Kinga kingdom
JF-Expert Member
- Jan 11, 2017
- 769
- 845
Kumbe lemuutuZ Upo?
nasikia unafirwaa ya kweli HAYO? lemutuzEXTRA STRAIGHT TALK:- Unaporusha rusha maneno ya kichochezi kuhusu kushambuliwa kwa Mh. Tundu Lissu bakisha maneno na tafuta Facts kwanza ....
naomba nikukumbushe kwa FACTS .....Mauaji ya Waisilamu Mwembe Chai Mwezi May, Mwaka 1998 Rais hakuwa Magufuli!....Wakati wafuasi wa CUF Pemba wanapigwa mabomu Mwaka 2001 January na kuuliwa wafuasi wao 20 Rais hakuwa Magufuli ....Mwaka 2002 September 2, Muandishi wa Habari Daudi Mwangosi alipouliwa na Bomu Iringa Rais hakuwa Magufuli! ....January 5, 2011 Wananchi 3 waliuawa kwa Risasi za Polisi Arusha kuthibiti maandamano yasiyokuwa na kibali vipi Rais hakuwa Magufuli! ....June 28, 2012 Dr. Ulimboka alitekwa na watu wasiojulikana akiwa Leaders Club anapata supu asubuhi Rais hakuwa Magufuli! ....Mwezi May, 2013 Muandishi wa Habari maarufu Absalom Kibanda alipotekwa na kupigwa vibaya Rais hakuwa Magufuli....na June/2008 Makamu wa Mwenyekiti Chadema aliyekuwa anataka kugombea Uenyekiti wa chama hicho na kuishia kufariki kwenye ajali ya ajabu Dodoma Rais hakuwa Magufuli ....October, 2013 Mwigamba alipopigwa mpaka kuzimia kwa kudai mahesabu ya Chadema Rais hakuwa Magufuli!
....please msijaribu kupandikiza chuki baina yetu wananchi tutaendelea kuwakumbusha kuwa hakuna ushahidi so far wa nani anahusika na kupigwa kwa Mh. Tundu Lissu ...wote tunamuombea apone haraka ila tutaendelea kupinga hukumu za bila Facts against Serikali ....kuhusu matibabu kwa utaratibu wa Serikali ili Mbunge akatibiwe nje ya nchi na kulipiwa na Serikali ni lazima ithibitishwe na Matabibu wa Hospitali ya Taifa Muhimbili kwamba WAMESHINDWA na jana ni FAMILIA YA LISSU ndiyo iliyodai kutaka Lissu akatibiwe nje na sio Madaktari wa Muhimbili kama utaratibu unavyotaka na sababu walisema wanahofia usalama wake ...now Serikali ya Rais Magufuli haina cha kufanya isipokuwa kuwaruhusu familia yake wafanye wanachotaka ....Thanks tutaendelea kuwekana sawa kwa FACTS kuhusu kinachoendelea na some of us tutaendelea kusimamia Ukweli tu ...kushambuliwa kwa Lissu hakumfanyi anyone kuwa na haki ya kuhukumu wengine bila FACTS Taifa ni letu wote so relax guys ...kama hamna FACTS nyamazeni iachieni Serikali ifanye kazi yake STOP THE MADNESS! - le Mutuz
Vipi jeshi la polisi imeshatoa mrejesho wa hatua waliyofikia katika uchunguzi wao (feedback) kuhusu "assassination attemp kwa Lissu"?EXTRA STRAIGHT TALK:- Unaporusha rusha maneno ya kichochezi kuhusu kushambuliwa kwa Mh. Tundu Lissu bakisha maneno na tafuta Facts kwanza ....
naomba nikukumbushe kwa FACTS .....Mauaji ya Waisilamu Mwembe Chai Mwezi May, Mwaka 1998 ...kama hamna FACTS nyamazeni iachieni Serikali ifanye kazi yake STOP THE MADNESS! - le Mutuz
eti Mwanaume, Mwanaume madochi- Ungejiuliza baba yako anajisikiaje kuwa na mtoto kama wewe mwanaume unayehangaika na maisha ya wanaume usiowajua kwenye mitandao na majina ya bandia? hahahahahaha jiangalie kwanza kuhusu baba yako na wewe kichwa koroma hahahaha
le Mutuz
nasikia wanampiga mashine kama wale wengine tu.Eh! Ama kweli nimeamini kumbe matusi yote unayotukanwa na kina Mange yanakustahili...
Yani polisi huwa wanaombwa kukamata wahalifu wakati ni kazi yao??!!
Whaaaaaaaaaaaaaatttt?!!!!!Yani unasema Umesikia William J.Cigwiyemisi Malecela anafirwa? I mean Mtoto wa Makamu wa kwanza wa Rais Mstaafu anapigwa pipe? Tuhuma nzito hii;nasikia unafirwaa ya kweli HAYO? lemutuz
mhalifu unamuuliza kama anakubali kama cdm wamehusika fikisha mahakamani tu lkn isiwe scapegoatChadema wenyewe kwani kanuni ya uchunguzi inaanzia kwa watu wa karibu wa aliyepata matatizo je chadema wako tayari kuchunguzwa wao kwanza?
He will neverThe "boy" will never grow up.
Kwani mwili huwa unaendana na akili?Huyu jamaa mwili wake hauendani na akili zake... Nikimuona ni kama nimeona kubwa jinga
Jitu zima akili za kitoto... anatakiwa awe analea wajukuu sasahiviKwani mwili huwa unaendana na akili?
Kazi ambayo hawataki ifanyaWale wale hawa...tuwaachie serikali ifanye kazi yake