Tuhuma za ufisadi zinazodaiwa kumpelekea Dkt. Ryoba kubwaga manyanga

Umemjibu vizuri sana vijana wamejazana kila kona lakini watu wanapiga tu sijui hawa vijana wa TISS wanafanya kazi gani sijui wanawekwa tu uzoefu wa kazi wanazopangiwa hawana?
Hao vijana hawana njaa?
Kama wakipeleka inf za wakubwa wapigaji wewe utafanya mini
Nao wanapiga tu.
Idara nyeti hizi hazitakiwa kutambuliwa na chama chochote cha siasa.
 
Ayub Alijichanganya sana kukubali Uteuzi TBC
Lakini cha mhimu ni kwamba yeye kama DG anaidhinisha pesa zote inakuaje asijue kama hapa hapafai azuie malipo??? Bila Yeye Kama Mkuu wa Taasisi Kuweka Mkono hela haitoki.
 
This is a political hit job. Angekuwa fisadi mngesubiri hadi atangaze kuacha kazi ndo muanze kumchafua?

TBC is a vital installation. Kuna watu wa TISS wamejazana pale. Giving you benefit of doubt, huo "ufisadi" uliwezekanaje under their watch?
Kwani Tiss hawaijui fedha, wamejazana huku TTCL tunapiga nao dili tu tena wengi wai walichelewa maisha wanazijitaji hela kwa nguvu zote
 
BAADHI YA TUHUMA ZINAZODAIWA KUMPELEKEA DR. AYUBU RYOBA KUJIUZULU
  • Yeye binafsi hana tuhuma za moja kwa moja, anawajibika kwa matumizi mabaya ya ofisi yaliyofanywa na wasaidizi wake.
  • Wasaidizi hao kwa uchache ni Mkurugenzi wa Manunuzi na Mkuu wa Sattelite.
  • Tayari baadhi yao wamekuwa wakihojiwa na TAKUKURU.
  • Makampuni Zaidi ya matatu yamekuwa yakihusika katika kupata zabuni bila kufuata sheria.
  • Na Kampuni hizo zimekuwa zikiweka bei hadi mara tatu ya bei halisi za sokoni.
  • Kampuni hizo moja wapo ni ONSET ENGINEERING (ISRAEL), ENERGY & TELECOM (TANZANIA), JEMO INVESTMENT & GENERAL ENTERPRISES (TANZANIA).
  • Ipo miradi mingi imetekelezwa kwa mabilioni ya pesa za walipa kodi nab ado haifanyi kazi, nitajaribu kuelezea michache.
  • Pia Channel ya SAFARI imekubwa na matumizi mabaya ya pesa, yaani UFISADI.
Sote tunafahamu tetesi zilizosambaa juzi kati kuwa Mkurugenzi wa TBC, Dr. Ayubu Chacha Ryoba amejiuzulu. Ni kweli alijiuzulu na kuchukua likizo ya muda mfupi.

Sababu ya kujiuzulu ni kuwajibika kwa matumizi mabaya ya ofisi ambayo yamekuwa yakifanywa hasa na wasaidizi wake, wakiongozwa na Mkurugenzi wa Manunuzi, na Mkuu wa Sattelite. Wawili hawa wamekuwa wakishirikiana na kampuni za ndani na nje katika kuibua miradi na kulipa mabilioni ya pesa huko ubora wa TBC ukiwa hauboreki licha ya serikali kuwapa mabilioni kila mwaka.

KUHOJIWA NA TAKUKURU
Baada ya Taarifa kumfikia Waziri Mkuu, Mh. Majaliwa K. Majaliwa aliagiza TAKUKURU kufanya uchunguzi katika baadhi ya Tuhuma walizopelekewa na katika baadhi ya miradi iliyotekelezwa na kampuni tatu: ONSET ENGINEERING (ISRAEL), ENERGY & TELECOM (TANZANIA), JEMO INVESTMENT & GENERAL ENTERPRISES (TANZANIA).

Katika mahojiano hayo kuna mambo kadhaa wameyabaini na bado wanaendelea kuyachunguza, nitajaribu kugusua hizi kampuni zao na uhusika wake kwa ufupi.

ONSET ENGINEERING (ISRAEL), ENERGY & TELECOM (TANZANIA)
Hizi ni kampuni pacha zinazoshirikiana katika kufanya kazi za kinyume na sheria TBC. Sheria ya manunuzi ya umma inakataza kampuni ambayo imeshiriki kuandaa tender nayo kuwa sehemu ya kuomba tender.

Ambacho wamekuwa wanafanya ni kuwa; TBC wakitaka kutekeleza mradi wanamuomba ONSET ENGINEERING kutoa pendekezo la mradi, huyu ONSET anatoa vifaa na bajeti ya huo mradi, tender ikitangazwa haombi kupitia ONSET bali anaomba kupitia washirikia wake wanaoitwa ENERGY & TELECOM na wanaweka bei kubwa sababu tayari wanakuwa wameficha Technical Specifications za vifaa, hivyo waombaji wengine hata wakiwa na bei chini wanaambiwa wameshindwa kwenye Technical Specifications na mwisho wa siku mradi unaoweza kutekelezwa kwa bilioni moja kwa uhalisia wa bei ya soko unaweza kutekelezwa kwa bilioni 2 hadi 3. Na wahusika wananyamaza sababu wanafaidika. Na huyu ONSET amekuwa akifanya miradi ya TBC toka mwaka 1999. Hivyo kwa kuongezea TAKUKURU ichunguze miradi yake yote na bei ambazo amekuwa akilipwa.

WAMEKUWA WAKILIPWA KABLA YA UTEJELEZAJI WA MIRADI
Nitaweka mfano wa mradi mmoja kati ya mingi, hii kampuni ilipewa mradi wa kutengeneza Community Radio Jijini Dodoma kwa gharama ya 1.74 bilioni, kabla ya kutekeleza tayari TBC ikawalipa 1.72B Ikabaki just 20,000,000. Mradi huu ulikuwa uzinduliwe na Hayati Magufuli May 2020, lakini ulisuasua kwa muda mrefu huku Muisrael na washirika wake wa Tanzania wakisingizia Corona.

Community Radio haiwezi kugharimu 1.74 Bilioni kama hakuna upigaji kwa bei za kawaida. Zaidi ya yote ilikuwaje walipwe kabla ya utekelezaji kinyume na sheria za manunuzi ya Umma? Nafikiri TAKUKURU wamekwisha ifanyia kazi na wana majibu Zaidi.

NB: Muhimu miradi yote chini ya hawa watu ichunguzwe na watendaji wanaowajibika wote wawajibishwe.

JEMO INVESTMENT & GENERAL ENTERPRISES LTD
Hii kampuni ni kampuni inayoendeshwa kijanja kijanja, nafikiri wengi mnajua hizi kampuni zinazojiita General Enterprise, kwamba wao kila kitu wana supply, na kuna wakati serikali ilizipiga marufuku.

Kwanza hii kampuni sio ya kitaalamu katika kufanya supply ya mambo ya Broadcasting, haina wataalamu, workshop wala ofisi nzuri, ana stationery ambayo anasema ndio ofisi yake.

Hii kampuni imeingizwa kiujanja na Mkurugenzi wa Manunuzi TBC na Mkuu wa Sattelite, ambaye ndio amekuwa kama mmiliki wa hii kampuni.

Moja ya kashifa yake kubwa ni kupewa mradi wa Tender Na: PA/084/2019-2020/G/33 (attached their delivery note).

Mradi huu ulikuwa unahusisha Supply, Installation, Training and Commisioning of Studio Equipments wenye thamani ya 855,000,000.

Kampuni hii haikuwa ma mtaji, hivyo Mkurugenzi wa Manunuzi akawalazimisha watendaji wake wa chini kusaini nyaraka kuonyesha huyu Jemo tayari kafanya supply, kafanya installation na kafanya training hivyo anastahili kulipwa.

Mkurugenzi wa manunuzi akahakikisha Jemo analipwa pesa 100% ndipo akaenda kunua vifaa hivyo. Sasa baada ya kununua sababu hana utaalamu na hana wataalamu alienda akavibwaga TBC bila installation na training na hadi leo baadhi ya vifaa viko stoo havifanyi kazi iliyokusudiwa ila wao tayari maisha yao yanaenda kwa kuchezea pesa za walipa kodi.

Lakini Zaidi ni kinyume cha sheria ya manunuzi kumpa mzabuni pesa ndio akanunulie vifaa. Huyu Jemo hadi leo mtaji wake aliosajiri Brela unaonyesha kuwa ana mtaji wa milioni 5 toka alipoanzisha kampuni mwaka 2013, ina maana mtaji wake haukui wala hafanyi annual retirement na msajiri wa makampuni brela.

UFISADI SAFARI CHANNEL
Uchunguzi pia umebaini kuwa katika hii Safari Channel kuna ufisadi mkubwa sana na unamgusa moja kwa moja Mkurugenzi wa Manunuzi na Msimamizi wa Hii Channel.

HITIMISHO
Mabilioni ya pesa ambayo TBC inatumia kila mwaka hayaendani na ubora wa picha wala maudhui, kuna miradi mingi sana pale wanaiita White Elephants Project. Ni kweli Dr. Ayubu Ryoba sio mtu corrupt lakini ameshindwa kabisa kujua kuwa watendaji walio chini yake wanamzunguka na kufanya vitendo vya kifisadi.

Hivyo kama anawajibika awajibike lakini hawa watendaji wanaohujumu Shirika pindi TAKUKURU wakikamilisha Uchunguzi wao basi wapelekwe mahakamani.

View attachment 2015188
View attachment 2015189
Kila mtu Ana kula hela za uma, what’s wrong? Waliua Magufuli ili turufi enzi za Kikwete. Mradi wa Bagamoyo vipi? Waliohongwa na kiasi cha $$$$ utapasuka kichwa. Magufuli alitmbezwa kila kona ya nchi na tukaalikwa Yukon’s amekufa. Mtu Akita anazokwa siyo kutembezwa maiti for days. Ona wanayofanya sssa, waulize machinga
 
Ufisadi na wizi wa mali za uma ni zao la CCM, na linaenziwa kwa nguvu zote ndio mana hawao tayali kuachia madaraka
 
Ayub Alijichanganya sana kukubali Uteuzi TBC
Lakini cha mhimu ni kwamba yeye kama DG anaidhinisha pesa zote inakuaje asijue kama hapa hapafai azuie malipo??? Bila Yeye Kama Mkuu wa Taasisi Kuweka Mkono hela haitoki.
Mkuu ni kwa Sababu hizo nafasi hujawahi kuzifanyia kazi, zina mitego na mianya ya rushwa mingi sana. Na kama hujawahi kukaa kwenye procurement at a junior level huwezi kuelewa. Kumbuka request for purchase zinatoka kwa user department (mkuu wa kitengo) na lazima kama ni new project aende kwa mkurugenzi na kumweleza kwa nn anataka kufanya hiyo project na manufaa kwa organization husika. Then inawekwa kwenye budget , so itakapofika implementation head of department ndiye atahusika ku implement yawezekana ni multiple phases project siyo kama kununua gari. Itakua na a lot of technical things ambazo director hajui na haelewi. Yy atakachofanya ni ku approve payments. Though kama ulifanya kazi mahala ambapo kuna mianya ya upigaji utajua jinsi ya minimize lakin siyo kumaliza kabisa. Watu wapewe training na field workers with experience na siyo mere academicians. Maana badhi ya mbinu mpaka ziwekwe kwenye vitabu ni after more than 5 years na kazini wanazitumia tayari
 
Mkuu ni kwa Sababu hizo nafasi hujawahi kuzifanyia kazi, zina mitego na mianya ya rushwa mingi sana. Na kama hujawahi kukaa kwenye procurement at a junior level huwezi kuelewa. Kumbuka request for purchase zinatoka kwa user department (mkuu wa kitengo) na lazima kama ni new project aende kwa mkurugenzi na kumweleza kwa nn anataka kufanya hiyo project na manufaa kwa organization husika. Then inawekwa kwenye budget , so itakapofika implementation head of department ndiye atahusika ku implement yawezekana ni multiple phases project siyo kama kununua gari. Itakua na a lot of technical things ambazo director hajui na haelewi. Yy atakachofanya ni ku approve payments. Though kama ulifanya kazi mahala ambapo kuna mianya ya upigaji utajua jinsi ya minimize lakin siyo kumaliza kabisa. Watu wapewe training na field workers with experience na siyo mere academicians. Maana badhi ya mbinu mpaka ziwekwe kwenye vitabu ni after more than 5 years na kazini wanazitumia tayari
Ni kweli kabisaaaa. Na ndicho kimemtokea Rioba
 
BAADHI YA TUHUMA ZINAZODAIWA KUMPELEKEA DR. AYUBU RYOBA KUJIUZULU
  • Yeye binafsi hana tuhuma za moja kwa moja, anawajibika kwa matumizi mabaya ya ofisi yaliyofanywa na wasaidizi wake.
  • Wasaidizi hao kwa uchache ni Mkurugenzi wa Manunuzi na Mkuu wa Sattelite.
  • Tayari baadhi yao wamekuwa wakihojiwa na TAKUKURU.
  • Makampuni Zaidi ya matatu yamekuwa yakihusika katika kupata zabuni bila kufuata sheria.
  • Na Kampuni hizo zimekuwa zikiweka bei hadi mara tatu ya bei halisi za sokoni.
  • Kampuni hizo moja wapo ni ONSET ENGINEERING (ISRAEL), ENERGY & TELECOM (TANZANIA), JEMO INVESTMENT & GENERAL ENTERPRISES (TANZANIA).
  • Ipo miradi mingi imetekelezwa kwa mabilioni ya pesa za walipa kodi nab ado haifanyi kazi, nitajaribu kuelezea michache.
  • Pia Channel ya SAFARI imekubwa na matumizi mabaya ya pesa, yaani UFISADI.
Sote tunafahamu tetesi zilizosambaa juzi kati kuwa Mkurugenzi wa TBC, Dr. Ayubu Chacha Ryoba amejiuzulu. Ni kweli alijiuzulu na kuchukua likizo ya muda mfupi.

Sababu ya kujiuzulu ni kuwajibika kwa matumizi mabaya ya ofisi ambayo yamekuwa yakifanywa hasa na wasaidizi wake, wakiongozwa na Mkurugenzi wa Manunuzi, na Mkuu wa Sattelite. Wawili hawa wamekuwa wakishirikiana na kampuni za ndani na nje katika kuibua miradi na kulipa mabilioni ya pesa huko ubora wa TBC ukiwa hauboreki licha ya serikali kuwapa mabilioni kila mwaka.

KUHOJIWA NA TAKUKURU
Baada ya Taarifa kumfikia Waziri Mkuu, Mh. Majaliwa K. Majaliwa aliagiza TAKUKURU kufanya uchunguzi katika baadhi ya Tuhuma walizopelekewa na katika baadhi ya miradi iliyotekelezwa na kampuni tatu: ONSET ENGINEERING (ISRAEL), ENERGY & TELECOM (TANZANIA), JEMO INVESTMENT & GENERAL ENTERPRISES (TANZANIA).

Katika mahojiano hayo kuna mambo kadhaa wameyabaini na bado wanaendelea kuyachunguza, nitajaribu kugusua hizi kampuni zao na uhusika wake kwa ufupi.

ONSET ENGINEERING (ISRAEL), ENERGY & TELECOM (TANZANIA)
Hizi ni kampuni pacha zinazoshirikiana katika kufanya kazi za kinyume na sheria TBC. Sheria ya manunuzi ya umma inakataza kampuni ambayo imeshiriki kuandaa tender nayo kuwa sehemu ya kuomba tender.

Ambacho wamekuwa wanafanya ni kuwa; TBC wakitaka kutekeleza mradi wanamuomba ONSET ENGINEERING kutoa pendekezo la mradi, huyu ONSET anatoa vifaa na bajeti ya huo mradi, tender ikitangazwa haombi kupitia ONSET bali anaomba kupitia washirikia wake wanaoitwa ENERGY & TELECOM na wanaweka bei kubwa sababu tayari wanakuwa wameficha Technical Specifications za vifaa, hivyo waombaji wengine hata wakiwa na bei chini wanaambiwa wameshindwa kwenye Technical Specifications na mwisho wa siku mradi unaoweza kutekelezwa kwa bilioni moja kwa uhalisia wa bei ya soko unaweza kutekelezwa kwa bilioni 2 hadi 3. Na wahusika wananyamaza sababu wanafaidika. Na huyu ONSET amekuwa akifanya miradi ya TBC toka mwaka 1999. Hivyo kwa kuongezea TAKUKURU ichunguze miradi yake yote na bei ambazo amekuwa akilipwa.

WAMEKUWA WAKILIPWA KABLA YA UTEJELEZAJI WA MIRADI
Nitaweka mfano wa mradi mmoja kati ya mingi, hii kampuni ilipewa mradi wa kutengeneza Community Radio Jijini Dodoma kwa gharama ya 1.74 bilioni, kabla ya kutekeleza tayari TBC ikawalipa 1.72B Ikabaki just 20,000,000. Mradi huu ulikuwa uzinduliwe na Hayati Magufuli May 2020, lakini ulisuasua kwa muda mrefu huku Muisrael na washirika wake wa Tanzania wakisingizia Corona.

Community Radio haiwezi kugharimu 1.74 Bilioni kama hakuna upigaji kwa bei za kawaida. Zaidi ya yote ilikuwaje walipwe kabla ya utekelezaji kinyume na sheria za manunuzi ya Umma? Nafikiri TAKUKURU wamekwisha ifanyia kazi na wana majibu Zaidi.

NB: Muhimu miradi yote chini ya hawa watu ichunguzwe na watendaji wanaowajibika wote wawajibishwe.

JEMO INVESTMENT & GENERAL ENTERPRISES LTD
Hii kampuni ni kampuni inayoendeshwa kijanja kijanja, nafikiri wengi mnajua hizi kampuni zinazojiita General Enterprise, kwamba wao kila kitu wana supply, na kuna wakati serikali ilizipiga marufuku.

Kwanza hii kampuni sio ya kitaalamu katika kufanya supply ya mambo ya Broadcasting, haina wataalamu, workshop wala ofisi nzuri, ana stationery ambayo anasema ndio ofisi yake.

Hii kampuni imeingizwa kiujanja na Mkurugenzi wa Manunuzi TBC na Mkuu wa Sattelite, ambaye ndio amekuwa kama mmiliki wa hii kampuni.

Moja ya kashifa yake kubwa ni kupewa mradi wa Tender Na: PA/084/2019-2020/G/33 (attached their delivery note).

Mradi huu ulikuwa unahusisha Supply, Installation, Training and Commisioning of Studio Equipments wenye thamani ya 855,000,000.

Kampuni hii haikuwa ma mtaji, hivyo Mkurugenzi wa Manunuzi akawalazimisha watendaji wake wa chini kusaini nyaraka kuonyesha huyu Jemo tayari kafanya supply, kafanya installation na kafanya training hivyo anastahili kulipwa.

Mkurugenzi wa manunuzi akahakikisha Jemo analipwa pesa 100% ndipo akaenda kunua vifaa hivyo. Sasa baada ya kununua sababu hana utaalamu na hana wataalamu alienda akavibwaga TBC bila installation na training na hadi leo baadhi ya vifaa viko stoo havifanyi kazi iliyokusudiwa ila wao tayari maisha yao yanaenda kwa kuchezea pesa za walipa kodi.

Lakini Zaidi ni kinyume cha sheria ya manunuzi kumpa mzabuni pesa ndio akanunulie vifaa. Huyu Jemo hadi leo mtaji wake aliosajiri Brela unaonyesha kuwa ana mtaji wa milioni 5 toka alipoanzisha kampuni mwaka 2013, ina maana mtaji wake haukui wala hafanyi annual retirement na msajiri wa makampuni brela.

UFISADI SAFARI CHANNEL
Uchunguzi pia umebaini kuwa katika hii Safari Channel kuna ufisadi mkubwa sana na unamgusa moja kwa moja Mkurugenzi wa Manunuzi na Msimamizi wa Hii Channel.

HITIMISHO
Mabilioni ya pesa ambayo TBC inatumia kila mwaka hayaendani na ubora wa picha wala maudhui, kuna miradi mingi sana pale wanaiita White Elephants Project. Ni kweli Dr. Ayubu Ryoba sio mtu corrupt lakini ameshindwa kabisa kujua kuwa watendaji walio chini yake wanamzunguka na kufanya vitendo vya kifisadi.

Hivyo kama anawajibika awajibike lakini hawa watendaji wanaohujumu Shirika pindi TAKUKURU wakikamilisha Uchunguzi wao basi wapelekwe mahakamani.

View attachment 2015188
View attachment 2015189
Tanzania bhn,hawa watu mnawasemaaa were eti TAKUKURU wanachunguza na watawafikisha mahakamani!! Yes,watakamatwa na mtaongea sana,baada ya kusikilizwa kesi zao mahakamani mwaka au miwili mtasikia wapo huru eti DPP hana nia na kesi hiyo. Tupo kwenye corrupt state,so tutapigwa sana maana hatuna vyombo madhabuti kuwajibisha wanafisadi pesa za umma,tunavyombo vya kudhibiti wapinzani tu.
 
Tanzania bhn,hawa watu mnawasemaaa were eti TAKUKURU wanachunguza na watawafikisha mahakamani!! Yes,watakamatwa na mtaongea sana,baada ya kusikilizwa kesi zao mahakamani mwaka au miwili mtasikia wapo huru eti DPP hana nia na kesi hiyo. Tupo kwenye corrupt state,so tutapigwa sana maana hatuna vyombo madhabuti kuwajibisha wanafisadi pesa za umma,tunavyombo vya kudhibiti wapinzani tu.
Changamoto hii mkuu. Uko sahihi
 
... waliwezaje kufanya ufisadi wote huo kipindi cha "asiyejaribiwa; alfa na omega"? Kipindi ambacho iliaminika ni Tanzania pekee ambapo dhambi ya rushwa/ufisadi haikuwahi kufanyika chini ya Mbingu? Kwamba Bwana Mungu "akichungulia" kutokea Kiti cha Enzi ni Tanzania pekee ambapo hakuiona dhambi ya rushwa?
HAKUNA KIPINDI AMBACHO KILIKUWA NA UFISADI WA HATARI KAMA KIPINDI KILE,TULINYAMAZISHWA TUKAFUNGWA MIDOMO TUKABAKIA KIMYA TUKIOMBA NUSRA YA MUNGU.
 
safari channel waboreshe sio warudie vipindi kila siku , mfano wakileta program inaonyesha udzungwa watarudia mara kadhaa kwa siku Moja.
Watengeneze program nyingi kama National Geographic channel ili wapate wateja wengi ndani na nje ya nchi
 
Haiwezekani hausiki; kwa sisi tuliosoma fraud vizuri tunajua anahusika: 100%.

1. Alikuwa haoni fedha zikitoka? Kama anaona alikuwa hafuatilii matokeo ya fedha kutoka?

2. Alikuwa naona Hivo vifaa bila training and kufungwa; mkurugenzy hajui? Wala Hakuna Vikao kujadili?

3. Hauju policy na taratibu za office yake? Kabisa hajui; utaratibu wa manunuzi yeye hajui kabisa kabisa?
Inawezekana, binafsi nilimuona jamaa yupo yupo tu, inawezekana maana ni kama aliteuliwa kwa bahati mbaya
 
This is a political hit job. Angekuwa fisadi mngesubiri hadi atangaze kuacha kazi ndo muanze kumchafua?

TBC is a vital installation. Kuna watu wa TISS wamejazana pale. Giving you benefit of doubt, huo "ufisadi" uliwezekanaje under their watch?
Ulimwachia Nani simu yako akaandika haya yaliyoandikwa?
 
Back
Top Bottom