2mbaku
JF-Expert Member
- Oct 1, 2010
- 316
- 67
Tuhuma zinazodaiwa kumkabili mgombea ubunge wa CCM, Sumbawanga mjini, Bw. Aeshi Khalfan Hilaly zinadaiwa kutua mezani kwa Katibu mkuu Yusufu Makamba,zikiwemo picha za mtu anayedaiwa kutekwa na mgombea huyo na kisha kuingiliwa kimwili na kundi la watu kinyume na maumbile pamoja na kumpa mimba mwanafunzi na kumkatisha masomo. (Dira oktoba 11-17):director: