The Palm Tree
JF-Expert Member
- Apr 13, 2013
- 7,951
- 12,535
- Thread starter
- #141
brazaj watu hawajui kuwa hii ishu is purely spiritual...Bila ya Askofu Mwingira kuungwa mkono kikamilifu na vyama vya siasa, madhehebu zingine, wanaharakati na wapenda haki uliyoandika yatawakuta JF
Aungwe mkono baba askofu Mwingira:
View attachment 2060243
1. Kwanza, haya yalikuwa ni mahubiri kanisani, ndani ya kanisa ktk ibada takatifu...
2. Yote yaliyosemwa ndani ya kanisa na ktk ibada ni katika context ya maandiko NENO - BIBLIA na uhusiano wa Mungu Yehova na watoto wake. Sina hakika kama kuna mahali ktk mahubiri yake (utanisahihisha kama nimekosea), Askofu Mwingira kamtaja kiongozi yeyote kwa jina lake..
Mimi naweza kusema bila shaka yoyote kuwa, mahubiri yale yalikuwa very successful maana NENO HUCHOMA na KUGUSA. Sasa Neno limewachoma na kuwakurupua huko, maana yake linawahusu wao hilo...
3. Kama serikali wanataka kuanza kuingia ktk madhabahu za nyumba za ibada za imani za watu, hilo ni KOSA KUU. Waonywe na wasipoonyeka, wataangamia hakika...
4. Hapa kuna silaha za ROHO na silaha za MWILINI zinapambana. Mungu wa KWELI YEHOVA, Mungu wa Eliya vs Mungu wa Mabaali. Nani atashinda?