Idugunde
JF-Expert Member
- May 21, 2020
- 6,273
- 6,637
Kama kweli chama makini lazima kiwe na watu makini basi Chadema ni chama mfu. Hakina watu makini kimejaza wapiga kelele wasiojitambua.
Mwenyekiti wao amepata tuhuma, tena tuhuma nzito. Wao kama wanajumuia wa Chadema tulitalajia watupe mrejesho kuwa Mbowe kama chairman na mfanyabiashara mahiri ahusiki na kuprovide fund ili kudhamini ugaidi.
Wanachadema wamebaki kulalama na kuporomosha matusi, mara Igp ni mbambikiazi kesi, mara mama Samia ni dictator. Haya yanasaidia nini?
Kama hahusiki hebu njooni wazi na ushahidi kama hakufanya conspiracy na kutoa fund kwa ajili ya ugaidi. Njooni na hoja za kisheria kudisprove wanachotaka kuprove Jamhuri.
My take: Wanachadema acheni matusi na kashfa zisizo na kichwa wala miguu. Hoja za kisheria hujibiwa kwa hoja za kisheria.
Mwenyekiti wao amepata tuhuma, tena tuhuma nzito. Wao kama wanajumuia wa Chadema tulitalajia watupe mrejesho kuwa Mbowe kama chairman na mfanyabiashara mahiri ahusiki na kuprovide fund ili kudhamini ugaidi.
Wanachadema wamebaki kulalama na kuporomosha matusi, mara Igp ni mbambikiazi kesi, mara mama Samia ni dictator. Haya yanasaidia nini?
Kama hahusiki hebu njooni wazi na ushahidi kama hakufanya conspiracy na kutoa fund kwa ajili ya ugaidi. Njooni na hoja za kisheria kudisprove wanachotaka kuprove Jamhuri.
My take: Wanachadema acheni matusi na kashfa zisizo na kichwa wala miguu. Hoja za kisheria hujibiwa kwa hoja za kisheria.