kweleakwelea
JF-Expert Member
- Nov 29, 2010
- 3,066
- 1,535
utapompeleka mgombea takukuru halafu unasema aunganishwe ndani chini ya Heche una maana gani?
attempt za kutafuta ushawishi huwa zipo katika chaguzi zote...zipo zinazojulikana, na nyingine zisizojulikana...ndio maana hata mtu akishindwa uchaguzi kwa tuhuma za rushwa huwa hafungwi??
cost benefiti analysis - - - hii chapter ifungwe, tuangalie mbele!
Mungu mbariki Heche, Mungu Ibariki Chadema
attempt za kutafuta ushawishi huwa zipo katika chaguzi zote...zipo zinazojulikana, na nyingine zisizojulikana...ndio maana hata mtu akishindwa uchaguzi kwa tuhuma za rushwa huwa hafungwi??
cost benefiti analysis - - - hii chapter ifungwe, tuangalie mbele!
Mungu mbariki Heche, Mungu Ibariki Chadema