Tuiombee China lasivyo uchumi wetu utayumba

LICHADI

JF-Expert Member
Feb 4, 2015
4,134
11,127
Kwa mujibu wa Millard Ayo:

Idadi ya waliofariki kutokana na Virusi vya Corona China imeongezeka na kufikia Watu 2004, uwezekano wa vifo kuongezeka ni mkubwa, walioathirika na virusi hivyo mpaka sasa ni 74,185 hii ni kwa China pekee, wagonjwa 11,977 wako mahututi, wagonjwa waliotibiwa Hospitali na kuruhusiwa wameongezeka na kufikia 14,376.

Habari zilizothibitishwa pia ni kuwa biashara nyingi na viwanda vingi vimefungwa nchini china, uzalishaji wa bidhaa nyingi umesimama kwa ajili ya kuzuia kuenea kwa huu ugonjwa, China imeanza kuanguka kiuchumi kwa mujibu wa ripoti zao wao wenyewe

Bidhaa nyingi Tanzania na wafanyabiashara wengi wa Tanzania wanategemea soko la China kununua bidhaa zao sababu ni bei nafuu, china ikiendelea kuathirika tutegemee hata hapa nchini biashara nyingi zinaweza kuathirika au kufa sababu ya kukosa bidhaa zinazotoka China

Sent using Jamii Forums mobile app
 
kwa mujibu wa millard ayo

Idadi ya waliofariki kutokana na virusi vya corona China imeongezeka na kufikia Watu 2004, uwezekano wa vifo kuongezeka ni mkubwa, walioathirika na virusi hivyo mpaka sasa ni 74,185 hii ni kwa China pekee, wagonjwa 11,977 wako mahututi, wagonjwa waliotibiwa Hospitali na kuruhusiwa wameongezeka na kufikia 14,376
#MillardAyoUPDATES

Habari zilizothibitishwa pia ni kuwa biashara nyingi na viwanda vingi vimefungwa nchini china, uzalishaji wa bidhaa nyingi umesimama kwa ajili ya kuzuia kuenea kwa huu ugonjwa, china imeanza kuanguka kiuchumi kwa mujibu wa ripoti zao wao wenyewe

Bidhaa nyingi Tanzania na wafanya biashara wengi wa Tanzania wanategemea soko la china kununua bidhaa zao sababu ni bei nafuu, china ikiendelea kuathirika tutegemee hata hapa nchini biashara nyingi zinaweza kuathirika au kufa sababu ya kukosa bidhaa zinazotoka china



Sent using Jamii Forums mobile app
wauza simu wenyewe wameshaanza kuyaona mambo yakiwaendea kombo, hali si shwari kabisa
 
Waisrael washawaombea Yatosha... Nyie wenye Dhambi tulieni mshapata Wokovu.

Rabbis call for mass Western Wall prayer for coronavirus patients
‘The job of the Jewish people is to pray for the good of the entire world,’ says Safed chief rabbi, as overall death toll from China’s epidemic jumps to 1,665
By TOI STAFF and AGENCIES16 February 2020, 12:52 pm 4
Tens of thousands pray for forgivness (Selichot), at the Western Wall in the Old City of Jerusalem on early on September 27, 2019. (Mendy Hechtman/Flash90)
Tens of thousands pray for forgivness (Selichot), at the Western Wall in the Old City of Jerusalem on early on September 27, 2019. (Mendy Hechtman/Flash90)
Prominent national-religious rabbi Shmuel Eliyahu has called for Israelis to join him at the Western Wall on Sunday afternoon for a mass prayer rally on behalf of those infected with the coronavirus.
Eliyahu, the head of the Community Rabbinical Association and chief rabbi of Safed, is organizing the gathering together with the Israeli branch of the Orthodox Union, an American Modern Orthodox synagogue network.
 
kwa mujibu wa millard ayo

Idadi ya waliofariki kutokana na virusi vya corona China imeongezeka na kufikia Watu 2004, uwezekano wa vifo kuongezeka ni mkubwa, walioathirika na virusi hivyo mpaka sasa ni 74,185 hii ni kwa China pekee, wagonjwa 11,977 wako mahututi, wagonjwa waliotibiwa Hospitali na kuruhusiwa wameongezeka na kufikia 14,376
#MillardAyoUPDATES

Habari zilizothibitishwa pia ni kuwa biashara nyingi na viwanda vingi vimefungwa nchini china, uzalishaji wa bidhaa nyingi umesimama kwa ajili ya kuzuia kuenea kwa huu ugonjwa, china imeanza kuanguka kiuchumi kwa mujibu wa ripoti zao wao wenyewe

Bidhaa nyingi Tanzania na wafanya biashara wengi wa Tanzania wanategemea soko la china kununua bidhaa zao sababu ni bei nafuu, china ikiendelea kuathirika tutegemee hata hapa nchini biashara nyingi zinaweza kuathirika au kufa sababu ya kukosa bidhaa zinazotoka china



Sent using Jamii Forums mobile app
Utayumba wapi wakat serekal yetu yenyewe pesa kwanza afya ZETU baadae mana nasikia Kuna wachina wapo wanakuja tz et kutalii wachina Zaid ya Mia 30 na tanzania itaingiza 2bilion sijui hivi jaman urus imeziwia wachina wasiingie kwao kuanzia kesho sis ni Nan ambao hatuna hofu na gonjwa hili hiv viongozi wetu wanafikiria hili kwel ivi korona ikija tz unafikir Kuna atakae bakia hata mmoja mungu wafungue macho viongozi wetu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
kwa mujibu wa millard ayo

Idadi ya waliofariki kutokana na virusi vya corona China imeongezeka na kufikia Watu 2004, uwezekano wa vifo kuongezeka ni mkubwa, walioathirika na virusi hivyo mpaka sasa ni 74,185 hii ni kwa China pekee, wagonjwa 11,977 wako mahututi, wagonjwa waliotibiwa Hospitali na kuruhusiwa wameongezeka na kufikia 14,376
#MillardAyoUPDATES

Habari zilizothibitishwa pia ni kuwa biashara nyingi na viwanda vingi vimefungwa nchini china, uzalishaji wa bidhaa nyingi umesimama kwa ajili ya kuzuia kuenea kwa huu ugonjwa, china imeanza kuanguka kiuchumi kwa mujibu wa ripoti zao wao wenyewe

Bidhaa nyingi Tanzania na wafanya biashara wengi wa Tanzania wanategemea soko la china kununua bidhaa zao sababu ni bei nafuu, china ikiendelea kuathirika tutegemee hata hapa nchini biashara nyingi zinaweza kuathirika au kufa sababu ya kukosa bidhaa zinazotoka china



Sent using Jamii Forums mobile app

Kama sio 70% basi 100% ya wananchi wa tanzania wanategemea bidhaa zao pamoja na Japan. Wanaotumia bidhaa za mabeberu ni wachache sana


In short tutaumia sana,,,Mungu awaondolee na awaponye wote walioathirika
 
Bora kabisa China ianguke kabisa kiuchumi..
China ndiye muuaji mkubwa wa democracy Africa, ndiye mfadhiri mkuu marais wa dizaini ya akina mabotu wa Tanzania.
Bila China TL asingelipigwa Risali za kuuliza tembo.

*Fake you Chine*... MAMAEEEEEEE

Sent using Jamii Forums mobile app



Ni Chuki na roho mbaya zinakusumbua kijana,,,au nimekosea?? Lau wangelikuwa mabeberu wanaokutambua SOKWE wamepata janga hilo usingethubutu kuongea huo ujinga,,,


"Bila China TL asingelipigwa Risali za kuuliza tembo." 😂😂😂 waswahili tunapenda sana kutumia huu msemo baada ya tukio "ingelikuwa, Tungelikuwa, wangelikuwa, angelikuwa" aisee 😂😂😂
 
Usicheze na Mmarekani,naona mimacho Kabudi na jiwe wake wanavyowaponda Mabeberu ,wajiangalie wasije wakatuletea kirusi kingine, huu UKIMWI tu ni balaa kwetu je wakileta vingine,Wee jiwe na profesa wako majalala kabudi mmeshindwa kuongoza Nchi na kuleta democracy kaeni pembeni hao mabwana zenu China washapigwa pigo takatifu na mabeberu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Idadi itakapofika 10,000,,then itakuwa imeshathibitika wameshindwa ku ucontrol,,,run for the hills then
 
Bro sijui nikutukane this gani ili moyo wangu utulie
Bora kabisa China ianguke kabisa kiuchumi..
China ndiye muuaji mkubwa wa democracy Africa, ndiye mfadhiri mkuu marais wa dizaini ya akina mabotu wa Tanzania.
Bila China TL asingelipigwa Risali za kuuliza tembo.

*Fake you Chine*... MAMAEEEEEEE

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni Chuki na roho mbaya zinakusumbua kijana,,,au nimekosea?? Lau wangelikuwa mabeberu wanaokutambua SOKWE wamepata janga hilo usingethubutu kuongea huo ujinga,,,


"Bila China TL asingelipigwa Risali za kuuliza tembo." waswahili tunapenda sana kutumia huu msemo baada ya tukio "ingelikuwa, Tungelikuwa, wangelikuwa, angelikuwa" aisee
Mkuu kama neno SOKWE linakupa kichefu chefu, leo hii usingelikuwa Religion fanatic, ungelikuwa mtu dizaini ya Kiranga.
nasema hivyo kwasababu aliyekuletea dini Katumia maneno makali zaidi dhidi ya mtu mweusi kuliko huyo anae kuita nyani.
ubaguzi huo sio kwamba hauoni, unauona ila ili kujifariji umeutungia tafsiri tamu ili ufit kwenye mindset yako.
Nb:
ubaguzi ni asili ya mwanadamu.
hata mimi na wewe pia ni wabaguzi.
kuna kabila fulani ngozi nyeusi tii ila waliwabagua wenzao kwa kuwaita Mende.



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Usicheze na Mmarekani,naona mimacho Kabudi na jiwe wake wanavyowaponda Mabeberu ,wajiangalie wasije wakatuletea kirusi kingine, huu UKIMWI tu ni balaa kwetu je wakileta vingine,Wee jiwe na profesa wako majalala kabudi mmeshindwa kuongoza Nchi na kuleta democracy kaeni pembeni hao mabwana zenu China washapigwa pigo takatifu na mabeberu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kama hujui historia ya magonjwa kuwahi kutokea duniani bora ukae kimya, hao wamarekani wenyewe 2009 walikufa kama kuku zaidi ya watu 12,000 virusi vya H1N1(Swine flu), kufikia October 24, 2009 OBAMA declared national emergency..tema mate kabla ya kushabikia ujinga

Kwa kukusaidia tu mwaka 1918 hadi 1920 Spanish flu ulichukua uhai wa watu zaidi ya milioni 40 duniani. Hiyo ndo Swine flu iliyojitokeza Mexico na baadae USA Mwaka 2009 na kuchukua uhai wa watu zaidi ya kumi na mbili elfu.

NB: Fanya udadisi kabla ya kuropoka.
 
Bro sijui nikutukane this gani ili moyo wangu utulie

Sent using Jamii Forums mobile app
Fanya kile moyo wako umekusudia.
Nb:
now nipo somewhere nagonga cha baridiiii, kuna Baharia kajikwa kwa bahati mbaya kwenye mguu wangu, akaanza kuniporomoshea matusi, mi nimeuchuna tu, then akanyamaza, ghafra nikampiga mzinga mkubwa wa konyagi, akabaki aamini amini kwa matusi aliyonimwagia,nimewambia waitress ampe Redblue apozee mzinga.
mi matusi uwa nayachukulia kama mashahiri ya mtu mwenye...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom