Masanilo
Platinum Member
- Oct 2, 2007
- 22,286
- 4,493
Nina swali dogo sina ufahamu wa vipi Mpesa inafanyaje kazi. Mfano REVOCATUS KALENDELO, Hajira Fadhil na Mchange Habib walipokea pesa kutoka wapi ? au walituma pesa wapi? Msaada kwa mistali michache.
Jamani wengi hamjui hii M-pesa na Tigo pesa inavyofanya kazi?