radika
JF-Expert Member
- Jul 15, 2014
- 20,427
- 32,196
"Nawaomba wanachi wa Jimbo la Ismani kumwombea Rais wetu Dkt. @MagufuliJP, anafanya mambo mengi ambayo marais wengine wameshindwa, hakuna rais mwenye uwezo wa kujizuia na tamaa ya mali za serikali,kama Dkt. Magufuli" Mh. William Lukuvi, Mbunge wa Jimbo la Isman na Waziri wa Ardhi
Maoni yangu binafsi
Nimeona hiyo kauli ina ukakasi kwamba maraisi waliopita wao hawakujizuia na tamaa zao upande wa mali za umma mwisho wa siku watu watahoji kwa nini hawakanatwi wakati walikuwa wakijichotea mali za umma?
Chanzo: Dar mpya.
Maoni yangu binafsi
Nimeona hiyo kauli ina ukakasi kwamba maraisi waliopita wao hawakujizuia na tamaa zao upande wa mali za umma mwisho wa siku watu watahoji kwa nini hawakanatwi wakati walikuwa wakijichotea mali za umma?
Chanzo: Dar mpya.