MK254
JF-Expert Member
- May 11, 2013
- 31,751
- 48,400
redeemer
Hehehe! MaCCM huwa mnachekesha sana, huwa mna ktu tunaita ' cognitive dissonance', watu humu wakija na picha zinazoonyesha Watanzania wanavyoteseka kwa kukosa maji na pembeni waonyeshe ndege mnazonunua japo hazina faida, mnawatukana sana, ila hapa huchelewi kuonyesha picha ya darasa mbovu dhidi ya barabara ya kisasa itakaynufaisha pakubwa.
Hehehe! MaCCM huwa mnachekesha sana, huwa mna ktu tunaita ' cognitive dissonance', watu humu wakija na picha zinazoonyesha Watanzania wanavyoteseka kwa kukosa maji na pembeni waonyeshe ndege mnazonunua japo hazina faida, mnawatukana sana, ila hapa huchelewi kuonyesha picha ya darasa mbovu dhidi ya barabara ya kisasa itakaynufaisha pakubwa.