Basima Ogenze
JF-Expert Member
- Aug 14, 2015
- 786
- 876
Hawa jamaa kutongoza hawawezi wanatumia nafasi zao kupata mapenzi. Wengi ni wagoroko sana elimu tu ndio imewatoa
Usijali hilo nina agenda za siri yani mpaka huyo takukuru utasikia amedakwa kwa rushwa.Takukuru ukireport wanamtafuta mhusika then wanaomba rushwa akiwapa ya maana wanakuzunguka so ndo hawafai kabisa