kwa binafsi yangu siielewi hii nchi ndio maana naamini kua siku vita ikitokea kuna viongozi watachinjwa kama kuku
1..wizi wa zaidi ya bilioni 200 bot kimyaaa saivi
2...wizi wa zaidi ya bilioni 300 ewura kimyaaa saivi
3.wizi wa mabilioni mengne wizara ya biashara na masoko kimyaa
Bado ufisadi mwingne mwingi ambao haujaanikwa
naamini nchi hii walimu na mapolisi wanaweza kulipwa laki nane mshahara bila kutegemea msaada sema WANAOGOPA KULETA MABADILIKO. WOGA WAO NDIO UMASKINI WAO....
1..wizi wa zaidi ya bilioni 200 bot kimyaaa saivi
2...wizi wa zaidi ya bilioni 300 ewura kimyaaa saivi
3.wizi wa mabilioni mengne wizara ya biashara na masoko kimyaa
Bado ufisadi mwingne mwingi ambao haujaanikwa
naamini nchi hii walimu na mapolisi wanaweza kulipwa laki nane mshahara bila kutegemea msaada sema WANAOGOPA KULETA MABADILIKO. WOGA WAO NDIO UMASKINI WAO....