolwa Primary School | Primary Education | 1970 | 1976 | PRIMARY |
Member of Parliament CV
[/h]
GENERAL | ||
---|---|---|
Salutation | Honourable | Member picture |
First Name: | Highness | |
Middle Name: | Samson | |
Last Name: | Kiwia | |
Member Type: | Constituency Member | |
Constituent: | Ilemela | |
Political Party: | CHADEMA | |
Office Location: | Box 1733, Mwanza | |
Office Phone: | +255 754 977070 | |
Ext.: | ||
Office Fax: | ||
Office E-mail: | hkiwia@parliament.go.tz | |
Member Status: | Current Member | |
Date of Birth | 8 October 1976 |
EDUCATION | ||||
---|---|---|---|---|
School Name/Location | Course/Degree/Award | Start Date | End Date | Level |
Kijenge Primary School | Primary Education | 1988 | 1991 | PRIMARY |
Mbuyuni Primary School | Primary Education | 1985 | 1988 | PRIMARY |
Lake Secondary School | Secondary Education | 1992 | 1994 | SECONDARY |
GENERAL | ||
---|---|---|
Salutation | Honourable | Member picture |
First Name: | Livingstone | |
Middle Name: | Joseph | |
Last Name: | Lusinde | |
Member Type: | Constituency Member | |
Constituent: | Mtera | |
Political Party: | CCM | |
Office Location: | Box 50, Dodoma | |
Office Phone: | +255 755 453327/+255 785 679927 | |
Ext.: | ||
Office Fax: | ||
Office E-mail: | llusinde@parliament.go.tz | |
Member Status: | Current Member | |
Date of Birth | 4 March 1972 |
EDUCATION | ||||
---|---|---|---|---|
School Name/Location | Course/Degree/Award | Start Date | End Date | Level |
Mbigili Primary School | Primary Education | 1980 | 1987 | PRIMARY |
CCM College Ihemi | Certificate | 2007 | 2008 | CERTIFICATE |
Elimu za aina hii nashauri ziishie kwenye uongozi ngazi ya serikali ya mtaa! Ni wakati muafaka wa kuipa thamani elimu yetu na hata kuwavutia watoto wetu waipende kusoma kwa jitihada zote kuliko kusubiri by chances. Kama kunacondition kwenye kiti cha urais kuwa ukitaka ugombee urais unatakiwa angalau uwe na degree moja na umri flan, basi na ubunge tuanzie japo na elimu ya diploma, udiwani iwe certificate na uenyekiti wa serikali ya mtaa uanzie japo na elimu ya kidato cha nne, darasa la saba wanaweza kuwa wajumbe. We have to be serious na tuache kuamini kuwa uongozi ni kipaji. Kwa elimu hizi za form two au elimu ya darasa la saba kiongozi wa aina hii atakuwa na ubunifu au upeo kiasi gani? Je kunauwezekano mtu wa aina hii akapewa ushauri wa kitaalamu na akauelewa vizuri au unategemea kiongozi huyu ndiyo amkabiri na kumdhibiti mtu kama Prof. Mkulo enzi zake? Wakati wa uhuru ilikuwa sawa kuwa na viongozi wanaojua kuandika majina na sahihi zao tu lakini kwa sasa is not necessary. Tuipe thamani elimu yetu na wasomi wetu wenye sifa kwa maendeleo ya nchi. Nitapenda sana kama wadau mtajadiri hoja na si chama wala mtu binafsi.