Waungwana watanielewa tu.
Kwakweli inawaumiza baadhi ya watoto kutomjua baba! Ila nashukuru watoto wengi hawaumii ktk hilo. Watoto wanapaswa kuwa na adabu ktk hili hata Kama inawaumiza! Na mbaya Sana ndugu wengine wanamtia mtoto ujinga eti hatendewi haki na mama yake. Wamama ambao wanashindwa kutambulisha baba huwa wamebeba Siri mzito inayomuumiza maisha yao yote hadi anaingia kaburini
Hebu zitafakari sinario zifuatazo:
1. Msichana mdogo anarubuniwa na baba yake, kaka yake, mjomba wake na anapata mimba anamzaa mtoto. Anawezaje kumueleza mwanae? Matukio haya Mara nyingi yanapelekea abortion. Mtoto akifanikiwa kuzaliwa kwenye mazingira haya, amshukuru Mungu!
2. Msichana ana matatizo ya akili, na wanaume washenzi wamemuingilia Kisha amezaa mtoto. Mwanamke mmoja mkarimu anamlea na kumwaminisha kuwa yeye ni mama mzazi
3. Mwanamke analiwa kimasihara safarini, matukio ambayo wahusika wamekutana kwa bahati mbaya na hawaonani tena. Mwisho wa siku mdada anajikuta mja mzito huko aendako.
4. Mdada anatembelea kwa shemeji yake mume wa ndoa wa dada yake, then mtu na shemu wanakula kimasihara. Mdada anarudi nyumbani anajikuta mja mzito
5. Mwanamke mgumba ameolewa Mara kadhaa na ameachika, mwisho wa siku haolewi Tena, Kisha anaamua kuasili mtoto yatima akiwa na makusudio aishi nae Kama mtoto aliyemzaa
6. Kuna wanaume washenzi ambao wanamiliki demu, na siku akiamua kuachana nae anawaita wavutabangi wenzake wanamwingilia kwa pamoja, wanamla na tigo kwa nguvu. Kumbe kwenye tukio hili anapata ujauzito
Yes, Kuna Mambo mengi ambayo mama zetu wametunza Siri zao. Hebu tuwapende mama zetu, tuwastahi, tuwavumilie. Wangeweza kutoa hizo mimba Ila maskini ya Mungu waliaminishwa kutoa mimba husababisha kifo wakaogopa!
Watoto tushukuru tu kuwa tumezaliwa! Tuache hoja ya kupambania haki eti mtoto ana haki ya kumjua mzazi wake. Baba aliyejitenga na mtoto ndiye anayemnyima mtoto haki ya kumtambua baba yake. Kosa hili asibebeshwe mama ambaye ametimiza wajibu wake wa kuzaa na anaendelea kutimiza wajibu wake wa malezi
Wanajamii tuwafundishe watoto kuwastahi mama zao. Tamthilia zenye maudhui ya kuwananga wamama waliohifadhi Siri zao, tuachane nazo
Kwakweli inawaumiza baadhi ya watoto kutomjua baba! Ila nashukuru watoto wengi hawaumii ktk hilo. Watoto wanapaswa kuwa na adabu ktk hili hata Kama inawaumiza! Na mbaya Sana ndugu wengine wanamtia mtoto ujinga eti hatendewi haki na mama yake. Wamama ambao wanashindwa kutambulisha baba huwa wamebeba Siri mzito inayomuumiza maisha yao yote hadi anaingia kaburini
Hebu zitafakari sinario zifuatazo:
1. Msichana mdogo anarubuniwa na baba yake, kaka yake, mjomba wake na anapata mimba anamzaa mtoto. Anawezaje kumueleza mwanae? Matukio haya Mara nyingi yanapelekea abortion. Mtoto akifanikiwa kuzaliwa kwenye mazingira haya, amshukuru Mungu!
2. Msichana ana matatizo ya akili, na wanaume washenzi wamemuingilia Kisha amezaa mtoto. Mwanamke mmoja mkarimu anamlea na kumwaminisha kuwa yeye ni mama mzazi
3. Mwanamke analiwa kimasihara safarini, matukio ambayo wahusika wamekutana kwa bahati mbaya na hawaonani tena. Mwisho wa siku mdada anajikuta mja mzito huko aendako.
4. Mdada anatembelea kwa shemeji yake mume wa ndoa wa dada yake, then mtu na shemu wanakula kimasihara. Mdada anarudi nyumbani anajikuta mja mzito
5. Mwanamke mgumba ameolewa Mara kadhaa na ameachika, mwisho wa siku haolewi Tena, Kisha anaamua kuasili mtoto yatima akiwa na makusudio aishi nae Kama mtoto aliyemzaa
6. Kuna wanaume washenzi ambao wanamiliki demu, na siku akiamua kuachana nae anawaita wavutabangi wenzake wanamwingilia kwa pamoja, wanamla na tigo kwa nguvu. Kumbe kwenye tukio hili anapata ujauzito
Yes, Kuna Mambo mengi ambayo mama zetu wametunza Siri zao. Hebu tuwapende mama zetu, tuwastahi, tuwavumilie. Wangeweza kutoa hizo mimba Ila maskini ya Mungu waliaminishwa kutoa mimba husababisha kifo wakaogopa!
Watoto tushukuru tu kuwa tumezaliwa! Tuache hoja ya kupambania haki eti mtoto ana haki ya kumjua mzazi wake. Baba aliyejitenga na mtoto ndiye anayemnyima mtoto haki ya kumtambua baba yake. Kosa hili asibebeshwe mama ambaye ametimiza wajibu wake wa kuzaa na anaendelea kutimiza wajibu wake wa malezi
Wanajamii tuwafundishe watoto kuwastahi mama zao. Tamthilia zenye maudhui ya kuwananga wamama waliohifadhi Siri zao, tuachane nazo