Tuige Kenya kwenye hili ili kurejesha imani kwa mahakama zetu

YanguHaki

Senior Member
Oct 11, 2010
129
9
Mara kwa mara navutiwa na jinsi majirani zetu Kenya wanavyoendesha mambo yao ya utawala hasa baada ya kupitishwa katiba mpya. Kwa sasa kuna zoezi linaloendelea la kuwachuja yaani "kuwa-vet" majaji 44 na mahakimu zaidi ya 300 wa mahakama za Kenya.
Leo hii nimekuwa nafuatilia kwa karibu jinsi wanavyomfanyia "vetting" mwanamama jaji Koome wa mahakama ya kuu.
Kwa nini nasi tusiige mazuri haya hapa nchini kwani kwa hali ninayoiona mahakama zetu haziminiaki mbele ya umma. Mchujo wa majaji utatuhakikishia tuna watu wanaofaa na kustahili kusimamia utoaji na usimamizi wa haki mahakamani. Kuna hisia za wazi kwamba zipo "pro-government" na haziko kamwe huru.
Wakati umefika tuachane na uteuzi usiowazi wa majaji tulionao kwa sasa. Nashangaa mtu alikuwa wakili kwa muda mrefu kesho anakuwa jaji! Au ni msomi wa sheria tu anateuliwa jaji! Hii si sawa kwa maoni yangu majaji watokane na mahakimu wazoefu wanaokidhi vigezo vya uteuzi. Hii itasaidia kuwa na majaji makini na wenye uzoefu pia.
Tuwe makini na hili vinginevyo mbele giza nene!
 
Haya ndiyo mawazo yanayotakiwa tunapojadili katiba mpya. Endapo maswala yote haya ya 'checks and balances' za mamlaka serikalini hazitaingizwa katika katiba mpya, tutajikuta tunatatizo kama lililopo Tanzania, pale ambapo Jaji mteule wa Rais anahitajika kutoa maamuzi yatakayoweza kuipunguzia hadhi serikali.
 
nasikia wengine wanaitwa voda fasta hapo unategemea itolewe hukumu ya aina gani?
 
JUSTICE MAKONGORO MAHANGA HAD LONG DELIVERED JUDGMENT OF 'A WIN' IN HIS OWN CASE ABOUT A FORTNIGHT AGO 'AND IT IS STILL JUSTICE FOR ALL THE MAGOGONI STYLE' ANYWAY
... Freedom is coming soon to the explicit independence of our Judiciary soon after a regime change through democratic means.

So far so good, never cry your souls out over all these because sooner than later this fradulent CCM government is going to be a minority back-bencher political party in our legislative council Dodoma hivyo walalahoi kila mmoja tukajipe pole kwa aibu zote hizi z Magogoni kugeuka mahakama.

The Plantiff Makongoro Mahanga KNEW WHAT HE WAS SAYING that time that he most deliberately and emphatically chose to prepare the nation to 'CELEBRATE' his Magogoni premeditate court judgement come May 02, 2012. Mahanga read us a judgement in his own case as early as April 23, 2012 and today it all came to pass the same way he had vividly put it.

Mahanga, we are truely celebrating now as you ha long advised. And tha is equally another BRAND OF AFRICA JUSTICE anyway; hakuna matata zaidi ya adhabu ya kufa mtu dhidi ya CCM kupitia kura zetu 2015!!!


Mara kwa mara navutiwa na jinsi majirani zetu Kenya wanavyoendesha mambo yao ya utawala hasa baada ya kupitishwa katiba mpya.

Kwa sasa kuna zoezi linaloendelea la kuwachuja yaani "kuwa-vet" majaji 44 na mahakimu zaidi ya 300 wa mahakama za Kenya.

Leo hii nimekuwa nafuatilia kwa karibu jinsi wanavyomfanyia "vetting" jaji mwanamama Koome wa mahakama ya kuu.

Kwa nini nasi tusiige mazuri haya hapa nchini kwani kwa hali ninayoiona mahakama zetu haziminiaki mbele ya umma.

Mchujo wa majaji utatuhakikishia tuna watu wanaofaa na kustahili kusimamia utoaji na usimamizi wa hak,i mahakamani. Kuna hisia za wazi kwamba zipo "pro-government" na haziko kamwe huru.

Wakati umefika tuachane na uteuzi usiowazi majaji tulionao kwa sasa. Nashangaa mtu alikuwa wakili kwa muda mrefu kesho anakuwa jaji! Au tu ni msomi wa sheria tu anateuliwa jaji!

Hii si sawa kwa maoni yangu majaji watokane na mahakimu wazoefu wanaokidhi vigezo vya uteuzi. Hii itasaidia kuwa na majaji makini na wenye uzoefu pia.

Tuwe makini na hili vinginevyo mbele giza nene!
 
Back
Top Bottom