Wakubwa,
Nimefanya mahesabu madogo sana kwa kuchagua idadi ya wasomaji wa latest tread inayohusu CHADEMA.
Thread niliyo-pick ni ile yenye heading "Dr.slaa live east africa tv leo saa moja jioni ". Hii imeanza saa 01:39 asubuhi na sasa hivi naandika post hii ni saa 08:10 usiku. Hadi muda huu imeweza kusomwa na watu 2,865.
Dr. Slaa siyo Rais na hivyo nime-assume weye hamu naye ni wapenzi wake. Mnaweza kuongeza assumptions nying tu ku-justify hilo lakini bado sidhani yangu na yenu ni legitimate justification. Ni estimates tu.
Kwa estimate hiyo nikasema kama 70% ya hawa wasomaji ni wapenzi wa CHADEMA wenye uwezo wa kusoma internet basi si dhambi nikimini wanaweza kujibana na kuichangia CHADEMA shs. 100,000 kila miezi sita hadi June 2015.
Na ikiwa hivyo basi hadi hiyo tarehe CHADEMA itakuwa imejikusanyia shs. 1,804,950,000.00 yaani zaidi ya Billioni moja na millioni mia nane. Bado kama asilimia 10 kufika billioni mbili kamili.
Hao ni wakereketwa toka JF tu, tena waliosoma ile thread moja tu ya asubuhi. Bado hujaweka wana-JF ambao wangependa kutoa zaidi. Bado pia hujawaweka kina Sabondo wa waziwazi wasioogopa na bado akina Sabondo wa sirisiri yaani wale amabo akili zao zimeshiba ile kauli "ukitaka biashara ikunyookee njoo CCM".
Mnakaonaje haka kawazo, jamani, kaboresheni kama kamepinda.
Mimi kuanzia January 2011 yaani miezi miwili ijayo naanza program hiyo. Nikiwa hai hadi June 2015 nitakuwa nimeichangia CHADEMA shs. 900,000.00 yaani laki tisa.
Zidumu fikra sahihi za demokrasia.
Nimefanya mahesabu madogo sana kwa kuchagua idadi ya wasomaji wa latest tread inayohusu CHADEMA.
Thread niliyo-pick ni ile yenye heading "Dr.slaa live east africa tv leo saa moja jioni ". Hii imeanza saa 01:39 asubuhi na sasa hivi naandika post hii ni saa 08:10 usiku. Hadi muda huu imeweza kusomwa na watu 2,865.
Dr. Slaa siyo Rais na hivyo nime-assume weye hamu naye ni wapenzi wake. Mnaweza kuongeza assumptions nying tu ku-justify hilo lakini bado sidhani yangu na yenu ni legitimate justification. Ni estimates tu.
Kwa estimate hiyo nikasema kama 70% ya hawa wasomaji ni wapenzi wa CHADEMA wenye uwezo wa kusoma internet basi si dhambi nikimini wanaweza kujibana na kuichangia CHADEMA shs. 100,000 kila miezi sita hadi June 2015.
Na ikiwa hivyo basi hadi hiyo tarehe CHADEMA itakuwa imejikusanyia shs. 1,804,950,000.00 yaani zaidi ya Billioni moja na millioni mia nane. Bado kama asilimia 10 kufika billioni mbili kamili.
Hao ni wakereketwa toka JF tu, tena waliosoma ile thread moja tu ya asubuhi. Bado hujaweka wana-JF ambao wangependa kutoa zaidi. Bado pia hujawaweka kina Sabondo wa waziwazi wasioogopa na bado akina Sabondo wa sirisiri yaani wale amabo akili zao zimeshiba ile kauli "ukitaka biashara ikunyookee njoo CCM".
Mnakaonaje haka kawazo, jamani, kaboresheni kama kamepinda.
Mimi kuanzia January 2011 yaani miezi miwili ijayo naanza program hiyo. Nikiwa hai hadi June 2015 nitakuwa nimeichangia CHADEMA shs. 900,000.00 yaani laki tisa.
Zidumu fikra sahihi za demokrasia.