Tuijadili NSSF na hatma ya fao la kujitoa

kabingo

Senior Member
Oct 16, 2015
115
118
Binafsi naomba tamko la mkuu wa nchii hii kuhusu hii mifuko ya hifadhi ya jamii maana sasa imekuwa ni taabu tupu.
Mara ya kwanza NSSF mlikubali mwanachama anaweza kufungua madai ya kujitoa baada ya kumaliza miezi sita baada ya kuachishwa au kufukuzwa kazi, pamoja na hayo mwanachama alipewa miezi miwili tena ya kuhakikiwa wenyewe wanasema ni kumchunguza mwanachama,ukijumlisha na miezi sita inakuwa miezi nane.

Hivi kweli kama sio kutaka kujineemesha kwa pesa ya wanachama ni nini? Kituko wamekuja na kali ya mwaka mpya, NSSF nadiriki kusema huu mpango mliokuja nao ni wizi wa mchana,
Nakumbuka mwezi wa kumi namoja mwaka jana nilikwenda kufungua madai ya mafao yangu baada ya kumaliza miezi sita tena nikajiongezea miezi mitatu nikaambiwa nirudi mwezi wa kwanza nimekwenda leo nikaambiwa wameongeza mda wa uchunguzi miezi miwili haitoshi niache jina na namba ya simu watanipigia wakishajiridhisha kuwa sijapata kazi tena, nikawauliza uchunguzi wenu unatumia mda gani?

Yule dada wa huduma kwa wateja akasema hawajajua ni kwa mda gani.Naomba wadau tujiulize ndo ile ya kuchukua mafao hadi miaka sitini au inakuwaje. Mkuu wa kaya pamoja na mkuu washirika tunaomba majibu.
 
Binafsi naomba tamko la mkuu wa nchii hii kuhusu hii mifuko ya hifadhi ya jamii maana sasa imekuwa ni taabu tupu. Mara ya kwanza NSSF mlikubali mwanachama anaweza kufungua madai ya kujitoa baada ya kumaliza miezi sita baada ya kuachishwa au kufukuzwa kazi, pamoja na hayo mwanachama alipewa miezi miwili tena ya kuhakikiwa wenyewe wanasema ni kumchunguza mwanachama,ukijumlisha na miezi sita inakuwa miezi nane. Hivi kweli kama sio kutaka kujineemesha kwa pesa ya wanachama ni nini? Kituko wamekuja na kali ya mwaka mpya, NSSF nadiriki kusema huu mpango mliokuja nao ni wizi wa mchana,nakumbuka mwezi wa kumi namoja mwaka jana nilikwenda kufungua madai ya mafao yangu baada ya kumaliza miezi sita tena nikajiongezea miezi mitatu nikaambiwa nirudi mwezi wa kwanza nimekwenda leo nikaambiwa wameongeza mda wa uchunguzi miezi miwili haitoshi niache jina na namba ya simu watanipigia wakishajiridhisha kuwa sijapata kazi tena, nikawauliza uchunguzi wenu unatumia mda gani? Yule dada wa huduma kwa wateja akasema hawajajua ni kwa mda gani.Naomba wadau tujiulize ndo ile ya kuchukua mafao hadi miaka sitini au inakuwaje. Mkuu wa kaya pamoja na mkuu washirika tunaomba majibu.
Huu utawala unavyoendesha mambo yake unajua wenyewe, sisi tuwe wapole tu mpaka ufike wakati wa uchaguzi ili turekebishe kosa letu
 
Mkuu inabidi twende wrote tukawapigie kelele pale ofisini maana hata Mimi niliacha kazi mwezi was NNE mpak Leo bado hata sijaitwa na nilishaandika barua ya kujitoa,,
 
Mkuu inabidi twende wrote tukawapigie kelele pale ofisini maana hata Mimi niliacha kazi mwezi was NNE mpak Leo bado hata sijaitwa na nilishaandika barua ya kujitoa,,
Wametuona vilaza kweli mi naona tuorganize twende kwa pamoja hawa jamaaa wanatufanya kama watoto wadogo vile
 
Peleka mapendekezo ya mabadiliko ya sheria kwa waziri mwenye dhamana ya mifuko ya jamii, ukiona unachelewa nenda mahakamani fungua kesi kuomba vifungu vinavyozuia vitangazwe kuwa vina kinzana na katiba. Tunaweza kujadili hapa mpaka mwokozi (Yesu) anarudi tena anatukuta tunajadili na bado tusipate suluhisho.
 
Nakumbuka mwezi wa kumi namoja mwaka jana nilikwenda kufungua madai ya mafao yangu baada ya kumaliza miezi sita tena nikajiongezea miezi mitatu nikaambiwa nirudi mwezi wa kwanza nimekwenda leo nikaambiwa wameongeza mda wa uchunguzi miezi miwili haitoshi niache jina na namba ya simu watanipigia wakishajiridhisha kuwa sijapata kazi tena, nikawauliza uchunguzi wenu unatumia mda gani?

Yule dada wa huduma kwa wateja akasema hawajajua ni kwa mda gani.Naomba wadau tujiulize ndo ile ya kuchukua mafao hadi miaka sitini au inakuwaje. Mkuu wa kaya pamoja na mkuu washirika tunaomba majibu.

Si waajiri wote wanapeleka majina ya wafanyakazi ?
Kama hawajaliona lako toka mwajiri wengine maana yake hujaajiriwa .sasa uchunguzi zaidi ya miezi sita ! Mambo ya kusoma namba haya!
Kidumu chama cha mapinduzi!
 
Hafadhali nssf ndugu zangu.niko Zanzibar mwaka wa 7.nilijaribu kufatilia pesa zangu za mafao(zssf) baada ya kuacha kazi kampuni flani ila nilichoambulia ni aibu.nikapewa ka kipeperushi kanachoanisha naweza kuchukua mafao yangu pale nitakapofikisha miaka 60 ama nikiugua maradhi kama ukimwi.sina hamu nao.


Pia najiuliza kama nikitaka kuhamia bongo kwenye kampuni nyingine mafao yangu yataingizwa kwenye mfuko wa zssf ama itabidi nijiunge na mfuko wa nssf?kwa wenye utaalamu tujuzane
 
yaani mnanikatisha tamaa miaka yote niliyofanya kazi halafu wanizungushe nitahamia kwenye ofisi zao na ukoo wangu wote wakati hela tunakatwa on time ila kudai mafao yetu ndo wanatuzungusha, Mkuu usijali ikibidi tuandamaneni tu kama wanavyuo wanavyodai mikopo.
 
Dah mi nasubiri mwezi wa pili ndio miezi 6 itakua imeisha nahisi hapa ndio mmenivuruga kabisa
Wala usiwe na tegemeo kuipata hiyo pesa kwa mwaka huu maana utaambiwa acha namba ya simu na jina lako tutakupigia simu lini haijulikani. Utarudi hapa kuniambia.
 
Mlipochagua wabunge wengi kutoka chama tawala mlidhani haina madhara???
Wanapitisha kila kinacholetwa na serikali yao, vumilieni tu kama nilivyovumilia mm
 
yani mleta mada umenitonesha. Am waiting for a right time and at the right place navaa bomu nakujichanganya nao. MAAANINA
Ndugu imeshakula kwako mwenzio toka mwezi wa nne mwaka jana leo naambiwa mbado wachunguze Kama nimepata ajira sehamu nyingine wakikuta nina ajira nachukuliwa hatua za kisheria,kana kwamba kuna pesa niliyokuwa nakatwa kwenye mshahara wangu tulikuwa tunafanya nao kazi.
 
Tangu nilipokuwa nanyanyaswa kupata mkopo chuoni.. Nilijiapiza sitakuja kukumpenda kiongozi yeyote anaenifanya nisononeke awe mzima awe mfu....

Hili la mafao linanipa majonzi tena....
 
Back
Top Bottom