Tuige mfano Kenya kuhusu Tume Huru ya Uchaguzi

Koryo2

JF-Expert Member
Nov 28, 2016
2,056
2,515
Leo nimebahatika kuona usaili wa wanaoomba kuwa MWENYEKITI wa Tume huru ya Uchaguzi yaani SEARCH FOR IEBC CHAIR.

Mimi binafsi ninawapongeza sana jinsi usaili unavyofanyika kwa uwazi, weledi na wananchi wote wanashuhudia Live (Mushabara).

Wagombea kweli ni wasomi sana katka nyanja mbalimbali na wanaulizwa maswali yanayohusu maisha yao, majuumu yao pindi akichaguliwa.

Ni wakati muafaka tukawaiga wenzetu wa Kenya katika vyeo vnavyogusa maisha ya wananchi kuliko uteuzi. Bado usaili unaendelea.

Mtu anayetaka kufuatilia usaili huo atazame channel ya Citizen na aone mambo yanavyofanyika kwa uwazi bila upendeleo wowote.
 
Leo nimebahatika kuona usaili wa wanaoomba kuwa MWENYEKITI wa Tume huru ya Uchaguzi yaani SEARCH FOR IEBC CHAIR. Mimi binafsi ninawapongeza sana jinsi usaili unavyofanyika kwa uwazi, weledi na wananchi wote wanashuhudia Live (Mushabara). Wagombea kweli ni wasomi sana katka nyanja mbalimbali na wanaulizwa maswali yanayohusu maisha yao, majuumu yao pindi akichaguliwa. Ni wakati muafaka tukawaiga wenzetu wa Kenya katika vyeo vnavyogusa maisha ya wananchi kuliko uteuzi. Bado usaili unaendelea. Mtu anayetaka kufuatilia usaili huo atazame channel ya Citizen na aone mambo yanavyofanyika kwa uwazi bila upendeleo wowote.
NINI NA WAPI NA NANI? Nchi ya viwanda unaleta IEBC!
 
Leo nimebahatika kuona usaili wa wanaoomba kuwa MWENYEKITI wa Tume huru ya Uchaguzi yaani SEARCH FOR IEBC CHAIR. Mimi binafsi ninawapongeza sana jinsi usaili unavyofanyika kwa uwazi, weledi na wananchi wote wanashuhudia Live (Mushabara). Wagombea kweli ni wasomi sana katka nyanja mbalimbali na wanaulizwa maswali yanayohusu maisha yao, majuumu yao pindi akichaguliwa. Ni wakati muafaka tukawaiga wenzetu wa Kenya katika vyeo vnavyogusa maisha ya wananchi kuliko uteuzi. Bado usaili unaendelea. Mtu anayetaka kufuatilia usaili huo atazame channel ya Citizen na aone mambo yanavyofanyika kwa uwazi bila upendeleo wowote.
Kenya kuna ukabila huo mfumo wa uwazi umewekwa ili kumdhibiti Kenyatta asijaze wakikuyu wenzie nafasi zote kubwa
 
Katiba ya Warioba inahusu kama ile nyingine tukiijua ife na mwenye nayo after all hata marehemu waliipigia
 
Leo nimebahatika kuona usaili wa wanaoomba kuwa MWENYEKITI wa Tume huru ya Uchaguzi yaani SEARCH FOR IEBC CHAIR. Mimi binafsi ninawapongeza sana jinsi usaili unavyofanyika kwa uwazi, weledi na wananchi wote wanashuhudia Live (Mushabara). Wagombea kweli ni wasomi sana katka nyanja mbalimbali na wanaulizwa maswali yanayohusu maisha yao, majuumu yao pindi akichaguliwa. Ni wakati muafaka tukawaiga wenzetu wa Kenya katika vyeo vnavyogusa maisha ya wananchi kuliko uteuzi. Bado usaili unaendelea. Mtu anayetaka kufuatilia usaili huo atazame channel ya Citizen na aone mambo yanavyofanyika kwa uwazi bila upendeleo wowote.
Tume Huru kwa faida ya nani? Yaani Wapinzani wakafanye majaribio ya Utawala Ikulu? Kwa uzoefu gani walionao!! Hatutaki kurejea nyuma miaka 50 iliyopita!!
 
Kenya kuna ukabila huo mfumo wa uwazi umewekwa ili kumdhibiti Kenyatta asijaze wakikuyu wenzie nafasi zote kubwa

Tume Huru kwa faida ya nani? Yaani Wapinzani wakafanye majaribio ya Utawala Ikulu? Kwa uzoefu gani walionao!! Hatutaki kurejea nyuma miaka 50 iliyopita!!
1.Kwetu hapa ndio kuna ukabila na undugunaizesheni usiohojiwa na ukihoji unaperekwa Segerea/Butimba. Kwa nini mnyamazishe watu kwa kuwatisha na kesi uchwara ?!
2. Wapinzani ni WaTz wana haki na nchi yao na kama msivyowakubali ndivyo na wao wasivyowakubali hivyo wananchi waachwe waamue juu ya mustakbali wa nchi . Siyo chama kimoja kilichokwishafika mwisho wa kufikiri kuachiwa kuamua mustakbali wa taifa.

Tume huru itakuja once WaTz wakijua their Wright's lakini kwa sasa katiba iliyopo imekaa vibaya. Imemfanya Rais kuwa kila kitu.
 
Kenya kuna ukabila huo mfumo wa uwazi umewekwa ili kumdhibiti Kenyatta asijaze wakikuyu wenzie nafasi zote kubwa
Hiyo ni sababu ndogo sana na nilazima imetoka kwa mtu mdogo sana kuna watu huwa ni mahodari sana kupindisha uhalisia na ukweli lakin ni wajinga sana kujenga hoja zenye uhalisia na ukweli ndani yake KWELI MMEBARIKIWA !
 
Tume Huru kwa faida ya nani? Yaani Wapinzani wakafanye majaribio ya Utawala Ikulu? Kwa uzoefu gani walionao!! Hatutaki kurejea nyuma miaka 50 iliyopita!!
Awamu hii mnaongea kwa uwazi kabisa kuhusu namna mnavyoikandamiza demokrasia kwa sababu ya faru yule.

No wonder mwana sisiem anaulizia tume huru kwa faida ya nani..
 
1.Kwetu hapa ndio kuna ukabila na undugunaizesheni usiohojiwa na ukihoji unaperekwa Segerea/Butimba. Kwa nini mnyamazishe watu kwa kuwatisha na kesi uchwara ?!
2. Wapinzani ni WaTz wana haki na nchi yao na kama msivyowakubali ndivyo na wao wasivyowakubali hivyo wananchi waachwe waamue juu ya mustakbali wa nchi . Siyo chama kimoja kilichokwishafika mwisho wa kufikiri kuachiwa kuamua mustakbali wa taifa.

Tume huru itakuja once WaTz wakijua their Wright's lakini kwa sasa katiba iliyopo imekaa vibaya. Imemfanya Rais kuwa kila kitu.
Ndugu kiswahili ni kizuri tu mkuu na kina msamiati ambao upo kabisaa na ambao ungeuweka hapo ulipo andika WRIGHT'S na kuleta maana sahihi kabisa ulio kusudia ,
 
Ndugu kiswahili ni kizuri tu mkuu na kina msamiati ambao upo kabisaa na ambao ungeuweka hapo ulipo andika WRIGHT'S na kuleta maana sahihi kabisa ulio kusudia ,
Hilo neno moja limeondoa maana nzima ya andiko langu au unakwepa nini mkuu ?!
 
Narudia tena kusema, hata mim ningekuwa mtawala yani kwa kelele zenu eti niweke tume huru. Go back and think hard unibane nishindwe kabisa ndiyo ntaweka tume huru, yani nijimalize mwenyewe!!!
 
Back
Top Bottom