42774277
JF-Expert Member
- Aug 24, 2018
- 6,833
- 8,811
Ameshasema kuwa waliwahi kwenda Takukuru na hakuna kilichofanyika.... Hapa ni kipi usichoelewa?Bila ushahidi hakuna atakayekuelewa ulitakiwa kwenda takukuru ungeeleweka zaidi, la sivyo unawasingizia