Tuiombee Kenya: Kenya ranked 30th hungriest nation out of 116 countries

Sasa comoro hata million moja hawafiki hyo njaa wanaitolea wapi.
hawalimi mzee, kule wanategemea urojo tu kama hawa wenzetu ambao tumewasitiri tu hata hapa. wanajifanya waarabu kula vya nganongano. pesa ikiwa hamna mfukoni analala njaa.
 
Dar watu wanakufa na njaa??..

You can't be serious.

Tz kiangazi huwa hakitokei??..hizo habari mbona tusizikie kama tunavyosikia za Kenya?
Hta leo tunavyosema dar kuna watu hawajui watakula nini mzee, acha kutetea ujinga hapa
 
In becoming.., yaani kuna potential lakini kwa uzembe wenu bado mko hapa 👇 👇 kiuhalisia..,bro vumilia tu, ukweli unauma 😂 😂 😂 😂 😂 😂
View attachment 2098306

Sasa nimeanza kuamini uzembe pia ni laana, sio tu ujinga, yaani mzungu amewaonyesha vile mnaeza kulisha Africa yoote na bado mmezubaa tu, mko na potential kama pia uganda 😂 😂 😂 😂 😂 😂

Bro nitaendelea kukuambia ujifunze kiingereza mara ngapi na mpaka lini??
Hivi unaelewa maana ya hii. Umeelewa maana na hizi para kwenye ile article?


"Tanzania has topped world rankings for its improved food security over the last decade, defying the double impact of climate change and Covid-19 that continues to wreak havoc on global food systems.''

''The East African country grew its score by 13.3 points, the highest among the world’s 10 most-improved nations over the period, shows the Global Food Security Index, compiled by the Economist Intelligence Unit, on behalf of Corteva Agriscience."
 
Hujui kimombo??!

A Part of It runs; " ---- over 35% of them ( you Kenyans) suffer from food insecurity and MULNUTRITIONS EACH YEAR--"

I have put it in Capital letters for you to see clearly.

Obviously, even in this 2022 you are going to have the same fate.

35% of your population suffers from malnutrition annually, you have been suffering from it since your childhood to adulthood, how can you be okay in your senses ???!!🤣
umepoteza dira
 
umepoteza dira


Screenshot_20220128-205446.png
 
In becoming.., yaani kuna potential lakini kwa uzembe wenu bado mko hapa 👇 👇 kiuhalisia..,bro vumilia tu, ukweli unauma 😂 😂 😂 😂 😂 😂
View attachment 2098306

Sasa nimeanza kuamini uzembe pia ni laana, sio tu ujinga, yaani mzungu amewaonyesha vile mnaeza kulisha Africa yoote na bado mmezubaa tu, mko na potential kama pia uganda 😂 😂 😂 😂 😂 😂

Hawa hutia aibu sana, huifanya Afrika tuonwe kama sokwe, muwe na ardhi yote hiyo halafu bado mnatajwa kati ya maskini wa kutupwa.
 
endelea kutapatapa huku ukitaka kupindisha mada. bado tuko palepale kwa 23% vs 24.7%.


Mada haijabadilika, ni kuhusu njaa , chakula na utapiamlo.

Nyie Kenya kila mwaka 35% ya watu wenu (ya nyie) hukumbwa na njaa na utapiamlo, commonsense haikubali unaponukuu hizo habari potofu kuilinganisha Tz na Kenya kuhusu njaa wakati inajulikana siku zote kwamba Tz inauza Ziada ya chakula huko kwenu. Tz inayo ardhi nzuri na ya kutosha kwa ajili ya kilimo ninyi hamna ardhi ya kutosha kwa kilimo, ukame nk, vinawakumba kila mwaka, katika hali hiyo ni ujinga kuilinganisha TZ na Kenya kuhusu Chakula na njaa
nk, linganisha Kenya na Somalia.

Ninyi jifunzeni kukubali hali yenu na
Sisi tunakubali na kumshukuru Mungu kuhusu hali yetu. Hayo yote ni majaliwa ya Mungu.

Mbona nyie mnao world class athletes wanaokimbia kuliko Cheetah mbona hatulalamiki!!?-- hayo ni majaliwa yake Mungu kwenu.
 
We jamaa, mbona Kenya wanahali nzuri kuliko Tanzania? Its 23% vs 24.7% wanalala na njaa. Kenya is number 87 kawati TZ ni 92. Sijaelewa labda.

My source: Global Hunger Index Scores by 2021 GHI Rank
You expected your friends to read the whole article? Unajua mimi huambia watu hapa, media ya Kenya iko na freedom ya kuexpose uozo uliopo nchini wakati ya Tanzania haina, jambo hili hufanya Watanzania wengine waone wana nafuu kuliko Kenya. Media ya Tanzania ikiwa na freedom mnaweza jihurumia.🤣
 
You expected your friends to read the whole article? Unajua mimi huambia watu hapa, media ya Kenya iko na freedom ya kuexpose uozo uliopo nchini wakati ya Tanzania haina, jambo hili hufanya Watanzania wengine waone wana nafuu kuliko Kenya. Media ya Tanzania ikiwa na freedom mnaweza jihurumia.🤣

Hawa ni wakuonewa huruma, hebu waza sasa hivi TANESCO inajiandaa kuwapiga mgao nchi yote kwa siku 12, yaani like seriously 12 days, nchi nzima, hata sio baadhi ya mitaa, halafu hawa ndio hujitutumua waonekane wanashindana na Kenya.
Labda miaka ingine ishirini ndio wafikie hapa tulipo leo, na sisi tutakua tumeenda mbali.

img-20220129-wa0001-jpg.2099031
 
  • The report ranks Kenya at position 87 out of the 116 countries that were considered globally.
  • 23% of Kenyans go to sleep on an empty stomach, according to the report.
  • More than 650,000 children under five years require treatment for malnutrition.

Kenya is ranked the 30th hungriest nation among 116 countries in the 2021 Global Hunger Index report.

The report ranks Kenya at position 87 out of the 116 countries that were considered globally.

23% of Kenyans go to sleep on an empty stomach, according to the report, and more than 650,000 children under five years require treatment for malnutrition.

Somalia is the worst hit nation overall with 50% of its citizens facing starvation; they’re followed by Burundi, Comoros, South Sudan and Syria with between 35-49.9%.

Among the factors that contributed to the high number of people who cannot access proper meals are: the COVID-19 pandemic, climate change and conflicts.

According to the report, if the current situation is anything to go by, the progress toward zero hunger by 2030 globally will not be achieved.
I don't know what your intentions were.your Source ranks Tz at 92


Screenshot_2022-01-29-08-24-23-00.jpg
 
Bro nitaendelea kukuambia ujifunze kiingereza mara ngapi na mpaka lini??
Hivi unaelewa maana ya hii. Umeelewa maana na hizi para kwenye ile article?


"Tanzania has topped world rankings for its improved food security over the last decade, defying the double impact of climate change and Covid-19 that continues to wreak havoc on global food systems.''

''The East African country grew its score by 13.3 points, the highest among the world’s 10 most-improved nations over the period, shows the Global Food Security Index, compiled by the Economist Intelligence Unit, on behalf of Corteva Agriscience."
Let's focus on the report the OP posted, not blogs.😄😄
 
Back
Top Bottom