Tuhuma za rushwa BAVICHA zipelekwe TAKUKURU - Zitto

Haaaaa.....!!!!!???
Jamaa (MCHANGE HABIBU) ana biashara gani na hao jamaa?
Analipa madeni? au Anatoa mikopo midogo midogo?
Tukusaidieje Shibudaaaa?
 
Sasa naanza kukosa imani na wanasiasa, kama dogo kaanza kutoa rushwa akiwa na umri huo, je akiwa kama mukama atatoa nini..........................
 
Habib ameharibiwa na mfumo wa chama cha magamba!
Uko sahihi Rev. Mchange ni kijana mdogo sana kwanza kiumri hata kwenye siasa lazima kuna watu wazoefu nyuma yake wamemshawishi afanye hivyo kwa malengo yao, walikuwa wanamshawishi aidha kwa mazuri au mabaya kwa sababu haiingii akilini utumie namba ya simu yako na akaunti moja kusambaza kwa wajumbe, basi angalau angetumia akaunti tofauti au hata ya rafiki zake ndiyo maana nasema kuna watu wamemuingiza mjini kijana still wanamshauri aende takukuru kwenye moto zaidi ili wao tu wafanikishe malengo yao ndani ya Chadema.
 
Hizo ni transaction za H Mchange (0658178678) zinaonyesha Cash in , Cash out , Recharge na Transfer naomba mtu anioneshe (connect dots) kuwa kuna Rushwa nasi matumizi ya kawaida ya kila siku..? just curious to know ..kwanini moja kwa moja transaction hizi zinaonekana kama rushwa?

I support you...
In summary, ndani ya mwezi mmoja huyu Mchange ametransact kwa Tigo pesa kama ifuatavyo:
1. Recharge shs 11,750
2. Cash in shs 433,000
3. Cash out shs 113,000
4. Transfer shs 292,000
Mpaka hapo sijaona kosa lake ni nini. Labda kama mkitueleza hizo cash in zilitoka kwa nani na hizo transfer zilikuwa zinaenda kwa nani, kuzungumzia ni mwanafunzi ndio hawezi kupokea wala kuhamisha fedha basi tunamwonea....
 
Mara nyingine pamoja na malengo yake mazuri, RIGHT TO PRIVACY inatumika kama kichaka cha maovu na inazuia vyombo vya haki kupata taarifa njema kama hizo. BINAFSI NINAHESHIMU HAKI YA HIFADHI/PRIVACY LAKINI NACHUKIA UHUNI KAMA WA HABIB...!!!

MAMBO YA KUNUNUA UONGOZI WAACHIWE CCM BANAAAA...!!!!

Kunatakiwa kuwekwe kanuni za kutoa hii information. Sio kubandika tu jamvini. Kwa mfano, Chadema wanaweza omba mahakama iruhusu watoe hii information. Kwa hiyo mahakama ndio inapima umuhimu wa privacy vs umuhimu wa public kujua juu ya vitenda vya rushwa. Hii ya mtu binafsi kuamka asubuhi na kuweka anachopenda sio kufuata utawala wa sheria. Fuatilia ishu ya Giggs uingereza!
 
Duh hivi huu sio ugaidi? iweje umuingilie mtu na kumpekua namna hii kisa nini? na tena unajisifia?
Ni INTELEJENSIA mkuu, polisi si wameshindwa kutumia kuwanasa wakina Rachel, Acha wazalendo tufanye mambo, kama huamini toa namba yako hapa tuone unavyopiga watu mizinga ya vocha kwa ''please recharge me''
 
Kunatakiwa kuwekwe kanuni za kutoa hii information. Sio kubandika tu jamvini. Kwa mfano, Chadema wanaweza omba mahakama iruhusu watoe hii information. Kwa hiyo mahakama ndio inapima umuhimu wa privacy vs umuhimu wa public kujua juu ya vitenda vya rushwa. Hii ya mtu binafsi kuamka asubuhi na kuweka anachopenda sio kufuata utawala wa sheria. Fuatilia ishu ya Giggs uingereza!

Nakubaliana na wewe 100 kwa 100 na ukirudia kusoma post yangu utaona msimamo wangu waziwazi! Ninaheshimu right to privacy but sipendi uhuni kama wa Habib Mchange.
 
zitttto = c (cd)m, kwa sasa hana ushirikiano!, ni msaliti!, chama makini lazima kijue kuwa wasaliti wapo kinajiandaa kuwakabili, ataishia patupu
 
jamani MODERATOR , KAMBAN never mpaka june 8 huu ni upuuzi mkubwa sana kwa msema kweli kama huyu kuwekwa pembeni bila sababu za msingi, sasa ngoja tuichakachue JF tuone hawa watu wataingiaje kwenye forum
 
Dear members,
As you have probably noticed we have censored the so called "evidence" of corruption for two major reasons:

a. The privacy "clause" of our constitution guarantee our citizens of Republic almost absolute privacy when it comes to their private communications. Unwarranted and arbitrary intrusion by third part is almost criminal and unconstitutional. So we have to work under the presumption that when a person talks on the phone, send a text message or even IM he/she enjoys a certain level of privacy. If we don't presume this, then all our communications (including what members have in their phone message inboxes or internet) would find their way to public notoriety.

b. Until the private communications have become part of a judicial proceeding where by they have been made public or are part of a public proceeding we will hold some of these communications as private matters. This is to ensure that not everything that has to do with the public is automatically public "right to know". Until the so called evidence is referred to a court of law for a possible corruption charges then we have to presume are simply personal and private. This is why some of the communications in the Mahalu case were censored here just few weeks ago.

c. If we allow anybody to post private communications of another person simply because it has do with "corruption" then we will be setting a certain slippery slope where by all of our communications will not enjoy the protection of the "privacy clause" of our constitution. For this reason, we hold that only those communications by public officials - people who are paid by taxpayers moneys - and that deals with their positions as public officials enjoy less protection for the standard that "if we pay you we have to know what you do" applies. For this standard public officials, government employees or people working in public institutions do not enjoy the same level of presumed privacy like those enjoyed by private citizens. Here however, lies the challenge: should aspiring political leaders be considered private citizens or public officials? Our presumption is that until one becomes elected to a party position or is being paid for his livelihood by a political party then the person enjoys some level of privacy.

So, as we move forth we have to be careful to draw a line when trying to post communications that of such personal nature or that has not been raised to a level of public interest. In this case, the door remains open, should CHADEMA leadership chooses to take this matter to the next level then our stand might change.
For Admns.
 
kupambana na rushwa si jukumu la pccb peke yao, ni kila mtu! Hao chama kiwashughulikie kisawa sawa na hata zito kama anahusika chama kimshughulikie pia. Kama pccb wataona kuna tija watakuja tu! Lazima tujenge utamaduni wa kuwajibishana kwa harufu tu ya rushwa sio mpaka mahakama i-prove beyond dt!, hatutaiweza rushwa!!!!!!
 
Hapana hutoonekana kilaza, yani wewe unakuwa na account ya mpesa ktk namba yako kwa hiyo ukitaka kunitumia unamega kiasi cha pesa unatuma ktk namba ya simu yangu, basi nikiipata message ktk simu yangu naenda ktk kibanda cha tigo voda kulingana na mtandao naenda kuvuta pesa. Ni kama on phone banking. Nimeainisha line ya kwanza hapo chini jinsi alivyotumwa na namba gani ya simu ilipokea fedha.

Haya sio maelezo yangu , mbona yamechakachuliwa? nani kaniibia password yangu?
 
Usalama wetu JF ni mdogo sana

Una ona hawa jamaa sijui wameamrishwa na nani wafanye hiki

4rvwO+tgj9kAAAAASUVORK5CYII=



never
user-offline.png

Banned



Never popote ulipo nitakuazima ID nyingine maana ninazo nyingi!!
 
Lakini never pia anaweza kuwa amechakachua hiyo report, kwa hiyo huyo jamaa msimushutumu kwamba ametoa rushwa, yawezekana ni wabaya wake ndo wamechakachua.
 
Usalama wetu JF ni mdogo sana

Una ona hawa jamaa sijui wameamrishwa na nani wafanye hiki

4rvwO+tgj9kAAAAASUVORK5CYII=



never
user-offline.png

Banned



Never popote ulipo nitakuazima ID nyingine maana ninazo nyingi!!
Hawa Mods na JF wanatafuta kuhujumiwa wanapiga ban watu bila sababu za msingi mtu analeta habari yake na evidence juu still unampiga ban wanataka tuendelee kujadili majungu na umbea kuwa 'Nimetembelea jimbo la Slaa na kukuta hakuna maendeleo kule' hizi ndizo thread wanazozitaka shame on you mods and JF admin.
 
Haya mambo ya siri za wateja ama chama ama serikali ndo chazo cha ujambazi, nilitegemea jf tunaongea openly tofauti na kule kwenye siri. Wamwache jamaa amwage hizo data, lakini pia yawezekana nae akawa sio mkweli. Njia sahihi ni kumwacha amwage data.

Mbona mikataba ya siri ya serikali huwa tunaisoma humu jf???? Naombeni mnielimishe hapo
 
Haya mambo ya siri za wateja ama chama ama serikali ndo chazo cha ujambazi, nilitegemea jf tunaongea openly tofauti na kule kwenye siri. Wamwache jamaa amwage hizo data, lakini pia yawezekana nae akawa sio mkweli. Njia sahihi ni kumwacha amwage data.

Mbona mikataba ya siri ya serikali huwa tunaisoma humu jf???? Naombeni mnielimishe hapo

JF is not a safe place at all.....login for your own risk...hawa MODS ni agent wa serikali....mara ngapi Invisible ameweka doc za siri ? Leo imekuwa kosa kwa Never....its disgusting na hawa MOD.....wanapenda habari za Umbeya....agrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrr
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom