Ben Saanane
JF-Expert Member
- Jan 18, 2007
- 14,581
- 18,124
Haya sasa,Saanane njoo hapa tuone...wewe ni fisadi mtoto.Dikteta mkubwa! rushwa ni adui wa haki,nilisema alikua anajitetea tu
Dikteta Ben Saanane,njoo hapa uombe msamaha...fisadi wewe.Kanusha tuhumaNever,tnx kwa kuleta ushaidi huu. Nawaomba wote walioleta hapa jamvini vijisababu vya kidini ,kikabila na makundi waombe samahani. Nampongeza dr slaa kwa kukubali kusimamia uchaguzi usiku kucha na kuhukosa usingizi mpaka jumapili. Hongera sana cdm,mnastahili pongezi.
Ndugu zangu wana JF,
Kama Chadema wanauwezo na Network ya kuwakamata wotoa na wapokea rushwa tena na ngozi ambayo bado mbichi, Sasa hivi hawana hata nyenzo za vyombo vya dola itakuwaje tukiwapa nchi jamani, wala rushwa na watoa rushwa si wataikimbia nchi.
Tuwape nchi chadema watusafishie jamani, uwezo huo wanao, tena mkubwa, mimi nashindwa kuelewa CCM na serikari yao na vyombo vyote vya dola ikiwemo usalama wa Taifa wanashindwa vipi kuwatia nguvuni na ushahidi watoa na wapokea rushwa?
Jamani tunahitaji uthibitisho gani kujua chadema ndo chama pekee kitachoweza kusafisha uozo wa nchi hii.
Naomba chama kisimkingie kifua Mchange awajibishwe kwa mujibu wa sheria za nchi, hatuwezi kuwalea vijana wadogo wenye evil mind ndani ya chama kama Mchange. Huyu asipokunjwa sasa hivi atasumbua nchi kama RACHEL, ashughulikiwe ipasavyo
CDM msiwe wanafiki mwaka jana mlikuwa mnashupalia CCM walipoalila TAKUKURU katika uchaguzi wao wa ndani. Kama mpo safi kwa nini mwaogopa kuialika TAKUKURU au kwa sababu rushwa ilitolewa kama njugu kwa uwezeshaji wa mwenyekiti wa Chama HIVYO mwaona so. Kuweni na UJASIRI pelekeni maombi kwa TAKUKURU ili ukweli ujulikane, ZK mpeni pongezi kwa wazo zuri!
Lakini pia ni kosa kutoa taarifa za huduma za fedha kama hizo kwa umma haswa yule ambaye hajaruhusiwa kupata taarifa hizo
Nimeggogle Kalendelo nikakuta haya
http://www.tanzania.go.tz/form42007/qtest2007/M1612.HTM
Ndugu hizo ni siri za mteja wa tigo hazitakiwi kwa namna yoyote kuwa public na kama tigo wameruhusu kazi hii kufanyika watakuwa wamefanya makosa kwenye mkataba wa siri kati yake na mteja wake ambaye ni habib mchange pia hiyo namba ni ya habib mchange sio ya chadema iko registered kwa mchange nadhani umeelewa ninachomaanisha