Totos Boss
JF-Expert Member
- Dec 30, 2012
- 5,456
- 1,565
Wana jamvi tumebakisha Sikh kadhaa kuuaga mwaka 2016. Ikiwa una jambo la firaha au huzuni lililokufika 2016 tuwekee hapa. Liwe la kwako binafsi.
1).05/04/2016 nimepata mtoto wa pili wa kuime hadi sasa anaendelea vizuri.
1).05/04/2016 nimepata mtoto wa pili wa kuime hadi sasa anaendelea vizuri.