Jumakidogo
R I P
- Jul 16, 2009
- 1,851
- 417
Ikiwa watu wote ni sawa, basi tugawane ardhi ya nchi yetu ili kila mtu afe na kipande chake. Kilomita za mraba nchi nzima zinafika 945,087, Ukiamua kuzigawa kwa watu mil 40 kwa mfano. Kila mtu atapata mita za mraba 23.6. Japo ni kipande kidogo ni bora kitaandika historia ya kumiliki ardhi kuliko kukosa kabisa. Potelea mbali, kabla Bush hajaanza kuleta wana na wajukuu zake.