Kwa nini wasitimuliwe ndani ya chama?Yeah! Kada maarufu na mfuasi wa Lowasa. Kazi ipo
Kwa nini wasitimuliwe ndani ya chama?Yeah! Kada maarufu na mfuasi wa Lowasa. Kazi ipo
Hii ni hatua nzuri na ya kupongeza ila inategemea walivyojipanga kushinda hizi kesi.
hahahahhahahahahaHvi kwa Nini? Wengi Waliomsaliti Lowasa kwenda Chadema Inakula Kwao
Mwingine zto....sema yeye huwa anakula hela ndefu,..yeye hizi milioni tano...kumi...hapana...yeye kuanzia milioni 100,200 na kuendeleaNawaogopa sana wapiga kelele kama Kangi Lugola. Uzoefu unaonyesha mara nyingi wanapenda kulinda maslahi binafsi kuliko ya wengi
duh mpaka kangi lugola naomba isiwe kweli. inaonekana lengo ni kurudishamahela waliyotumia wakati wa kampeni.....
Anaitwa Barwani Said nafikiriAeshi? Yule alishinda... Atakuwa alilipwa hela nyingi tuu kama fidia na kuchafuliwa jina. Twende kazi..